...Mwisho wa UONGO ni AIBU!

Naamini Nape kalala ataukuta ushauri wako, but nina link ya gazeti la Mtanzania mnaloli reffer hapa likiomba radhi kwa kumnukuu vibaya Nape. Sasa kwa kuwa Bavicha majanga hilo hamkuliona. Nalo mtadai imechakachuliwa
 
Naamini Nape kalala ataukuta ushauri wako, but nina link ya gazeti la Mtanzania mnaloli reffer hapa likiomba radhi kwa kumnukuu vibaya Nape. Sasa kwa kuwa Bavicha majanga hilo hamkuliona. Nalo mtadai imechakachuliwa

uko Night shift leo? vp una thread ya Dr.Slaa
 
uko Night shift leo? vp una thread ya Dr.Slaa

Kwangu hapa saa 18:47 kama kwako huko usiku pole sana waambie wakuongezee posho kidogo upunguze machungu. Bavicha majanga
 
hivi whats a point mtu kuanzisha thread na Id Moja,halafu kuanza kuitetea na id nyingine.!
Labda na wewe sema atakuelewa. Mwenzio nimemwambia katika jinsi ya kumkonyeza ili astuke kwamba kalog-in na ACHEBE ambayo niID ya shift ya usiku na watu wanaifahamu kitambo!
Kwa hiyo wabisha juu ya unasaba na umiliki wa PenIDs hizi ACHEBE, Honey K (Nnauye Jr), Nape Nnauye? Wataka tuanze kufunua? Crashwise naomba ushauri!......umesahau kwamba umelog-in kwa kutumia ACHEBE?...
 

Nape kasema hivi "Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa unabeba!" na ushahidi kauweka hapo juu. Sasa wewe unakuja na mambo mengine ya ajabu. Hivi unazo kweli?
 
Wacha tuweke mkusanyiko wa makanusho ya maneno ya Nape ili ajue historia imemuhifadhi kama mtu wa aina gani. Pia itamsaidia kujipima na kuamua mwenyewe kama ni mtu anaaminika na jamii katika kusimamia matamshi yake. Binafsi nimekuwa nikimpongeza katika lile la kuwa miongoni mwa watu wachache waliomwambia Lowassa kwa macho makavu kwamba yeye ni fisadi na wakaendelea kusisitiza hivyo. Lakini katika mengine yote ni mtu wa ndimi mbili!
 
Lonesome,
Bila kuathiri majibu ya Nape akiamua kuja kujibu lakini, hivi mwanaume mwenye mtoto mwenye watoto naye anaitwaje kama sio Babu?!! Dr. Slaa ana watoto wenye watoto nao, kama sio babu tumwite bibi? Linageukaje kuwa tusi hili???!

JK ana wajukuu kamavtu alivyo Dr Slaa!Mtaanza kumuita babu lini?
 
..hivi mwanaume mwenye mtoto mwenye watoto naye anaitwaje kama sio Babu?!! Dr. Slaa ana watoto wenye watoto nao, kama sio babu tumwite bibi? Linageukaje kuwa tusi hili???!
JK ana wajukuu kama tu alivyo Dr Slaa! Mtaanza kumuita babu lini?

Rais Kikwete akimlisha Keki mmoja wa wajukuu zake katika moja ya hafla za sherehe yake ya kuzaliwa

Mwenyekiti wa UDP Mh.John Momose Cheyo, Katikati ya Rais na Mama Salma ni Mjukuu wa Mheshimiwa Cheyo anayejulikana kama Gabriel Cheyo. (Picha Freddy Maro)​

Kwa hiyo kama siyo kebehi, jina Babu likitumika kwa tafsiri na maana aliyotoa ACHEBE-Nape, katika nchi hii basi tutakuwa nao viongozi wengi wa kuitwa "Babu" zaidi ya Dr.W.Slaa
 
Last edited by a moderator:
Umefanyia usaili vidio hii. Ile halisi anayo mzee mengi ambaye ali tweet muda mfupi baada ya kuongea utumbo wako.
 
Kwa Ben Saanane, Mawio na wote wanaowatuma, MSISAHAU MWISHO WA UONGO AIBU!

Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa unabeba!


Kaka, message ilishakuwa sent na delivery report wazee wanayo!!
 
Last edited by a moderator:
Kaka, message ilishakuwa sent na delivery report wazee wanayo!!
Na baadhi yao hawakuunyamazia huo upuuzi:

 
Reactions: ral
Lukolo Kama kawaida yako, so much hot air ambazo ni
debe tupu.

Hoja yako hapa ni nini?. Video ni fake or timing.

Hao walioleta habari ya uongo walikupa na video kama ushahidi?. Kama hawakukupa video, kwa nini unaona tatizo kwa Nape kuifuta habari yao ya kuchonga bila kuweka ushahidi wa video. Hakuishia hapo baada ya kubaini kina Tomaso wa kwenye Biblia ni wengi, basi akaamua kuleta video lakini siyo cha kushangaza kama bavicha watadai video ni fake kwa sababu hata ukiwambia tazama, hawawezi kuona.
 
Na hawa nguzo yao ni ipi!?




Hawa ambao CHADEMA inawapa viroba kabla ya kwenda kwenye mikutano ili waweze kuwadanganya kwa urahisi kama ilivyo sera yao ya uwongo na uzandiki kwa sababu akili inakuwa imeishakuwa intoxicated and poisonous.

 

Attachments

  • image.jpg
    187.6 KB · Views: 400
Wewe topic zako itakua hatuzijibu siku zijazo kwa sababu hujibu maswali yetu ya msingi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…