Mwisho wa Game of Thrones umenivunja moyo sana. Kwanini iishe hivi jamani?

Nimelia sana hadi mashavu yote yameumuka na kujaa machozi debe.

Sijapenda jinsi MOTHER DRAGON alivyopogwa BISU LA ROHO. Niliumia mnoo.

Nilitarajia MOTHER DRAGON anaendelea kugawa kichapo na kuvamia himaya zingine.

The Dragon Queen was truly dramatic.

Nimelia hadi nimejamba 😭😭😭

fundi bishoo
it surely caused trauma to many of us , of that I'm sure☹️
 
Da'Vinci very well written piece of information right there, I watched the whole series without subs , nilijifungia ndani week nzima , I didn't need food or even a mosquito noise

saddest series I've ever watch in my lifetime, imeniumiza sana moyo especially everything at the end it's like a puzzle, where did the dragon took the queen, will she return what if Tyrion misjudged the queen everything halt me in state of torpidity and vergence of anger☹️

Da'Vinci I am fan of your writings brother, I really I'm 🤞
Mwanangu una ID ngap
 
Nimelia sana hadi mashavu yote yameumuka na kujaa machozi debe.

Sijapenda jinsi MOTHER DRAGON alivyopigwa BISU LA TUMBO. Niliumia mnoo.

Nilitarajia kuona MOTHER DRAGON anaendelea kugawa kichapo na kuvamia himaya zingine.

The Dragon Queen was truly dramatic.

Nimelia hadi nimejamba 😭😭😭

fundi bishoo
😭😭nlivoona hii coment nimelia sana 😭😭😭😭😭 amekufaaa
 
Hii ndio maana halisi ya "Drama"kifupi ki afrika ndio ingeisha vile watazamaji wanataka but in real series na utamaduni wa wakati huo ilipaswa kuisha ilivyoisha
1.John Snow alimuhitaji Dragon mother kwa ajili ya vita na the dead lakini sio kwamba alimpenda
2.Dragon mother alikuwa threat kwa Starks na Snow alikuwa anaipenda hii familia asingeruhusu
3.Sikupenda Sansa kuwa queen of the north lakini ukiangalia mfumo ulimuandaa yeye zaidi as maisha yake yote amezunguka kwenye castles of queens and kings
4.nilitamani kuiona battle ya king Robert na King Tagaryen aliyeuliwa na Ser Jemie lakini tulikuwa tunahadithiwa TU
5.Naamini Sansa hatodumu sana kwenye Throne maana sio mzuri kwenye vita na ana ego
6.My best characters
1.John Snow
2.Samuel Tarry
3.Arya Stark(the north remember)
4.Cercei
5.Tyrion
6.Rafiki ya Tyrion
 
Hii ndio maana halisi ya "Drama"kifupi ki afrika ndio ingeisha vile watazamaji wanataka but in real series na utamaduni wa wakati huo ilipaswa kuisha ilivyoisha
1.John Snow alimuhitaji Dragon mother kwa ajili ya vita na the dead lakini sio kwamba alimpenda
2.Dragon mother alikuwa threat kwa Starks na Snow alikuwa anaipenda hii familia asingeruhusu
3.Sikupenda Sansa kuwa queen of the north lakini ukiangalia mfumo ulimuandaa yeye zaidi as maisha yake yote amezunguka kwenye castles of queens and kings
4.nilitamani kuiona battle ya king Robert na King Tagaryen aliyeuliwa na Ser Jemie lakini tulikuwa tunahadithiwa TU
5.Naamini Sansa hatodumu sana kwenye Throne maana sio mzuri kwenye vita na ana ego
6.My best characters
1.John Snow
2.Samuel Tarry
3.Arya Stark(the north remember)
4.Cercei
5.Tyrion
6.Rafiki ya Tyrion
on point 5 and 6 you are absolutely right brother .
 
Kwa wale ambao you've been watching this show I don't know why the end broke my heart so bad

inshort nimejisikia vibaya sana🥺😭

why the show had to end like that, why lakini🥺🥺🥺🥺🥺
kumbe nilidhani mgonjwa wa akili nipo peke yangu tuu ....kumbe tupo wengi hvi
 
Kwa wale ambao you've been watching this show I don't know why the end broke my heart so bad

inshort nimejisikia vibaya sana🥺😭

why the show had to end like that, why lakini🥺🥺🥺🥺🥺
Kila mtu alilalamika ila mwandishi wa vitabu yeye alikuwa hajakamilisha story so wao waliona waimalize hivyo. Pia kuanzia nadhani season 7 walibadilisha mwandishi aliharakisha kumharibu daenarys walau angempeleka taratibu hadi kufikia wazimu. Sema wazimu uko katika familia yao au umesahau the mad king.
Mwisho kabisa John snow ningependa angepata kuwa king lakini mwisho kakosa.
 
Back
Top Bottom