huyo ni fisadi hangoki
halafu ni fisadi mwenye roho mbaya sana , pamoja na wizi wake wote huu lakini sijawahi kusikia akisaidia saccos yoyote !
Huyu itakuwa anakula izo fedha za kifisadi na madada poa... Fedha za haramu uishia kwenye anasa..
Mkuu umeongea kwa hisia sana mpaka ukanikumbusha jinsi alivyogonga mtu na kuua na kesi ikaisha hivi hivi.
Ccm ikiondoka ndio mwisho wa mtemi chenge.
Mmh huyu jamaa ni jinni sidhani kama litang'oka
Huyu itakuwa anakula izo fedha za kifisadi na madada poa... Fedha za haramu uishia kwenye anasa..
Wewe utakumbukwa kwa lipi?Pia he will die na hatakumbukwa kwa jema zaidi ya kwenda kulichapa fimbo kabuli lake kwa kusababishia hasara taifa
.. christine ibrahim kweli kabisa ulichosema kila kitu kina mwanzo na mwisho, dunia hii washakuwepo viongozi mabedui walijifanya miungu mtu lkn walikufa na walizikwa kama mizogaaa
Watanzania wenzangu,
kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho,Chenge ambaye kwa sasa ni Mbunge na Mwenyeketi wa kamati ya Uandishi wa Katiba mpya mwisho wake hakika hakika unakaribia kuliko jinsi tunavyoamini
huyu mtu amekuwa kwenye system kwa miaka mingi na tukumbuke ni mmoja wa wasomi wachache wa taifa letu waliosoma harvard university
yaliyotokea mwisho wa week hii ndiyo chanzo cha kumalizika kabisa kwa fisadi huyu msomi ambaye katu hakuelimika na elimu yake
Chenge amen'golewa na nguvu ya maskini walewale aliokuwa akiwadharau siku zote,maazimio ya bunge yakisimamiwa na viongozi wetu tuliowatuma Bungeni yamesababisha kummaliza rasmi fisadi nguli Chenge,kwa taarifa tu ni kwamba Chenge ndiyo ametolewa rasmi kwenye system hii mbovu ambayo ni wajibu wetu watanzania wote kuitengeneza upya,fedha zote alizopata baada ya kuwasaidia wazungu ili watutapeli kwenye manunuzi ya rada zimefikia mwisho wake rasmi,fedha zote alizopata kwenye Escrow zinafikia mwisho wake,Kamwe Chenge hatarudi kwenye system hii milele na milele na kamwe hawezi kushinda ubunge tena na atakuwa mitaani na wana system wenzake watamgeuka na ATAVUNA ALICHOPANDA!
kilichobaki sasa hivi kwa Watanzania ni kuendelea kupambana kwa kutumia viongozi wetu na huku tukiwaombea na kuchangia vyama vyetu kwa nguvu zote ili tuweze kuendelea kuivunja system kidogo kidogo kwani system imeharibika mno kiasi kwamba tukisema ni ku offload once tutasababisha vita ya maangamizi kwenye taifa letu,
nimetoka kanisani na tumemshukuru Mungu kwa hapa tulipofika soo far,
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA VIONGOZI WAAMINIFU,AMEN!
Watanzania wenzangu,
kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho,Chenge ambaye kwa sasa ni Mbunge na Mwenyeketi wa kamati ya Uandishi wa Katiba mpya mwisho wake hakika hakika unakaribia kuliko jinsi tunavyoamini
huyu mtu amekuwa kwenye system kwa miaka mingi na tukumbuke ni mmoja wa wasomi wachache wa taifa letu waliosoma harvard university
yaliyotokea mwisho wa week hii ndiyo chanzo cha kumalizika kabisa kwa fisadi huyu msomi ambaye katu hakuelimika na elimu yake
Chenge amen'golewa na nguvu ya maskini walewale aliokuwa akiwadharau siku zote,maazimio ya bunge yakisimamiwa na viongozi wetu tuliowatuma Bungeni yamesababisha kummaliza rasmi fisadi nguli Chenge,kwa taarifa tu ni kwamba Chenge ndiyo ametolewa rasmi kwenye system hii mbovu ambayo ni wajibu wetu watanzania wote kuitengeneza upya,fedha zote alizopata baada ya kuwasaidia wazungu ili watutapeli kwenye manunuzi ya rada zimefikia mwisho wake rasmi,fedha zote alizopata kwenye Escrow zinafikia mwisho wake,Kamwe Chenge hatarudi kwenye system hii milele na milele na kamwe hawezi kushinda ubunge tena na atakuwa mitaani na wana system wenzake watamgeuka na ATAVUNA ALICHOPANDA!
kilichobaki sasa hivi kwa Watanzania ni kuendelea kupambana kwa kutumia viongozi wetu na huku tukiwaombea na kuchangia vyama vyetu kwa nguvu zote ili tuweze kuendelea kuivunja system kidogo kidogo kwani system imeharibika mno kiasi kwamba tukisema ni ku offload once tutasababisha vita ya maangamizi kwenye taifa letu,
nimetoka kanisani na tumemshukuru Mungu kwa hapa tulipofika soo far,
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA VIONGOZI WAAMINIFU,AMEN!