Kwa kuuza bandari,vitalu vya gesi pamoja na mbuga za Loliondo huku wakijinasibisha na wafanyabiashara wakubwa mafisadi wanaoihijumu nchi hata mimi nakubaliana na wewe hawana nongwa kabisa!Viongozi wengi wa kiislamu hawana nongwa,wale wengine Sasa
Nyie mnamtetea ambaye kashindwa kuwatetea Wapalestina.Kiujumla hana uwezoMungu wenu hamumtetei!?
Hilo nalo unabisha kwa sbb alikuwa ndugu yako katika Iman?Haya twambie Loliondo inamilikiwa na nani?Hujui Bei Ila kila mahala unabwata 'aliuza loliondo kwa waarabu' Kama mgonjwa akili
Tafakuri Jadidi:
Mzee Mwinyi Anaondoka Na Hatuna Kinyongo Nae..
" Kila zama na kitabu chake"- Ali Hassan Mwinyi.
Na leo Watanzania zimetufikia habari za kuhitimishwa kwa Sura ya Mwisho ya Kitabu Cha Mzee Mwinyi. Ameifariki Dunia.
Umma umegubikwa na simanzi. Mzee Mwinyi tulimpenda sana.
Naam, kwamba ‘ Kila Zama Na Kitabu Chake’ maneno hayo yalipata kusemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Ni miaka mingi iliyopita.
Kwenye kila zama na kitabu chake, Mzee Mwinyi anazungumzia juu ya nyakati. Uwezo wa kusoma alama za nyakati. Mwanafalsafa Benjamin Di Israel alipata kuzungumzia juu ya dhana ya kiongozi mzuri.
Kwamba kiongozi mzuri ni yule anayejijua mwenyewe na nyakati zinazomzunguka- He who knows himself and the time that sorounds him. ( Zilikuwa nyakati nyingine, siku hizi Kiongozi Mkuu aweza kuwa mwanamke kama ilivyo kwetu.)
Na ilivyo kwa mwanadamu, hata anapogombea nafasi ya juu ya uongozi wa nchi, mbali ya matarajio ya chama kilichomteua, naye, kama mwanadamu, huwa na matarajio yake ya anayotaka akumbukwe nayo pindi atakapotoka madarakani. Inahusu legacy.
Kwa mtazamo wangu, na wengi wenye kufuatilia masuala ya kisiasa, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa ' Mliberali'.
Alipoingia madarakani alikutana na jamii iliyozoea ' marufuku' ya hiki na kile. Mzee Mwinyi akaja na ' ruksa' kwa watu kufanya mambo yao alimradi wanafuata sheria. Ndio msingi wa kuitwa " Mzee Ruksa'.
Naam, zama za Mzee Mwinyi zilikuwa ni ' Zama za Ruksa'. Ni zama zilizofungua milango ya watu kufanya biashara na upana wa demokrasia ikiwamo uhuru wa watu kujieleza ikiwamo magazeti na hata Televisheni.
Na kwenye utawala wake, Mzee Mwinyi alivumilia maneno mengi dhidi yake. Mwinyi hakuishia kusemwa tu, kuna hata waliodiriki ' Kumtukana matusi ya nguoni' kama alivyotamka mwenyewe kwenye moja ya hotuba zake miaka ile ya 90 mwanzoni.
Lakini, Mzee Mwinyi hakuyumbishwa katika yale mema aliyoazimia kuwatendea watu wake.
Siku moja kabla ya kukabidhi madaraka kwa Benjamin Mkapa, Mzee Mwinyi, akiwa chini ya shutuma nyingi dhidi yake kwenye vyombo vya habari na hata Wana- CCM wenzake, alichagua kwenda kuzungumza na Wananchi pale Manzese.
Ndio, Mwinyi aliongea na wananchi wa hali za chini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ukombozi; eneo la Manzese Uzuri. Nilikuwepo pale viwanjani kushuhudia tukio lile.
Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake alianza kwa
kuwashukuru wananchi na baadae akasema;
" Ndugu zangu,
Nilipoingia madarakani niliwakuta mkipanga foleni ya sukari, unga, na hata mkinunua bidhaa muhimu kwenye ' Maduka ya Kaya, kweli si kweli?"
" Kweliii...!" Umma uliitikia.
"Je, leo mnapanga foleni ya sukari au kwenda kununua bidhaa muhimu kwenye maduka ya kaya tu?" - Mwinyi aliwauliza wananchi wale.
Jibu likawa la sauti ya jumla;
" Hapanaa!"
Mwinyi akaendelea na kuwapa mifano mingine kadhaa ya hali aliyoikuta akiingia madarakani, na kuwauliza wananchi wale kama hali imebaki hivyo hivyo kwa wakati ule akiondoka madarakani. Na majibu yakawa ni ' Hapanaa!"
Na siku ikawadia. Ni siku ya kwenda Uwanja wa Taifa kukabidhi mamlaka ya uongozi wa nchi kwa Benjamin Mkapa. Kuna wananchi waliojipanga kutoka Ikulu ya Magogoni kumpungia mikono ya kumsindikiza Mwinyi akielekea Uwanja wa Taifa.
Na pale uwanjani Mwinyi alipokewa na sauti za ' Ruksaa, Ruksaa!" Ni kutoka kwa Wananchi.
Naam, kila zama na kitabu chake.
Kwaheri Mzee Wetu Mpendwa, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
PS:
Na kwenye moja ya hotuba zake za kuwaaga Wananchi wake Mzee Mwinyi alisikika akisema;
" Na wote walonitukana, hata matusi ya nguoni mie sina kinyongo nao."
Nasi twasema, hatuna kinyongo na Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Tafakuri Jadidi:
Mzee Mwinyi Anaondoka Na Hatuna Kinyongo Nae..
" Kila zama na kitabu chake"- Ali Hassan Mwinyi.
Na leo Watanzania zimetufikia habari za kuhitimishwa kwa Sura ya Mwisho ya Kitabu Cha Mzee Mwinyi. Ameifariki Dunia.
Umma umegubikwa na simanzi. Mzee Mwinyi tulimpenda sana.
Naam, kwamba ‘ Kila Zama Na Kitabu Chake’ maneno hayo yalipata kusemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Ni miaka mingi iliyopita.
Kwenye kila zama na kitabu chake, Mzee Mwinyi anazungumzia juu ya nyakati. Uwezo wa kusoma alama za nyakati. Mwanafalsafa Benjamin Di Israel alipata kuzungumzia juu ya dhana ya kiongozi mzuri.
Kwamba kiongozi mzuri ni yule anayejijua mwenyewe na nyakati zinazomzunguka- He who knows himself and the time that sorounds him. ( Zilikuwa nyakati nyingine, siku hizi Kiongozi Mkuu aweza kuwa mwanamke kama ilivyo kwetu.)
Na ilivyo kwa mwanadamu, hata anapogombea nafasi ya juu ya uongozi wa nchi, mbali ya matarajio ya chama kilichomteua, naye, kama mwanadamu, huwa na matarajio yake ya anayotaka akumbukwe nayo pindi atakapotoka madarakani. Inahusu legacy.
Kwa mtazamo wangu, na wengi wenye kufuatilia masuala ya kisiasa, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa ' Mliberali'.
Alipoingia madarakani alikutana na jamii iliyozoea ' marufuku' ya hiki na kile. Mzee Mwinyi akaja na ' ruksa' kwa watu kufanya mambo yao alimradi wanafuata sheria. Ndio msingi wa kuitwa " Mzee Ruksa'.
Naam, zama za Mzee Mwinyi zilikuwa ni ' Zama za Ruksa'. Ni zama zilizofungua milango ya watu kufanya biashara na upana wa demokrasia ikiwamo uhuru wa watu kujieleza ikiwamo magazeti na hata Televisheni.
Na kwenye utawala wake, Mzee Mwinyi alivumilia maneno mengi dhidi yake. Mwinyi hakuishia kusemwa tu, kuna hata waliodiriki ' Kumtukana matusi ya nguoni' kama alivyotamka mwenyewe kwenye moja ya hotuba zake miaka ile ya 90 mwanzoni.
Lakini, Mzee Mwinyi hakuyumbishwa katika yale mema aliyoazimia kuwatendea watu wake.
Siku moja kabla ya kukabidhi madaraka kwa Benjamin Mkapa, Mzee Mwinyi, akiwa chini ya shutuma nyingi dhidi yake kwenye vyombo vya habari na hata Wana- CCM wenzake, alichagua kwenda kuzungumza na Wananchi pale Manzese.
Ndio, Mwinyi aliongea na wananchi wa hali za chini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ukombozi; eneo la Manzese Uzuri. Nilikuwepo pale viwanjani kushuhudia tukio lile.
Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake alianza kwa
kuwashukuru wananchi na baadae akasema;
" Ndugu zangu,
Nilipoingia madarakani niliwakuta mkipanga foleni ya sukari, unga, na hata mkinunua bidhaa muhimu kwenye ' Maduka ya Kaya, kweli si kweli?"
" Kweliii...!" Umma uliitikia.
"Je, leo mnapanga foleni ya sukari au kwenda kununua bidhaa muhimu kwenye maduka ya kaya tu?" - Mwinyi aliwauliza wananchi wale.
Jibu likawa la sauti ya jumla;
" Hapanaa!"
Mwinyi akaendelea na kuwapa mifano mingine kadhaa ya hali aliyoikuta akiingia madarakani, na kuwauliza wananchi wale kama hali imebaki hivyo hivyo kwa wakati ule akiondoka madarakani. Na majibu yakawa ni ' Hapanaa!"
Na siku ikawadia. Ni siku ya kwenda Uwanja wa Taifa kukabidhi mamlaka ya uongozi wa nchi kwa Benjamin Mkapa. Kuna wananchi waliojipanga kutoka Ikulu ya Magogoni kumpungia mikono ya kumsindikiza Mwinyi akielekea Uwanja wa Taifa.
Na pale uwanjani Mwinyi alipokewa na sauti za ' Ruksaa, Ruksaa!" Ni kutoka kwa Wananchi.
Naam, kila zama na kitabu chake.
Kwaheri Mzee Wetu Mpendwa, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
PS:
Na kwenye moja ya hotuba zake za kuwaaga Wananchi wake Mzee Mwinyi alisikika akisema;
" Na wote walonitukana, hata matusi ya nguoni mie sina kinyongo nao."
Nasi twasema, hatuna kinyongo na Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Siasa na dini zinawatesa sana wachag*a na CdmDogo umetoa point imeenda shule. Hakuna asiye na makandokando. Wakati wa Mwinyi tulishuhudia udini ukihatarisha amani ya nchi hii, pale mnazi mmoja palichafuka kwa issues za kidini.
Mwembechai palikuwa moto. Makundi ya kukashfu dini yalikuwa hatari yakizunguka nchini kuendesha mihadhara michafu bila kudhibitiwa! Ilikuwa mbaya sana.
Ufisadi hatari hadi mataifa yalikataa kuipa mkopo nchi tukaambiwa mbona kuna waziri ana hela kuzidi zile tunakopa hivyo tukope kwake.
R.I.P Kighoma Ally Malima, mzee wa fitna alienda ku freeze ac zake akapata pressure akafa.
Alitaka kuanzisha alshabab pake kibaha. Tukapona.
Ngoja niishie hapo.
Mwinyi huyu aliyemuua mwandishi wa habari Katabaro kisa kahoji Warabu Kuhuziwa Loliondo.Kama Mrema angelikuwa hai ndiye angelisimulia maana kuna kipindi alimkamata mke wake akitorosha dhahabu,na uwaziri wa mambo ya ndani ukakomea hapo.Tafakuri Jadidi:
Mzee Mwinyi Anaondoka Na Hatuna Kinyongo Nae..
" Kila zama na kitabu chake"- Ali Hassan Mwinyi.
Na leo Watanzania zimetufikia habari za kuhitimishwa kwa Sura ya Mwisho ya Kitabu Cha Mzee Mwinyi. Ameifariki Dunia.
Umma umegubikwa na simanzi. Mzee Mwinyi tulimpenda sana.
Naam, kwamba ‘ Kila Zama Na Kitabu Chake’ maneno hayo yalipata kusemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Ni miaka mingi iliyopita.
Kwenye kila zama na kitabu chake, Mzee Mwinyi anazungumzia juu ya nyakati. Uwezo wa kusoma alama za nyakati. Mwanafalsafa Benjamin Di Israel alipata kuzungumzia juu ya dhana ya kiongozi mzuri.
Kwamba kiongozi mzuri ni yule anayejijua mwenyewe na nyakati zinazomzunguka- He who knows himself and the time that sorounds him. ( Zilikuwa nyakati nyingine, siku hizi Kiongozi Mkuu aweza kuwa mwanamke kama ilivyo kwetu.)
Na ilivyo kwa mwanadamu, hata anapogombea nafasi ya juu ya uongozi wa nchi, mbali ya matarajio ya chama kilichomteua, naye, kama mwanadamu, huwa na matarajio yake ya anayotaka akumbukwe nayo pindi atakapotoka madarakani. Inahusu legacy.
Kwa mtazamo wangu, na wengi wenye kufuatilia masuala ya kisiasa, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa ' Mliberali'.
Alipoingia madarakani alikutana na jamii iliyozoea ' marufuku' ya hiki na kile. Mzee Mwinyi akaja na ' ruksa' kwa watu kufanya mambo yao alimradi wanafuata sheria. Ndio msingi wa kuitwa " Mzee Ruksa'.
Naam, zama za Mzee Mwinyi zilikuwa ni ' Zama za Ruksa'. Ni zama zilizofungua milango ya watu kufanya biashara na upana wa demokrasia ikiwamo uhuru wa watu kujieleza ikiwamo magazeti na hata Televisheni.
Na kwenye utawala wake, Mzee Mwinyi alivumilia maneno mengi dhidi yake. Mwinyi hakuishia kusemwa tu, kuna hata waliodiriki ' Kumtukana matusi ya nguoni' kama alivyotamka mwenyewe kwenye moja ya hotuba zake miaka ile ya 90 mwanzoni.
Lakini, Mzee Mwinyi hakuyumbishwa katika yale mema aliyoazimia kuwatendea watu wake.
Siku moja kabla ya kukabidhi madaraka kwa Benjamin Mkapa, Mzee Mwinyi, akiwa chini ya shutuma nyingi dhidi yake kwenye vyombo vya habari na hata Wana- CCM wenzake, alichagua kwenda kuzungumza na Wananchi pale Manzese.
Ndio, Mwinyi aliongea na wananchi wa hali za chini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ukombozi; eneo la Manzese Uzuri. Nilikuwepo pale viwanjani kushuhudia tukio lile.
Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake alianza kwa
kuwashukuru wananchi na baadae akasema;
" Ndugu zangu,
Nilipoingia madarakani niliwakuta mkipanga foleni ya sukari, unga, na hata mkinunua bidhaa muhimu kwenye ' Maduka ya Kaya, kweli si kweli?"
" Kweliii...!" Umma uliitikia.
"Je, leo mnapanga foleni ya sukari au kwenda kununua bidhaa muhimu kwenye maduka ya kaya tu?" - Mwinyi aliwauliza wananchi wale.
Jibu likawa la sauti ya jumla;
" Hapanaa!"
Mwinyi akaendelea na kuwapa mifano mingine kadhaa ya hali aliyoikuta akiingia madarakani, na kuwauliza wananchi wale kama hali imebaki hivyo hivyo kwa wakati ule akiondoka madarakani. Na majibu yakawa ni ' Hapanaa!"
Na siku ikawadia. Ni siku ya kwenda Uwanja wa Taifa kukabidhi mamlaka ya uongozi wa nchi kwa Benjamin Mkapa. Kuna wananchi waliojipanga kutoka Ikulu ya Magogoni kumpungia mikono ya kumsindikiza Mwinyi akielekea Uwanja wa Taifa.
Na pale uwanjani Mwinyi alipokewa na sauti za ' Ruksaa, Ruksaa!" Ni kutoka kwa Wananchi.
Naam, kila zama na kitabu chake.
Kwaheri Mzee Wetu Mpendwa, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
PS:
Na kwenye moja ya hotuba zake za kuwaaga Wananchi wake Mzee Mwinyi alisikika akisema;
" Na wote walonitukana, hata matusi ya nguoni mie sina kinyongo nao."
Nasi twasema, hatuna kinyongo na Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Ni maoni yako mama. Lazima tuyaheshimu. Lakini kwangu mie Julius Nyerere ndiye Bora zaidiTafakuri Jadidi:
Mzee Mwinyi Anaondoka Na Hatuna Kinyongo Nae..
" Kila zama na kitabu chake"- Ali Hassan Mwinyi.
Na leo Watanzania zimetufikia habari za kuhitimishwa kwa Sura ya Mwisho ya Kitabu Cha Mzee Mwinyi. Ameifariki Dunia.
Umma umegubikwa na simanzi. Mzee Mwinyi tulimpenda sana.
Naam, kwamba ‘ Kila Zama Na Kitabu Chake’ maneno hayo yalipata kusemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Ni miaka mingi iliyopita.
Kwenye kila zama na kitabu chake, Mzee Mwinyi anazungumzia juu ya nyakati. Uwezo wa kusoma alama za nyakati. Mwanafalsafa Benjamin Di Israel alipata kuzungumzia juu ya dhana ya kiongozi mzuri.
Kwamba kiongozi mzuri ni yule anayejijua mwenyewe na nyakati zinazomzunguka- He who knows himself and the time that sorounds him. ( Zilikuwa nyakati nyingine, siku hizi Kiongozi Mkuu aweza kuwa mwanamke kama ilivyo kwetu.)
Na ilivyo kwa mwanadamu, hata anapogombea nafasi ya juu ya uongozi wa nchi, mbali ya matarajio ya chama kilichomteua, naye, kama mwanadamu, huwa na matarajio yake ya anayotaka akumbukwe nayo pindi atakapotoka madarakani. Inahusu legacy.
Kwa mtazamo wangu, na wengi wenye kufuatilia masuala ya kisiasa, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa ' Mliberali'.
Alipoingia madarakani alikutana na jamii iliyozoea ' marufuku' ya hiki na kile. Mzee Mwinyi akaja na ' ruksa' kwa watu kufanya mambo yao alimradi wanafuata sheria. Ndio msingi wa kuitwa " Mzee Ruksa'.
Naam, zama za Mzee Mwinyi zilikuwa ni ' Zama za Ruksa'. Ni zama zilizofungua milango ya watu kufanya biashara na upana wa demokrasia ikiwamo uhuru wa watu kujieleza ikiwamo magazeti na hata Televisheni.
Na kwenye utawala wake, Mzee Mwinyi alivumilia maneno mengi dhidi yake. Mwinyi hakuishia kusemwa tu, kuna hata waliodiriki ' Kumtukana matusi ya nguoni' kama alivyotamka mwenyewe kwenye moja ya hotuba zake miaka ile ya 90 mwanzoni.
Lakini, Mzee Mwinyi hakuyumbishwa katika yale mema aliyoazimia kuwatendea watu wake.
Siku moja kabla ya kukabidhi madaraka kwa Benjamin Mkapa, Mzee Mwinyi, akiwa chini ya shutuma nyingi dhidi yake kwenye vyombo vya habari na hata Wana- CCM wenzake, alichagua kwenda kuzungumza na Wananchi pale Manzese.
Ndio, Mwinyi aliongea na wananchi wa hali za chini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ukombozi; eneo la Manzese Uzuri. Nilikuwepo pale viwanjani kushuhudia tukio lile.
Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake alianza kwa
kuwashukuru wananchi na baadae akasema;
" Ndugu zangu,
Nilipoingia madarakani niliwakuta mkipanga foleni ya sukari, unga, na hata mkinunua bidhaa muhimu kwenye ' Maduka ya Kaya, kweli si kweli?"
" Kweliii...!" Umma uliitikia.
"Je, leo mnapanga foleni ya sukari au kwenda kununua bidhaa muhimu kwenye maduka ya kaya tu?" - Mwinyi aliwauliza wananchi wale.
Jibu likawa la sauti ya jumla;
" Hapanaa!"
Mwinyi akaendelea na kuwapa mifano mingine kadhaa ya hali aliyoikuta akiingia madarakani, na kuwauliza wananchi wale kama hali imebaki hivyo hivyo kwa wakati ule akiondoka madarakani. Na majibu yakawa ni ' Hapanaa!"
Na siku ikawadia. Ni siku ya kwenda Uwanja wa Taifa kukabidhi mamlaka ya uongozi wa nchi kwa Benjamin Mkapa. Kuna wananchi waliojipanga kutoka Ikulu ya Magogoni kumpungia mikono ya kumsindikiza Mwinyi akielekea Uwanja wa Taifa.
Na pale uwanjani Mwinyi alipokewa na sauti za ' Ruksaa, Ruksaa!" Ni kutoka kwa Wananchi.
Naam, kila zama na kitabu chake.
Kwaheri Mzee Wetu Mpendwa, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
PS:
Na kwenye moja ya hotuba zake za kuwaaga Wananchi wake Mzee Mwinyi alisikika akisema;
" Na wote walonitukana, hata matusi ya nguoni mie sina kinyongo nao."
Nasi twasema, hatuna kinyongo na Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Mgodi wa dhahabu geita na kahama inamilikiwa na nani!?Hilo nalo unabisha kwa sbb alikuwa ndugu yako katika Iman?Haya twambie Loliondo inamilikiwa na nani?
Nyie mnaemtolea fungu la kumi Hana hata mia!?Nyie mnamtetea ambaye kashindwa kuwatetea Wapalestina.Kiujumla hana uwezo
Yeye mwenyewe alikiri kuwa alifanya makosa huyo anayekubishia sijui ana maana ganiMamayako ndiye aliyekosa akili timamu na kuachia fuvu lako litoke mule.
Vyote sawa tu kuuza kukodisha. Haikuwa mali yake. Wamasai wanaangamizwa kenge we.
Wanafiki sana Mwinyi alikuwa kiongozi dhaifu alishindwa kukusanya kodi, wauza madawa ya kulevya na Kampuni za mifukoni za clearing na hakutengeneza taasisi imara mpaka mkapa alipoanzisha TRA na taasisi nyingi tu.Ni kawaida wanafiki kusifia kila anayekufa. Kama mpaka Lowasa alimwagiwa sifa zile??
Nyie wenzetu ndo maana tawala zenu zinakuwa na udokozi mwingi! Upole kwenu ndo sifa ya uongozi;; tunaibiwa mnachekacheka tuTafakuri Jadidi:
Mzee Mwinyi Anaondoka Na Hatuna Kinyongo Nae..
" Kila zama na kitabu chake"- Ali Hassan Mwinyi.
Na leo Watanzania zimetufikia habari za kuhitimishwa kwa Sura ya Mwisho ya Kitabu Cha Mzee Mwinyi. Ameifariki Dunia.
Umma umegubikwa na simanzi. Mzee Mwinyi tulimpenda sana.
Naam, kwamba ‘ Kila Zama Na Kitabu Chake’ maneno hayo yalipata kusemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Ni miaka mingi iliyopita.
Kwenye kila zama na kitabu chake, Mzee Mwinyi anazungumzia juu ya nyakati. Uwezo wa kusoma alama za nyakati. Mwanafalsafa Benjamin Di Israel alipata kuzungumzia juu ya dhana ya kiongozi mzuri.
Kwamba kiongozi mzuri ni yule anayejijua mwenyewe na nyakati zinazomzunguka- He who knows himself and the time that sorounds him. ( Zilikuwa nyakati nyingine, siku hizi Kiongozi Mkuu aweza kuwa mwanamke kama ilivyo kwetu.)
Na ilivyo kwa mwanadamu, hata anapogombea nafasi ya juu ya uongozi wa nchi, mbali ya matarajio ya chama kilichomteua, naye, kama mwanadamu, huwa na matarajio yake ya anayotaka akumbukwe nayo pindi atakapotoka madarakani. Inahusu legacy.
Kwa mtazamo wangu, na wengi wenye kufuatilia masuala ya kisiasa, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa ' Mliberali'.
Alipoingia madarakani alikutana na jamii iliyozoea ' marufuku' ya hiki na kile. Mzee Mwinyi akaja na ' ruksa' kwa watu kufanya mambo yao alimradi wanafuata sheria. Ndio msingi wa kuitwa " Mzee Ruksa'.
Naam, zama za Mzee Mwinyi zilikuwa ni ' Zama za Ruksa'. Ni zama zilizofungua milango ya watu kufanya biashara na upana wa demokrasia ikiwamo uhuru wa watu kujieleza ikiwamo magazeti na hata Televisheni.
Na kwenye utawala wake, Mzee Mwinyi alivumilia maneno mengi dhidi yake. Mwinyi hakuishia kusemwa tu, kuna hata waliodiriki ' Kumtukana matusi ya nguoni' kama alivyotamka mwenyewe kwenye moja ya hotuba zake miaka ile ya 90 mwanzoni.
Lakini, Mzee Mwinyi hakuyumbishwa katika yale mema aliyoazimia kuwatendea watu wake.
Siku moja kabla ya kukabidhi madaraka kwa Benjamin Mkapa, Mzee Mwinyi, akiwa chini ya shutuma nyingi dhidi yake kwenye vyombo vya habari na hata Wana- CCM wenzake, alichagua kwenda kuzungumza na Wananchi pale Manzese.
Ndio, Mwinyi aliongea na wananchi wa hali za chini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ukombozi; eneo la Manzese Uzuri. Nilikuwepo pale viwanjani kushuhudia tukio lile.
Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake alianza kwa
kuwashukuru wananchi na baadae akasema;
" Ndugu zangu,
Nilipoingia madarakani niliwakuta mkipanga foleni ya sukari, unga, na hata mkinunua bidhaa muhimu kwenye ' Maduka ya Kaya, kweli si kweli?"
" Kweliii...!" Umma uliitikia.
"Je, leo mnapanga foleni ya sukari au kwenda kununua bidhaa muhimu kwenye maduka ya kaya tu?" - Mwinyi aliwauliza wananchi wale.
Jibu likawa la sauti ya jumla;
" Hapanaa!"
Mwinyi akaendelea na kuwapa mifano mingine kadhaa ya hali aliyoikuta akiingia madarakani, na kuwauliza wananchi wale kama hali imebaki hivyo hivyo kwa wakati ule akiondoka madarakani. Na majibu yakawa ni ' Hapanaa!"
Na siku ikawadia. Ni siku ya kwenda Uwanja wa Taifa kukabidhi mamlaka ya uongozi wa nchi kwa Benjamin Mkapa. Kuna wananchi waliojipanga kutoka Ikulu ya Magogoni kumpungia mikono ya kumsindikiza Mwinyi akielekea Uwanja wa Taifa.
Na pale uwanjani Mwinyi alipokewa na sauti za ' Ruksaa, Ruksaa!" Ni kutoka kwa Wananchi.
Naam, kila zama na kitabu chake.
Kwaheri Mzee Wetu Mpendwa, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
PS:
Na kwenye moja ya hotuba zake za kuwaaga Wananchi wake Mzee Mwinyi alisikika akisema;
" Na wote walonitukana, hata matusi ya nguoni mie sina kinyongo nao."
Nasi twasema, hatuna kinyongo na Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Wenzake wanamsifia tu na wameshasahau aliuza kipande cha nchi. Sijui alipewa nini kitakachomsaidia huko anakokwendaMwendazake Rais Alhy H. Mwinyi aliuza Loliondo.
R.I.P Mzee "Ruksa"
Tafakuri Jadidi:
Mzee Mwinyi Anaondoka Na Hatuna Kinyongo Nae..
" Kila zama na kitabu chake"- Ali Hassan Mwinyi.
Na leo Watanzania zimetufikia habari za kuhitimishwa kwa Sura ya Mwisho ya Kitabu Cha Mzee Mwinyi. Ameifariki Dunia.
Umma umegubikwa na simanzi. Mzee Mwinyi tulimpenda sana.
Naam, kwamba ‘ Kila Zama Na Kitabu Chake’ maneno hayo yalipata kusemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Ni miaka mingi iliyopita.
Kwenye kila zama na kitabu chake, Mzee Mwinyi anazungumzia juu ya nyakati. Uwezo wa kusoma alama za nyakati. Mwanafalsafa Benjamin Di Israel alipata kuzungumzia juu ya dhana ya kiongozi mzuri.
Kwamba kiongozi mzuri ni yule anayejijua mwenyewe na nyakati zinazomzunguka- He who knows himself and the time that sorounds him. ( Zilikuwa nyakati nyingine, siku hizi Kiongozi Mkuu aweza kuwa mwanamke kama ilivyo kwetu.)
Na ilivyo kwa mwanadamu, hata anapogombea nafasi ya juu ya uongozi wa nchi, mbali ya matarajio ya chama kilichomteua, naye, kama mwanadamu, huwa na matarajio yake ya anayotaka akumbukwe nayo pindi atakapotoka madarakani. Inahusu legacy.
Kwa mtazamo wangu, na wengi wenye kufuatilia masuala ya kisiasa, Mzee Ali Hassan Mwinyi alikuwa ' Mliberali'.
Alipoingia madarakani alikutana na jamii iliyozoea ' marufuku' ya hiki na kile. Mzee Mwinyi akaja na ' ruksa' kwa watu kufanya mambo yao alimradi wanafuata sheria. Ndio msingi wa kuitwa " Mzee Ruksa'.
Naam, zama za Mzee Mwinyi zilikuwa ni ' Zama za Ruksa'. Ni zama zilizofungua milango ya watu kufanya biashara na upana wa demokrasia ikiwamo uhuru wa watu kujieleza ikiwamo magazeti na hata Televisheni.
Na kwenye utawala wake, Mzee Mwinyi alivumilia maneno mengi dhidi yake. Mwinyi hakuishia kusemwa tu, kuna hata waliodiriki ' Kumtukana matusi ya nguoni' kama alivyotamka mwenyewe kwenye moja ya hotuba zake miaka ile ya 90 mwanzoni.
Lakini, Mzee Mwinyi hakuyumbishwa katika yale mema aliyoazimia kuwatendea watu wake.
Siku moja kabla ya kukabidhi madaraka kwa Benjamin Mkapa, Mzee Mwinyi, akiwa chini ya shutuma nyingi dhidi yake kwenye vyombo vya habari na hata Wana- CCM wenzake, alichagua kwenda kuzungumza na Wananchi pale Manzese.
Ndio, Mwinyi aliongea na wananchi wa hali za chini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ukombozi; eneo la Manzese Uzuri. Nilikuwepo pale viwanjani kushuhudia tukio lile.
Mzee Mwinyi kwenye hotuba yake alianza kwa
kuwashukuru wananchi na baadae akasema;
" Ndugu zangu,
Nilipoingia madarakani niliwakuta mkipanga foleni ya sukari, unga, na hata mkinunua bidhaa muhimu kwenye ' Maduka ya Kaya, kweli si kweli?"
" Kweliii...!" Umma uliitikia.
"Je, leo mnapanga foleni ya sukari au kwenda kununua bidhaa muhimu kwenye maduka ya kaya tu?" - Mwinyi aliwauliza wananchi wale.
Jibu likawa la sauti ya jumla;
" Hapanaa!"
Mwinyi akaendelea na kuwapa mifano mingine kadhaa ya hali aliyoikuta akiingia madarakani, na kuwauliza wananchi wale kama hali imebaki hivyo hivyo kwa wakati ule akiondoka madarakani. Na majibu yakawa ni ' Hapanaa!"
Na siku ikawadia. Ni siku ya kwenda Uwanja wa Taifa kukabidhi mamlaka ya uongozi wa nchi kwa Benjamin Mkapa. Kuna wananchi waliojipanga kutoka Ikulu ya Magogoni kumpungia mikono ya kumsindikiza Mwinyi akielekea Uwanja wa Taifa.
Na pale uwanjani Mwinyi alipokewa na sauti za ' Ruksaa, Ruksaa!" Ni kutoka kwa Wananchi.
Naam, kila zama na kitabu chake.
Kwaheri Mzee Wetu Mpendwa, Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
PS:
Na kwenye moja ya hotuba zake za kuwaaga Wananchi wake Mzee Mwinyi alisikika akisema;
" Na wote walonitukana, hata matusi ya nguoni mie sina kinyongo nao."
Nasi twasema, hatuna kinyongo na Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi.
Kuna utawala wenye udokozi kuzidi wa mkapa na magufuli?Nyie wenzetu ndo maana tawala zenu zinakuwa na udokozi mwingi! Upole kwenu ndo sifa ya uongozi;; tunaibiwa mnachekacheka tu