Papasa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 1,948
- 4,133
Kuna mzee mmoja alisema haya hayata tokea tena sasa imekuaje tena.
===
Kwa mujibu wa Maelezo ya Polisi, mwanaume huyo alisombwa na maji wakati akijaribu kuvuka kutoka upande mmoja wa mto kwenda upande wa pili. Ndugu wa Marehemu wameweza kuutambua mwili huo ambao kwa sasa ulikuwa umeanza kuharibika.
===
Kwa mujibu wa Maelezo ya Polisi, mwanaume huyo alisombwa na maji wakati akijaribu kuvuka kutoka upande mmoja wa mto kwenda upande wa pili. Ndugu wa Marehemu wameweza kuutambua mwili huo ambao kwa sasa ulikuwa umeanza kuharibika.