Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,950
- 2,149
Ndo dawa yao hawa teh teh teh. Ukibishana na mjinga atakushusha kwenye level yake na kuku beat kwa experience ya level yake
kati ya hao uliowataja yupi anaendelea kuishi na yupi kafa? unadhani kagame anakufa kizembe zembe hivyo kama kuku? halafu usiendelee kupotosha umma humu kagame hajasomea millitary academy monduli na monduli haina hadhi ya kumfundisha kagame ila monduli nijuavyo ina hadhi tu ya kuwafundisha maaskari wa " comoro ", " Seychelles " na " madagascar " na hao wanajeshi wa rwanda mnaowaona huko monduli wako kwa kazi maalum na wanawasanifu tu kwani mafunzo waliyonayo kamanda wenu mwakibolwa anayajua fika hadi " mkapunyuliwa " drc huku huyo " mountain " wenu " akadunguliwa ".
Ndo dawa yao hawa teh teh teh. Ukibishana na mjinga atakushusha kwenye level yake na kuku beat kwa experience ya level yake
Mkuu jf pana kazi kweli kweli!
Gentamycine sio mtanzania na ana ID nyingi sana humu. Huyu jamaa ni agent wa huyo rais anaemsifia. Tunawajua vizuri wengi wapo maeneo ya Tegeta, boko na bunju. Sitaki kuongea sana ila huyu jamaa msibishane nae yupo kazini watu tunamjua nje ndani
Makomandoo gani hao wa kibongo wanakula chips mayai huku mtaani
Kujitolea ni moyo
Gentamycine sio mtanzania na ana ID nyingi sana humu. Huyu jamaa ni agent wa huyo rais anaemsifia. Tunawajua vizuri wengi wapo maeneo ya Tegeta, boko na bunju. Sitaki kuongea sana ila huyu jamaa msibishane nae yupo kazini watu tunamjua nje ndani
duh!mohamed boudia, wadi hadad, abu nidal.....Mbona unazidisha ukiazi wewe??? Yoni aka Yonathan aka Jonathan, toka lini akawa Yurin?? Hata kwenye vitabu vyao wamemwita Yoni.. Halafu usiingie kabisa kwenye fani yangu mie commando na sniper mbaya sana sana.. Hapo bongo tulikua wanne tu enzi hizo.. Unakujua Lumumba university wewe?? Unamjua Mohamed Bouhdia wewe?? Usiache tukaanza kumwaga mtama kwenye kuku.... Nani hajui kiyahudi??kwa taarifa yako tu naongea lugha 7 kiufasaha kabisa..Kiazi wewe!!
na kwa kuongezea tu ni kwamba huyu jamaa amekuwa akitumika sana na museveni kwa kazi hizi hizi za kijasusi na alifanya kazi kubwa sana wakati wa vile vita vya akina kabila kule nchini congo na ni mnyarwanda japo yeye anajifanya ni raia wa tanzania kutoka mkoa wa mara na sifa yake kubwa ni kujua kucheza na akili za watu kwa kuwahadaa na kuwahamisheni kutoka eneo fulani na kuwapelekeni anapotaka yeye. ni mmoja wa wale wanyarwanda waitwao kadogoo waliopiganishwa na akina kagame na museveni kumsaidia hayati laurent desire kabila na kutokana na kukaa sana na museveni sasa kagame kamchukua na yupo tanzania kwa kazi maalum japo mara kadhaa huwa pia nchini rwanda na kuna watu amewapenyeza huko ktk taasisi nyeti huku akitumia ushawishi wake na uwezo wake mkubwa wa kupata taarifa zao na kumpelekea bosi wake kagame. mkuu Edobeny upo sahihi huyu jamaa GENTAMYCINE ni jasusi mkuu wa kagame hapa east africa ila kuna watu pia sasa wako kazini kupambana nae japo tukiri kuwa na yeye si mwepesi kama mnavyodhani kwani yupo vizuri sana.
kuuuu maah laaaa biiiiiiiiiiiiiiii biiiiiiiiiiiiiiiii akoooooooooooooooooooR.I.P LT R.A Mlima
usifananishe kufa kwa yurin netanyahu ( muisrael ) na huyu mlima kilimanjaro wenu. utamfananishaje myahudi na mnyamwezi? yurin kafa kishujaa baada ya kuwaokoa wale hostages pale uwanjani je huyu mlima kilimanjaro wenu kama baada ya kutaka kufanya nini? usikute alikuwa anataka tu kuiba dhahabu au almasi za " wakongo " watu wakamaliza shughuli. commando anauwawa kizembe namna hii? sijapata kuona. halafu mwambie na huyo " poyoyo " mwenzio kuwa kikosi cha commando siyo 92kj bali ni 94kj hicho cha 92kj labda ndiyo hicho cha wakongo kilichomdungua mlima kilimanjaro wenu. nadhani huyo " sniper " ndiyo angefaa sasa awe " commando ".
Huyu Ni kitengo cha propaganda tu wala si jasusi! Jasusi atafanya mambo ya hovyo namna hii ktk mitandao? Anatafuta nini mpk afanye mambo ya hovyo? Huyu kz Yake ni kueneza propaganda mbovu kusiliba tu! Majasusi hufanya kz zao kimya na kwa ufasaha Zaidi. Na huyu hayuko Tz yuko huko kwao ndiko anakoposti huu uchafu! Mnampa masifa eti jasusi wakati huyu Ni mganga njaa tu kitengo cha propaganda? Wakenya pia wanao watu wao humu, huyu yeye anatumika na Rwada tu! Uganda sio sn!