Mwili wa commando Lt. Mlima kuwasili leo

Mwili wa commando Lt. Mlima kuwasili leo

sasa wewe unadhani hivi unavyoropoka na kutoa siri zote ya nini kinafanyika dhidi yake ndiko kunakusaidia au ndiyo kwanza unamfanya azidi na yeye kujijenga kimbinu? mbona na wewe sasa unakwenda kinyume na medani za kijasusi na kivita? mimi nimekuambia nini na wewe unaendelea kufanya nini? huyu mtu huwezi kumpata kupitia humu mtandaoni kwani hakuna siyejua kuwa ana id's zaidi ya 10 humu na inawezekana zote zikawa zinatumika na usije ukashangaa kuna hata posts humu unaweza ukaona kama vile zinamsema au kumpinga kumbe zote zikawa ni zake hivyo mwishowe ukajikuta unajaza maji ktk pipa huku kule chini hakujazibwa. na labda nikusaidie tu katika masomo yote ya ujasusi duniani kote somo la propaganda lipo au sehemu ya kozi na nimekuambia kuwa kwa mujibu ya mtu anayetupa taarifa zake ni kwamba jamaa ni jasusi na mafia pia na yupo vizuri na unavyozidi kumsema na kumfuatilia humu ni kama unampandisha chati na azidi kujulikana labda pengine wewe ukijua unambomoa. kama hao mods unasema wana wataalam wao imekuwaje ndani ya miezi 3 / 4 walishindwa kujua kuwa anatumia password moja kwa id's mbili tofauti? na bila member mmoja humu kumshtukia na nadhani alikuwa ni mussolin5 na baadae kadoda 11 mods wasingemjua na angeendelea tu kutusumbua akili. mwisho kusema kuwa anaharibu usalama wa nchi yetu napo unatakiwa uwe na uhakika nalo kwani mpaka sasa idara zote nyeti za usalama hazijasema kuwa huyu jamaa ni tishio ila ninachokijua tu ni kwamba huyu jamaa yupo nchini kwa kazi maalum ya kuwafuatilia wale maadui watatu wa rais kagame ambao wapo nchini na baada ya kukimbia nchini afrika ya kusini baada ya kuuwawa kwa wenzao na pia yupo nchini kuhakikisha hima ya watutsi inapata ustawi hapa tanzania kisha wanunue uraia na mashamba yetu na hatimaye wajizatiti na usisahau kuwa hata sisi watanzania tuna watu wetu kama yeye tumewapenyeza huko kwao nchini rwanda. umeshaweza kujiuliza ni kwanini kagame alinyamaza mara baada ya mtafaruku ule wa rwanda na tanzania? siwezi kuanika hapa kila kitu kimaadili ila wewe fahamu tu hivyo kuwa rwanda kupitia mtu wao huyu wanatufanyia ujasusi lakini na sisi pia tunawadukua vizuri sana. ile fagia fagia ya bandarini ulijua ilitokana na nini mkuu? naomba niishie hapa ila kumtisha kupitia mtandao tena huu wala hakutasaidia kufanikisha kumjua na badala yake tunatumia mbinu zingine za msaada wa mtu / watu wanaomjua.
images



thumb-down-smiley.png
 
na nyie akina kadoda11 na Ntuzu tumewachoka sasa na makelele yenu humu na huyo mnayemwogopa. kwani ninachokiona ni kwamba Gentanycine anawanyimeni mno usingizi. hivi kwa haya matusi au jeuri au kejeli zenu mnadhani marehemu anajisikiaje? halafu eti wote mnajiita great thinkers! shame on you. mnadhani watu humu wanafurahishwa na majibizano yenu haya? mtakua lini nyie? mods hebu kama vipi ifuteni tu hiyo thread mtupunguzie hizi kero za hawa members watatu tajwa hapo juu. tumewachokeni. ningewaona mna busara kama mngesema lini mara ya mwisho mmeenda hata kuhani tu kaburini kwake au mzidi tu kutupa wasifu wake marehemu ili na wengine pia wajifunze na tujifunze. mbele ya members wote humu nyie watu watatu mmedharaulika kwa kiasi kikubwa. mods do something please.
 
Last edited by a moderator:
na nyie akina kadoda11 na Ntuzu tumewachoka sasa na makelele yenu humu na huyo mnayemwogopa. kwani ninachokiona ni kwamba Gentanycine anawanyimeni mno usingizi. hivi kwa haya matusi au jeuri au kejeli zenu mnadhani marehemu anajisikiaje? halafu eti wote mnajiita great thinkers! shame on you. mnadhani watu humu wanafurahishwa na majibizano yenu haya? mtakua lini nyie? mods hebu kama vipi ifuteni tu hiyo thread mtupunguzie hizi kero za hawa members watatu tajwa hapo juu. tumewachokeni. ningewaona mna busara kama mngesema lini mara ya mwisho mmeenda hata kuhani tu kaburini kwake au mzidi tu kutupa wasifu wake marehemu ili na wengine pia wajifunze na tujifunze. mbele ya members wote humu nyie watu watatu mmedharaulika kwa kiasi kikubwa. mods do something please.

well said mkuu cleverbright na kama hawajakusikia katika huo ushauri mzuri wa hekima na busara basi watakuwa tu na agenda yao ya siri na ovu humu.
 
na nyie akina kadoda11 na Ntuzu tumewachoka sasa na makelele yenu humu na huyo mnayemwogopa. kwani ninachokiona ni kwamba Gentanycine anawanyimeni mno usingizi. hivi kwa haya matusi au jeuri au kejeli zenu mnadhani marehemu anajisikiaje? halafu eti wote mnajiita great thinkers! shame on you. mnadhani watu humu wanafurahishwa na majibizano yenu haya? mtakua lini nyie? mods hebu kama vipi ifuteni tu hiyo thread mtupunguzie hizi kero za hawa members watatu tajwa hapo juu. tumewachokeni. ningewaona mna busara kama mngesema lini mara ya mwisho mmeenda hata kuhani tu kaburini kwake au mzidi tu kutupa wasifu wake marehemu ili na wengine pia wajifunze na tujifunze. mbele ya members wote humu nyie watu watatu mmedharaulika kwa kiasi kikubwa. mods do something please.

Teh teh teh teh teh naona km kawaida yako!😀😀😀😀😀
 
Last edited by a moderator:
mkuu kadoda11 siyo kwamba labda tunampandisha chati huyu jamaa bali ukweli ni kwamba anatutesa kwani ni mjanja na mjuzi wa vitu vingi na hata haya masuala ya teknolojia anayajua ipasavyo. kwa mfano una habari kuwa ile id yake ambayo sasa huioni jamaa alivyo mjanja imegundulika kuwa kumbe ilikuwa inatumia password moja na hiyo mnayoizoea yake ya kawaida na imewachukua mods muda mrefu kuigundua japo na wao walikuwa wanaifuatilia. unajua ni kwanini anakuwemo humu muda wote? siwezi kukuambia sababu ila kama utaweza ni pm nitakupa kila kitu na kwa taarifa yako kuna members kama watatu humu wa kike ameshawafanyia yake na yupo mmoja ambaye hadi sasa anamwogopa kwani jamaa namba zake zote anazo na huyo dada ameshangaa jamaa amezipataje. kagame kampeleka sehemu nyingi kupata mafunzo yote na kwa mujibu wa huyu dada jamaa anajua lugha kama tano hivi za kimataifa na yupo mnyumbulifu sana kwa mazingira yoyote anayokuwepo. kuna watu hatulali kwa ajili yake kwani anakaribia kutujua tanzania katika kila nyanja na si mtu anayetumia namba moja ya simu na hata computer yake tu anayoitumia kutuma mambo yake humu kuna ujanja ameifanyia ambapo huwezi kujua yupo mahala gani kwa kutumia ujasusi wa kiteknolojia na inaonekana hatumii computer au laptop mpya bali anatumia ya mtumba kitu ambacho kwa waliosomea ujasusi wa kiteknolojia watakuambia ni jinsi gani ilivyo kazi nzito. utundu wake anaoufanya humu ni wa kimkakati zaidi na ili uamini angalia id yake muda wote inakuwa hewani na kila post humu ni lazima aipitie na bingwa sana wa kubadili upepo na kuwapelekeni kule atakako na mkasahau nini mlikuwa mnajadili. kama kaweza kucheza na mods ambao wote tunawaamini ni mabingwa na nguli ktk teknolojia hadi kuweza kuwa na id mbili ambazo zinatumia password moja wewe mpaka hapo huoni jinsi gani huyu jasusi wa kimataifa wa kagame alivyo hatari? ni mnyarwanda wa mji wa gitarama japo inasemekana pia mzazi wake wa kiume alikuja tanzania wakati wa ile vita ya kwanza ya rwanda ya mwaka 1959 na akalelewa na nyerere na hatimae nae kuingizwa ktk kabila la wazanaki ila mama yake mzazi ni mtanzania halisi. na sasa yupo dodoma angalia hata post zake na jiulize anafanya nini huko? nimefanya kazi na watu wa mataifa mbalimbali huku mipakani mkuu ila wanyarwanda hasa hawa watutsi ni hatari kuanzia ktk akili, mbinu na mikakati na huwa hawakubali kushindwa na wana visasi vibaya mno. karibu siku moja huku mpakani ujifunze tabia zao ndipo utaamini haya ninayokuambia.

samahani unamzungumzia yule popoma anayechanganya herufi kubwa na ndogo? :A S wink: cc: kadoda11
 
samahani unamzungumzia yule popoma anayechanganya herufi kubwa na ndogo? :A S wink: cc: kadoda11
ndio huyo huyo mkuu,ana ID kama 50 hivi,moja tu ndio imefanikiwa kufikia hadhi ya JF Senior Expert Member,zingine zote zimeishia kwenye member. bora sasa mtaalamu wa siasa za maziwa makuu umekuja,nina hakika huwa anakuogopa sana.nakukabidhi uandelee naye.maana pamoja na mimi kumpiga "makwenzi" mengi hakomi.hakika huyu jamaa ni "POPO-MA" wa kiwango cha juu.
 
mkuu usipoteze mda naye.my instinct tells me,the guy you're arguing with is the same imbecile.........kaja na ID nyingine.hahahahahahah.

teh teh teh teh.....nlkuwa naitafuta comment kama hii nalog off sasa mkuu kadoda11
 
Last edited by a moderator:
Huu uzi ulikua na mantiki nyingne kabisa kwa kamanda wetu wa Jeshi.. Kwanini mnaugeuza kijiwe cha soga!?😡😡😡
 
ndio huyo huyo mkuu,ana ID kama 50 hivi,moja tu ndio imefanikiwa kufikia hadhi ya JF Senior Expert Member,zingine zote zimeishia kwenye member. bora sasa mtaalamu wa siasa za maziwa makuu umekuja,nina hakika huwa anakuogopa sana.nakukabidhi uandelee naye.maana pamoja na mimi kumpiga "makwenzi" mengi hakomi.hakika huyu jamaa ni "POPO-MA" wa kiwango cha juu.

Na huo u 'senior expert' umetokana na mijadala yake ya kuleee kwenye jukwaa la malavidavi, huku kwenye siasa huwa anaangukia pua 🙂A S wink🙂 tu.
 
Unajua ambush ni nadra kutoka alive. There is only one man I know in history who came out Alive from ambush. Hii kitu usikie
 
Alafu ningependekeza wanaopelekwa Ngerengere sijui sengerema kupata red baret na bawa, wawe wanachukuliwa wenye sura ngumu za kazi. Huyu jamaa kumwita komando ngumu kidogo.
 
Back
Top Bottom