Mwili wa commando Lt. Mlima kuwasili leo

katika maelezo yako " yooooooooooooooote " hapo ulipomtaja tu mwanamume wa east africa na africa kama si dunia " kagame " umenikosha na hayo maelezo yako mengine yote naona ni " pointless " tupu!

Heshima yako mkuu! Sikutegemea comments za sampuli hii toka kwa ID hii..unaua bendi!
 
Heshima yako mkuu! Sikutegemea comments za sampuli hii toka kwa ID hii..unaua bendi!

kwani id hii unaijua mkuu? halafu wewe usiku wote huu saa 9 yote hii unachoacha kulala ni nini? " wazee wa kazi " utawajua tu. hebu lala bhana! au leo umekesha hapo baa mpya " hipro " ?
 

Msaada tafadhali:

Tofauti Kati ya sniper na commandoo
 
Komandoo wanadai anapotea kama zeruzeru au na yeye wameanza kuzikwa??
 
japo imeniuma kwa yeye kufa lakini komando kuuawa na sniper napata mashaka. ila kwa nchi yetu kama tuna ma Dr. na Prof. feki si ajabu kuwa na Commando wa kuchonga kama komando kipensi wa deadly prey.

akili ndogo ndio maana umegraduate chuo kikuu huna kazi
 
Wakuu mbona mnakuwa wachoyo hivi?

Wekeni hata passport yake nimpigie kijana wetu salute basi.


Return If Possible (R I P)
 
RIP Kamanda. Poleni familia kwa kumpoteza kijana
 
"Kifo ni Zawadi ya mwanadamu " kama huajawahi hata kushika gobole utaandika kwa dharau zote. Front line bullets wkat mwngne zaja kama mvua, ushawahi kukwepa matone ya mvua? Unapozongumzia trained snippers hizo ni level nyingine. Tunapiga risasi ikiwa imepimwa in mm, missing the target is crime. One short one kill, I like the principle. Mbaya zaid ukute snipper nae was the Commando ,no miss hapo. Risasi ya trained snipper haichagui commando na normal soldier, any will be at risk when targeted . Those M 23 were the mix katika ya highly trained and ranked Rwandan solders and normal ones. Winning that war wasn't easy but we did and will do at any cost. R.I.P our comred.
 
"Missing the target is crime "
Imekaa njema ila mbaya kwa adui kama walivyotufanyia

P
I
P
Kamanda
 
Kwani sisi huko Kongo tuna masilahi gani mpaka tunapoteza commando katika ardhi ambayo masilahi yake hayako bayana. Nadhani ifike mahali mambo ya ngoswe tumuachie ngoswe mwenyewe.

Ase kichwa cheupe mkuu tafakari taratibu tu utaelewa mkuu wangu
 
Hujui hata unachoongea
 

Sio Yurin hata jina humjui?? Ni Yonathan Netanyahu au "Yoni"...sio yurin kiazi wewe!!
 
Sio Yurin hata jina humjui?? Ni Yonathan Netanyahu au "Yoni"...sio yurin kiazi wewe!!

ndiyo maana nakudharau kwani hata kiyahudi hujui na unajifanya mjuaji. nazungumza kiyahudi kiufasaha na nimepita huko na nakuhakikishia tu kuwa jina linavyotamkwa ni yurin na hata uandishi wake pia kiebrania ni " yurin " sasa endeleza ubishi nikuumbue zaidi " poyoyo " wewe. unatafuta sifa jamii forum kujifanya unajua masuala ya kijeshi na kiusalama wakati watu tunakusanifu tu na kukuona " mshamba " na usiyejua lolote. mlioingia humu majeshini kwa " mbeleko " na kuja tu kutafuta " vyeo " na " sifa za kuwatishia " watu mitaani mnajulikana tu. namalizia kwa kukuambia ya kuwa huna unachokijua na hayo mafunzo yako uliyopewa nadhani ni " batili " kwani una uwezo finyu sana wa kufikiri kama " kamasi " za mtoto mchanga!
 

Mmmmh! Jamaa unapenda Sifa ww... "MUCH KNOW" sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…