Naangalia Mwijage anajibu maswali bungeni now, unaona kabisa kuwa huyu ni msanii, anajibu bora amesimama, akijua nothing is going to happen hata akijibu hovyo! Pathetic! Angelijua kuna kuwajibishwa angelitumia muda kidogo kufikiri kabla ya kutoa majibu!
Watoto wa mjini mnaitaje vile??? "anapiga sound"????
Watoto wa mjini mnaitaje vile??? "anapiga sound"????