NewChapter
Senior Member
- May 17, 2024
- 109
- 50
Wako vizuri sana hawa watuNape ndio baba lao
Wako vizuri sana hawa watuNape ndio baba lao
Sawa Mke wangu.Sema unawivu tu na watu wenye pesa
Acha ukabila weweeSasa Kimei yupi? Huyu huyu wa CRDB aliyekusanya wachaga wote huko CRDB?,, 😂😂😂
Waacheni vibaka wa Magufuli wafokeane.Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?
Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Mimi sijasema nataka kuwa Rais, unanisemea?Kama Samia na ule unyoro nyoro wake ameweza kuwa Rais, wewe unashindwa nini ?
Kichaa kinamrudia...Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?
Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Basi acha Mwigulu awe Rais.Mimi sijasema nataka kuwa Rais, unanisemea?
Ndoto za alinacha.Basi acha Mwigulu awe Rais.
Ni jembe kwelikweli.Mheshimiwa Rais hakukosea kumpatia Uwaziri wa Fedha.Mwigulu jembe sana
Jembe gani tapeli tu yule kutwa kumdanganya mama wa watu, ukishaona jitu linapata u dr likiwa madarakani ujue hamna kitu ni fake!Mwigulu jembe sana
gubu sio jambo jema kwa afya 🐒Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?
Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Ana fake uzalendo😂😂Mwigulu amekuwa alitoa hoja kwa hisia kali sana na kupiga kelele kama vile anaongea na wezi. Wabunge karibu wote ni fake wa chama chako sasa lawama za nini na kwa nani hasa. Makelele makalele ni kwa nani?
Hivi hakuna watu wengine wangeweza kufanya vizuri kuliko jamaa huyu ambaye ameshaanza kujilimbikizia mali . Kafanye biashara zako za mabasi waachie wakina Dr Kimei wafanye kazi
Nadhani kuna kitu WF hajakitizama vizuri!Anadai wafanyabiashara mmepewa idhini ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali, hamzileti,
Eti hayo ni Kweli?
Kiukweli Mapato tra yameshuka sana hapo hapo tunaambiwa wamevuka lengo
Sijui hapo unachukua kipi na kuacha kipi!!
Umelogwa?Mtu kama Mwigulu anapaswa kuwa Rais.