Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Imagine mtu impatient kama huyo na asiekuwa na persuasive language ndio angekuwa waziri wa fedha si balaa huko kwenye kutafuta fedha za nje.
Halafu sasa udhani kama ata kasoma sababu hadi kupayuka ovyo. Walichosema WB ni mmoja wa decision maker kaomba zoezi liwe postponed baada ya kujitokeza viherehere dizaini ya kina Zitto.
Hila as far as they’re concerned kwa wao hakuna tatizo kutokana na ushauri wa mwakilishi wao wa region.
Halafu sasa kwenye international arena barua za wapuuzi zinapofika kwenye international media zinaibua hisia za international pressure groups and activists wa maswala husika.
Kukwepa lawama ya kuwa WB ina support serikari zenye sera kandamizi its logical for WB kuweza kuona umuhimu wa kulitolea ufafanuzi hilo swala na jinsi hela itakavyotumika hili kulinda reputation yao.
Whatever the reason sio muda wa povu kwa mtu makini, huyu Mwigulu lazima kavurugwa sehemu sio bure.
Halafu sasa udhani kama ata kasoma sababu hadi kupayuka ovyo. Walichosema WB ni mmoja wa decision maker kaomba zoezi liwe postponed baada ya kujitokeza viherehere dizaini ya kina Zitto.
Hila as far as they’re concerned kwa wao hakuna tatizo kutokana na ushauri wa mwakilishi wao wa region.
Halafu sasa kwenye international arena barua za wapuuzi zinapofika kwenye international media zinaibua hisia za international pressure groups and activists wa maswala husika.
Kukwepa lawama ya kuwa WB ina support serikari zenye sera kandamizi its logical for WB kuweza kuona umuhimu wa kulitolea ufafanuzi hilo swala na jinsi hela itakavyotumika hili kulinda reputation yao.
Whatever the reason sio muda wa povu kwa mtu makini, huyu Mwigulu lazima kavurugwa sehemu sio bure.