Kesaboso
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 426
- 358
yaani kwa kuwa yalikuwa yanafanywa zamani hata kama ni mabaya yaendelee? La hasha tukubali kubadilika na kufanya vizuri.
Hivi kati kumfukuza mtoto aliyepata ujauzito au kumwacha aendelee na shule lipi jambo zuri? (jibu kwa kufikiria na sio kukurupuka) use reasoning and intellect .
Halafu tujiulize kama angekuwa mtoto wako amepewa ujauzito ungependa afukuzwe shule?
Halafu kuna wengine wanapewa ujauzito kwa kubakwa je hao nao kuadhibiwa kwa kufukuzwa shule ni sahihi?
Na kwa nni apewe uja uzito, kwani hana akili ya kukataa? Mtasema amebakwa mara bahati mbaya, huo utakuwa ni ujinga, najua unataka iruhusiwe ili uwe unawapa mimba hao wanafunzi sio, mimi kwa mawazi yangu, binti akipata mimba na apimwe kama ana akili timamu, kisha mazingira aliyopatia mimba, kama aliifuata chumbani mwenyewe nae akapigwe miaka kwa sababu aliitafuta, na aliyempatia wote wkanyee ndoo, na kma akibakwa ndo iwe pona yake. Utaona hizi mimba hazitakuwapo.