sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 649
Huyo jamaa nasikia ana first class ya "economics".Lakini ukitaka kumkimbiza kwenye mdahalo azisha hizo mada za uchumi,anakuwa mweupe kabisa,yaani hakuna kitu.
Hivi ukiwa Ccm unakua na upungufu wa akili?.......
Na wewe umejuaje? Umepatia kweli.Hivi ukiwa Ccm unakua na upungufu wa akili?
Watu huwa wanaazima vitu au pesa wewe unaazima AKILI, zirudishe ulikozitoa ili ubaki na akili zako ulizozaliwa nazo la sivyo utachekwa na kuzomewa hadi na watoto.kwel mwigulu.cdm itakufa kabla ya hata ya yauchaguz mm nifah.dr slaa hupo pale kufukuza wanaompinga mabadiliko acha kife kile kizee kihamie adc.r.i.p chadema
Hivi ukiwa Ccm unakua na upungufu wa akili?
Kaazi kweli kweli!.....