kibaya-kenya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 649
- 166
Huyu ni zaidi wa tahira na
mwenda wazimu, Nchemba ni vibaraka wanao tumika na mafisadi au walanguzi wa ccm kuipotosha jamii zetu, sasa ajue cc vijana wa kitanzania hatuangalii cha Dr Slaa wa viongozi wa Chadema tunachotaka na kudhamiria ni kuiona ccm inaondoka madarakani kwa mbinu zote,jukumu la kizazi chetu ni kuiondoa ccm madarakani kama lilivyo jukumu la wakina nyerere kumuondoa mkoloni kwa kuipatia Tanganyika huru,
HUYU MHUNI mkuu Nchemba tuna kuhakikishia labda ufe kabla ya muda ila wajinga wenzako walionunuliwa akili ndani ya ccm mtashuhudia, tunajua lengo lenu sio kumshambulia Slaa ila ni kuiua wimbi la mabadiliko kwa kizazi cha sasa cha watz,mtawa nunua wengi, mtawa katisha tamaa wengi na mtawadhuru wengi ila hadi kieleweke mana hii ni kazi ya mungu lazima yatimia kwamba watz tutaondoka mikononi mwa ccm.
Wewe Na Nape endeleeni ila mtakuwa mashahidi kwa kila jambo mlofanya na kupanga kufanya ktk kuhujumu tumaini jipya la Watz.
Wapeni salamu zangu fisadi lowassa, na mzee dhaifu bila kusahau mchawi mropokaji Makamba sr.
mwenda wazimu, Nchemba ni vibaraka wanao tumika na mafisadi au walanguzi wa ccm kuipotosha jamii zetu, sasa ajue cc vijana wa kitanzania hatuangalii cha Dr Slaa wa viongozi wa Chadema tunachotaka na kudhamiria ni kuiona ccm inaondoka madarakani kwa mbinu zote,jukumu la kizazi chetu ni kuiondoa ccm madarakani kama lilivyo jukumu la wakina nyerere kumuondoa mkoloni kwa kuipatia Tanganyika huru,
HUYU MHUNI mkuu Nchemba tuna kuhakikishia labda ufe kabla ya muda ila wajinga wenzako walionunuliwa akili ndani ya ccm mtashuhudia, tunajua lengo lenu sio kumshambulia Slaa ila ni kuiua wimbi la mabadiliko kwa kizazi cha sasa cha watz,mtawa nunua wengi, mtawa katisha tamaa wengi na mtawadhuru wengi ila hadi kieleweke mana hii ni kazi ya mungu lazima yatimia kwamba watz tutaondoka mikononi mwa ccm.
Wewe Na Nape endeleeni ila mtakuwa mashahidi kwa kila jambo mlofanya na kupanga kufanya ktk kuhujumu tumaini jipya la Watz.
Wapeni salamu zangu fisadi lowassa, na mzee dhaifu bila kusahau mchawi mropokaji Makamba sr.