Tamko la jana la mahakama limewafanya baadhi ya watu kuona kama CHADEMA ni chama chepesi sana na ni kama kinaanguka kesho,hili si sahihi!!
Kinachoipa nguvu CDM ni kuwa kuna watu wanaotaka mabadiliko na wengine wamo hata ndani ya serikali na chama tawala.
Hawajionyeshi wazi lakini kama umeme ulsivyoonekana lakini nguvu yake iko wazi.
Tujikumbushe imekuwaje kesi za ugaidi zimetokomea?
Kwa nini serikali inakatalia vitu vya wazi kabisa kama kuunda tume ya kimahakama ya kuchunguza vifo vya utata?
Ni suala la muda tu!!
Kinachoipa nguvu CDM ni kuwa kuna watu wanaotaka mabadiliko na wengine wamo hata ndani ya serikali na chama tawala.
Hawajionyeshi wazi lakini kama umeme ulsivyoonekana lakini nguvu yake iko wazi.
Tujikumbushe imekuwaje kesi za ugaidi zimetokomea?
Kwa nini serikali inakatalia vitu vya wazi kabisa kama kuunda tume ya kimahakama ya kuchunguza vifo vya utata?
Ni suala la muda tu!!