Tujikumbushe Naibu Katibu Mkuu wa CCM alivyojigeuza mtabiri na kutabiri CHADEMA itakufa 2015. Baada ya haya matokeo ya serikali za mitaa nadhani ni wakati muafaka wa yeye kuja hapa na kukanusha
"CHAMA Cha Mapinduzi kimekitabiria kifo Chadema baada ya uchaguzi waa 2015 kikieleza kuwa CCM ikishinda, chama hicho kitakuwa hakina nguvu tena kwa kuwa Katibu Mkuu wake, Dk Willibrod Slaa atakuwa amechoka.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba aliliambia gazeti hili jana kuwa chama hicho kinapoteza umaarufu kadri siku zinavyokwenda hasa kutokana na siasa zake za uchochezi na mwaka 2015 ndio itakuwa mwisho wa chama hicho.
Alisema kitakufa na kitasahaulika kabisa, akisema sasa hivi vijana wameshaanza kuwakimbia, na kwamba anaamini pia baada ya 2015 hakuna diwani ambaye atagombea kupitia chama hicho.
CCM sasa yadai Chadema itakufa 2015 - Habari - mwananchi.co.tz
"CHAMA Cha Mapinduzi kimekitabiria kifo Chadema baada ya uchaguzi waa 2015 kikieleza kuwa CCM ikishinda, chama hicho kitakuwa hakina nguvu tena kwa kuwa Katibu Mkuu wake, Dk Willibrod Slaa atakuwa amechoka.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba aliliambia gazeti hili jana kuwa chama hicho kinapoteza umaarufu kadri siku zinavyokwenda hasa kutokana na siasa zake za uchochezi na mwaka 2015 ndio itakuwa mwisho wa chama hicho.
Alisema kitakufa na kitasahaulika kabisa, akisema sasa hivi vijana wameshaanza kuwakimbia, na kwamba anaamini pia baada ya 2015 hakuna diwani ambaye atagombea kupitia chama hicho.
CCM sasa yadai Chadema itakufa 2015 - Habari - mwananchi.co.tz