Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu ni mhanga wa mambo ya mjini, kaingizwa mjini na matapeli wa siasa, wasaliti wa umma
 
makanzo ogumile?? big sHOW yuko wapi tupe habari za Mtwara na Mikindani??

Kaka usijisumbue hakuna gamba lolote lile ambalo litajitokeza na kukupatia matokeo ya Mtwara-Mikindani, kipigo kinauma tena kama mtu kampiga mkeo mbele yako
 
Last edited by a moderator:
Kumbe Wanaijua Nyota ya Dr. Slaa ndio maana hawalali kupandikiza Masalai, tunguli nk?

Nawaakikishia, Mwigulu Nchemba atakufa
yeye Akifanya URODA kabla ya CHADEMA. Chadema ni movement ya Watanzania millioni 44. Kwa hiyo ili CHADEMA kife, ni bora awaue watanzania hao wanaoishabikia CHADEMA. Mbona akili zao zinawaza CHADEMA tu na sio mke wao wa Ndoa CUF?
wewe huku UKAWA hatukutaki, hata wewe ni ccm, nyumbu wewe.
 
Jitihada nyingi kuua upinzani zinaonekana kugonga mwamba.Kwakuwa upinzani upo kisheria,ni dhambi kubwa kuiombea ife.Hiyo ni nia ovu ambayo kila mpenda demokrasia lazima aipinge kwa moyo wote
 
picha imekwisha na staring sasa ni UKAWA,Wazee wa Tezi dume wanajithamini kwenye vioo vya choo Lumumba,Usik wanawauliza wake zao honey we are finished,no relax,sleep,haya laleni na sasa mpate night mare ya katiba na escrow
 
Atakufa yeye ataiacha cdm ikitinga magogoni.hata yule shehe wao mtabiri alitabiri lakini kilichotokea akafa yeye!
 
Walau leo nimpongeze Mwigulu Nchemba kwa kusema Ukweli wa moyoni kwamba Nyota ya Dr Slaa inang'aa.Hayo mengine ni Porojo tu zake za kawaida.

c.c Mwita Maranya SEBM Crashwise Shardcole Mungi.

Mkuu Molemo njoo huku ufafanue kauli hii.

Mwigulu alitambua umuhimu wa Dr Slaa ndani ya chadema na wewe ukakubaliana naye lakini Dr Slaa mmempa likizo katika kipindi cha kampeni.

Kwa mantiki hii hii ndio tuseme andiko ns utabiri wa Mwigulu unatimia.
 
Last edited by a moderator:
Hilo jamaa sijui linawaza nini....yani ana akili ndogo sana hata MTT wa darasa LA NNE hawezi kuongea utoto kama huo
 
Back
Top Bottom