Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mtasema saaaaana na usiku hamlali CDM tunasonga mbele kwa raha zetu. Kwenye ngano hayakosi magugu nyie endeleeni kumaliza tembo wetu hukumu yenu 2015
 
Hakuna fact hata moja zaidi ya mawazo finyu, anyway hata moto wa -------- huotwa.
 
Kwa kweli mkuu imenisikitisha sana

I feel sorry kwa Dr kwani kibarua ndio kinaota mbawa hivyo , nani tena atakayempa mshahara wa milioni saba?

Labda agombee tena ubunge, lakini sidhani kama kuna mtu atampigia kura tena, umri wake umesogea sana halafu bado anagombea wake za watu!
 
hizi mambo ni bwana zinachanganya sana. its zitto vs ccm vs cdm.
 
Ndugu zanguni,

Wote tunajua kuwa chadema kwa sasa haifanyi tena siasa bali wako bize na mipasho hapa mtandaoni na magazetini. Viongozi kwa makamanda wote wanarushiana madongo mazito mazito mpaka hata sisi watani tunaanza kuwa na wasi wasi sasa na hatima ya hiki kikundi.

Chadema ni kama nyumba ya barafu tu, iling'ara sana wakati wa baridi lakini sasa jua limeanza kuwaka ina maana joto litaongezeka na matokeo yake itayeyuka kama barafu na kupotea kabisa.

Kwa staili wanayofanya sasa ya kuchanana live hapa jukwaani , mwisho wake ni kumwigambana halafu kila mtu atachukua hamsini zake.

R.I.P CHADEMA

GONE TOO SOON!
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg



JITAMBUE!

Wewe nenda ukaombe radhi kwa Mjane wa Marehemu Mwangosi kwa Dhambi yako ya kula rambi rambi.
Only that will set you free you.
Otherwise very soon utaanza kuokota Makopo Kabisa...
 
Back
Top Bottom