Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Tatizo ni huyo mnayemuona mtakatifu Slaa wa karatu

Hivi wewe kweli na akili zako unakenda kuchangia mafuta ya chopa wakati hata baiskeli huna?

Hawa jamaa wanawachuna bila huruma lakini kwa sababu mko kwenye msukule mode inakuwa ni vigumu sana kushtuka, lakini naamini iko siku mtajitambua tu

Chris lukosi nimeamini weye ni mkosi kabisa. Unaombea kifo cha CDM lakini kama m/kiti wa chama chako alivyosema, utakufa wewe ukiache Chadema madarakani.
Ombea saana tu lakini CDM haifi ng'oooo. Hayo magugu akina Shibuda mlio yapandikiza humo pamoja na wenzake wapo lakini kuiua CDM yataka zaidi ya hao. Kumbuka, Cdm ni chama si mtu. Akiteleza Mh Mbowe si CDM imeteleza, akiondolewa huyo Dr Slaa anayewatia tumbo moto si CDM. Dr Slaa au Mbowe ni watu sio CDM. Ndiyo maana hawana wasi wasi katika uongozi wao. Sio wao wanaoongoza bali chama ndicho kinaongoza. Hakuna mwenye umaarufu CDM bali CDM ndiyo maarufu.
Unaombea kife lakini hilo lichama lako lipo Mochware linangojea tu mwosha maiti alioshe 2015. Tulisikia tangazo lake la kifo kule Dodoma juzi JK alipowaambia kwamba CCm imesha kufa. Hakuna jinsi ya kulifufua lichama hilo tena. Chris Lukosi mwenye mkosi usije CDM hatuhitaji mamluki.
Nami ngoja nikuulize Chris, weye na akili unazosema unazo unaenda kuchangia mafuta ya mwenge unaoeneza ukimwi na kuacha watoto wasio na baba mitaani kwetu. Hivi weye una akili kweli? Wabunge wako wanaunga mkono hoja ya mlala hoi akatwe buku moja kila mwezi sawa na waliowekeza mabilioni huko Uswisi! Lichama kama hilo kweli unalinganisha na mtu alietoa kwa hiari yake kuchangia chopa likiwa kazini kueneza habari njema za saa ya ukombozi. Shame on yuuuu Lukosi wa mkosi
 
MIMI KAMA kijana mzalendo nawashauri CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CDM) kuwa makini kwani neno demokrasi linakuwa gumu kwa baadhi ya viongozi
1. kuna baadhi ya viongozi wa juu wanaamini wao ndio kila kitu ndani ya chama na wengine inawapasa wawasikilize bila hoja bali kwa hoja ya nguvu
2. mwenyekiti na katibu mkuu wameonekana wanatumia udikteta katika baadhi ya masuala ndani ya chama wao ndio walipaswa kutekeleza wigo mpana wa demokrasia
3.uhuru wa maoni ndani ya chama unatia shaka kubwa kwani mfano mzuri ni suala la mwigamba kutoa maoni yake na baadhi ya watu kumuona msaliti
4. chadema wanapaswa kujua demokrasia sio kupinga kila kitu kama kuna kiongozi au mbunge wa chama kingine amefanya jambo zuri anapaswa kupewa haki yake na kama kakosea anaakosolewa angalia MH shibuda kwakua yupo huru baadhi ya wananchama wanamwita yy ni ccm hii inaonyesha kuwa kuna poor tolerance ndn ya chadema
5. kuhoji suala la uchaguzi ndani ya chama inaonekana ni usaliti je udikteta hauanzi kama hivi angalia dikteta hitler alivokuwa anakubalika tazama baada ya kupata madaraka ilikuaje? huwezi kuwa na uwajibikjai wa kisiasa huku ukiahirisha uchaguzi kila wakati bila sababu za msingi
6.kuhoji kwann katibu mkuu alipwe kodi za wananchi mshahara kama mbunge wakati yy si mbunge je waliwauliza wanachama au referendum kupta uhalali kama huu si ufisadi wa maamuzi wa watu wachache
7.tabia mpya ya kusimamisha viongozi bila kufata katiba ya chama ni hatari kwa mustakabali wa demokrasia
8. kubadili vifungu vya katiba vya ukomo wa uongozi kinyemela huo ni uhaini ndani ya demokrasia
BILA SHAKA CHAMA KIKIENDELEA KUTAFUTA MCHAWI NI NANI HAPO NDIPO ANGUKO KUBWA LA CHADEMA LAJA KWANI MTAANZA KUFUKUZANA. TAMBUA CHADEMA HAKIUNDWI NA WATU WA KANDA MOJA TU BALI NCHI NZIMA
 
Kwa yanayoendelea sasa, hakika CHADEMA ndo inaelekea kuzimu. Angalia mtifuano huu;

Lema Vs Zitto

Mbowe Vs Zitto

Slaa Vs Zitto

Mwigamba Vs Lema

Hii ni mitifuano ya hivi karibuni ambayo haioneshi mwelekeo chanya wa CHADEMA
 
MIMI KAMA kijana mzalendo nawashauri CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CDM) kuwa makini kwani neno demokrasi linakuwa gumu kwa baadhi ya viongozi
1. kuna baadhi ya viongozi wa juu wanaamini wao ndio kila kitu ndani ya chama na wengine inawapasa wawasikilize bila hoja bali kwa hoja ya nguvu
2. mwenyekiti na katibu mkuu wameonekana wanatumia udikteta katika baadhi ya masuala ndani ya chama wao ndio walipaswa kutekeleza wigo mpana wa demokrasia
3.uhuru wa maoni ndani ya chama unatia shaka kubwa kwani mfano mzuri ni suala la mwigamba kutoa maoni yake na baadhi ya watu kumuona msaliti
4. chadema wanapaswa kujua demokrasia sio kupinga kila kitu kama kuna kiongozi au mbunge wa chama kingine amefanya jambo zuri anapaswa kupewa haki yake na kama kakosea anaakosolewa angalia MH shibuda kwakua yupo huru baadhi ya wananchama wanamwita yy ni ccm hii inaonyesha kuwa kuna poor tolerance ndn ya chadema
5. kuhoji suala la uchaguzi ndani ya chama inaonekana ni usaliti je udikteta hauanzi kama hivi angalia dikteta hitler alivokuwa anakubalika tazama baada ya kupata madaraka ilikuaje? huwezi kuwa na uwajibikjai wa kisiasa huku ukiahirisha uchaguzi kila wakati bila sababu za msingi
6.kuhoji kwann katibu mkuu alipwe kodi za wananchi mshahara kama mbunge wakati yy si mbunge je waliwauliza wanachama au referendum kupta uhalali kama huu si ufisadi wa maamuzi wa watu wachache
7.tabia mpya ya kusimamisha viongozi bila kufata katiba ya chama ni hatari kwa mustakabali wa demokrasia
8. kubadili vifungu vya katiba vya ukomo wa uongozi kinyemela huo ni uhaini ndani ya demokrasia
BILA SHAKA CHAMA KIKIENDELEA KUTAFUTA MCHAWI NI NANI HAPO NDIPO ANGUKO KUBWA LA CHADEMA LAJA KWANI MTAANZA KUFUKUZANA. TAMBUA CHADEMA HAKIUNDWI NA WATU WA KANDA MOJA TU BALI NCHI NZIMA

Ungeweka na ushahidi wa hayo uliyoandika hapa.Otherwise ni hisia tu

-Uchaguzi ndani ya CHADEMA halistahili kuhojiwa maana katiba ipo very clear


-Uhuru wa Mawazo upo na hakuna aliyewahi kuzuiwa kutoa maoni kwenye vikao

-Kubadili vifungu vya katiba kinyemela?Majibu yalishatolewa otherwise weka ushahidi hapa kulinda credibility yako,ya JF na wasomaji wake.Tusonge mbele
 
We nawe huna jipya.
Kwanza kabisa katiba ya cdm sio ya Tanzania
Pili mwigamba alikosea kuchafua chama huku yy akiwa mjumbe kamati kuu cc.
suala la mshahara wa Dr Slaa limeshatolewa ufafanuzi.
Sidhani kama kuna hoja ya msingi hapa.

Ni kichaa tu ndio ataweza kukaa na kuamini uliyoandika.

Uchaguzi cdm ni suala mtambuka hivyo haliitaji mjadala ktk mitandao ya kijamii,Vikao halali vya chama ndivyo vinavyotoa vote kwa kiongozi wa chama lakini sio Jamiiforums.
 
Chadema hakuna demokrasi bali ni nguvu,ubabe na kutwangana matofari kwenye vikao tusubili mengi mda badomupo.
 
We nawe huna jipya.
Kwanza kabisa katiba ya cdm sio ya Tanzania
Pili mwigamba alikosea kuchafua chama huku yy akiwa mjumbe kamati kuu cc.
suala la mshahara wa Dr Slaa limeshatolewa ufafanuzi.
Sidhani kama kuna hoja ya msingi hapa.

Ni kichaa tu ndio ataweza kukaa na kuamini uliyoandika.

Uchaguzi cdm ni suala mtambuka hivyo haliitaji mjadala ktk mitandao ya kijamii,Vikao halali vya chama ndivyo vinavyotoa vote kwa kiongozi wa chama lakini sio Jamiiforums.
Kwahiyo ni sahihi mwigamba kupigwa matofari kwenye kikao?
 
Ungeweka na ushahidi wa hayo uliyoandika hapa.Otherwise ni hisia tu

-Uchaguzi ndani ya CHADEMA halistahili kuhojiwa maana katiba ipo very clear


-Uhuru wa Mawazo upo na hakuna aliyewahi kuzuiwa kutoa maoni kwenye vikao

-Kubadili vifungu vya katiba kinyemela?Majibu yalishatolewa otherwise weka ushahidi hapa kulinda credibility yako,ya JF na wasomaji wake.Tusonge mbele
Mwigamba alitoa akapigwa matofari kwenye kikao,je hiyo ni demokrasia?
 
MIMI KAMA kijana mzalendo nawashauri CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CDM) kuwa makini kwani neno demokrasi linakuwa gumu kwa baadhi ya viongozi
1. kuna baadhi ya viongozi wa juu wanaamini wao ndio kila kitu ndani ya chama na wengine inawapasa wawasikilize bila hoja bali kwa hoja ya nguvu
2. mwenyekiti na katibu mkuu wameonekana wanatumia udikteta katika baadhi ya masuala ndani ya chama wao ndio walipaswa kutekeleza wigo mpana wa demokrasia
3.uhuru wa maoni ndani ya chama unatia shaka kubwa kwani mfano mzuri ni suala la mwigamba kutoa maoni yake na baadhi ya watu kumuona msaliti
4. chadema wanapaswa kujua demokrasia sio kupinga kila kitu kama kuna kiongozi au mbunge wa chama kingine amefanya jambo zuri anapaswa kupewa haki yake na kama kakosea anaakosolewa angalia MH shibuda kwakua yupo huru baadhi ya wananchama wanamwita yy ni ccm hii inaonyesha kuwa kuna poor tolerance ndn ya chadema
5. kuhoji suala la uchaguzi ndani ya chama inaonekana ni usaliti je udikteta hauanzi kama hivi angalia dikteta hitler alivokuwa anakubalika tazama baada ya kupata madaraka ilikuaje? huwezi kuwa na uwajibikjai wa kisiasa huku ukiahirisha uchaguzi kila wakati bila sababu za msingi
6.kuhoji kwann katibu mkuu alipwe kodi za wananchi mshahara kama mbunge wakati yy si mbunge je waliwauliza wanachama au referendum kupta uhalali kama huu si ufisadi wa maamuzi wa watu wachache
7.tabia mpya ya kusimamisha viongozi bila kufata katiba ya chama ni hatari kwa mustakabali wa demokrasia
8. kubadili vifungu vya katiba vya ukomo wa uongozi kinyemela huo ni uhaini ndani ya demokrasia
BILA SHAKA CHAMA KIKIENDELEA KUTAFUTA MCHAWI NI NANI HAPO NDIPO ANGUKO KUBWA LA CHADEMA LAJA KWANI MTAANZA KUFUKUZANA. TAMBUA CHADEMA HAKIUNDWI NA WATU WA KANDA MOJA TU BALI NCHI NZIMA

NINAONA HERUFI SIONI HOJA. Umekurufupuka mno.
Tuliza Munkari, Hiki ni CHAMA MAKINI, kwako hilo ni Muhimu
lakini kwetu ni KUKIJENGA CHAMA kwanza: Muhimu watu wanaoweza kukijenga chama
chenye Nguvu na ushindani na SI MTIZAMO wa Upande mmoja FINYU.
WASIO na NIA njema na CHADEMA, hiyo ni hoja. lakini wenye mtizamo mrefu
HIYO SI AJENDA YETU YA SASA. Kwanza TUJENGE MIUNDO, FIKRA NA UKOMAVU WA CHAMA chenye ushindani
kwa miaka mingi baadaye.
Sura za watu zitabadilika kulingana na wakati
lakini kwa sasa LENGO LETU ni MOJA. ONDOA MAGAMBA KILA KONA YA NCHI
Weka FIKRA MPYA.

Aluta continuer. VIVA CHADEMA.
viva MBOWE Viva SLAA. 2014 -2015 (KIVULI KITAKUFUNIKA)
 
Ungeweka na ushahidi wa hayo uliyoandika hapa.Otherwise ni hisia tu

-Uchaguzi ndani ya CHADEMA halistahili kuhojiwa maana katiba ipo very clear


-Uhuru wa Mawazo upo na hakuna aliyewahi kuzuiwa kutoa maoni kwenye vikao

-Kubadili vifungu vya katiba kinyemela?Majibu yalishatolewa otherwise weka ushahidi hapa kulinda credibility yako,ya JF na wasomaji wake.Tusonge mbele

Ben, hata ukiwekewa ushahidi we unabisha tu. sijui ulizaliwa wakati wazazi wako wakibishana kuhusu jambo fulani!

kuhusu Katiba, katiba yenu mmeinajisi vya kutosha na haifuatwi tena. maamuzi yanafanywa na Mbowe pekee na jikoni kwa Dr Slaa

kuhusu uhuru wa mawazo, ndani ya CHADEMA hakuna uhuru wa mawazo na ndo maana watu kama akina Mwigamba wanatumia njia mbadala kufikisha ujumbe kwa wananchi

kuhusu hilo la kubadili vifungu vya katiba kinyemela, majibu yaliyotolewa bado yanautata ya yameacha viongozi wenu wakivurugana.

kuna mdau alikutahadharisha kuwa si kila uzi unaweza kuuchangia na ukiamua kuchangia toa hoja za maana. vinginevyo unamaliza posho bure hapo Kinondoni
 
Kwa yanayoendelea sasa, hakika CHADEMA ndo inaelekea kuzimu. Angalia mtifuano huu;

Lema Vs Zitto

Mbowe Vs Zitto

Slaa Vs Zitto

Mwigamba Vs Lema

Hii ni mitifuano ya hivi karibuni ambayo haioneshi mwelekeo chanya wa CHADEMA
Mkuu umesahau ben saanane Vs zitto kabwe.
 
Back
Top Bottom