Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

NINAONA HERUFI SIONI HOJA. Umekurufupuka mno.
Tuliza Munkari, Hiki ni CHAMA MAKINI, kwako hilo ni Muhimu
lakini kwetu ni KUKIJENGA CHAMA kwanza: Muhimu watu wanaoweza kukijenga chama
chenye Nguvu na ushindani na SI MTIZAMO wa Upande mmoja FINYU.
WASIO na NIA njema na CHADEMA, hiyo ni hoja. lakini wenye mtizamo mrefu
HIYO SI AJENDA YETU YA SASA. Kwanza TUJENGE MIUNDO, FIKRA NA UKOMAVU WA CHAMA chenye ushindani
kwa miaka mingi baadaye.
Sura za watu zitabadilika kulingana na wakati
lakini kwa sasa LENGO LETU ni MOJA. ONDOA MAGAMBA KILA KONA YA NCHI
Weka FIKRA MPYA.

Aluta continuer. VIVA CHADEMA.
viva MBOWE Viva SLAA. 2014 -2015 (KIVULI KITAKUFUNIKA)

Unafaa kujiunga na bendi ya Mzee Yusuph
 
Kwa yanayoendelea sasa, hakika CHADEMA ndo inaelekea kuzimu. Angalia mtifuano huu;

Lema Vs Zitto

Mbowe Vs Zitto

Slaa Vs Zitto

Mwigamba Vs Lema

Hii ni mitifuano ya hivi karibuni ambayo haioneshi mwelekeo chanya wa CHADEMA

Nyani anamwonesha mwenye shamba ni mahali gani ambapo mahindi yanatakiwa yalindwe kwa ukamilifu wake. Ha ha haaaa! Zitto amelalamika kwako? Mshauri cha kufanya.
 
ungeweka na ushahidi wa hayo uliyoandika hapa.otherwise ni hisia tu

-uchaguzi ndani ya chadema halistahili kuhojiwa maana katiba ipo very clear


-uhuru wa mawazo upo na hakuna aliyewahi kuzuiwa kutoa maoni kwenye vikao

-kubadili vifungu vya katiba kinyemela?majibu yalishatolewa otherwise weka ushahidi hapa kulinda credibility yako,ya jf na wasomaji wake.tusonge mbele
vp ile sumu bado unayo naogopa ugali mtamu bwana
 
Nyani anamwonesha mwenye shamba ni mahali gani ambapo mahindi yanatakiwa yalindwe kwa ukamilifu wake. Ha ha haaaa! Zitto amelalamika kwako? Mshauri cha kufanya.

Hiyo migogoro iko wazi na kila mtu anaijua
 
Ben, hata ukiwekewa ushahidi we unabisha tu. sijui ulizaliwa wakati wazazi wako wakibishana kuhusu jambo fulani!

kuhusu Katiba, katiba yenu mmeinajisi vya kutosha na haifuatwi tena. maamuzi yanafanywa na Mbowe pekee na jikoni kwa Dr Slaa

kuhusu uhuru wa mawazo, ndani ya CHADEMA hakuna uhuru wa mawazo na ndo maana watu kama akina Mwigamba wanatumia njia mbadala kufikisha ujumbe kwa wananchi

kuhusu hilo la kubadili vifungu vya katiba kinyemela, majibu yaliyotolewa bado yanautata ya yameacha viongozi wenu wakivurugana.

kuna mdau alikutahadharisha kuwa si kila uzi unaweza kuuchangia na ukiamua kuchangia toa hoja za maana. vinginevyo unamaliza posho bure hapo Kinondoni
Chadema kwa sasa ni kama kundi la karate au kundi uasi kama boko haramu na mengineyo

Imefika wakati kwenye vikao vya chadema watu wanaenda na matofari kwaajili ya kupiga watu kama alivyofanya lema,

kilichopo sasa ndani ya vikao vya chadema kila mjumbe ataenda na fimbo kwa ajilimya kuchapana kwenye kikao kama mambo yakiharibika.

Sikutegemea wala sikudhani kama itafika hatua watu wanapigwa matofari kwenye vikao chama cha ajabu sana hiki.
 
Kwahiyo ni sahihi mwigamba kupigwa matofari kwenye kikao?

Tujibu kuhusu hili kwanza...........

vuruguccm.jpg

 
NINAONA HERUFI SIONI HOJA. Umekurufupuka mno.
Tuliza Munkari, Hiki ni CHAMA MAKINI, kwako hilo ni Muhimu
lakini kwetu ni KUKIJENGA CHAMA kwanza: Muhimu watu wanaoweza kukijenga chama
chenye Nguvu na ushindani na SI MTIZAMO wa Upande mmoja FINYU.
WASIO na NIA njema na CHADEMA, hiyo ni hoja. lakini wenye mtizamo mrefu
HIYO SI AJENDA YETU YA SASA. Kwanza TUJENGE MIUNDO, FIKRA NA UKOMAVU WA CHAMA chenye ushindani
kwa miaka mingi baadaye.
Sura za watu zitabadilika kulingana na wakati
lakini kwa sasa LENGO LETU ni MOJA. ONDOA MAGAMBA KILA KONA YA NCHI
Weka FIKRA MPYA.

Aluta continuer. VIVA CHADEMA.
viva MBOWE Viva SLAA. 2014 -2015 (KIVULI KITAKUFUNIKA)
Umekurufupuka...ndiyo lugha gani tupa kule.
 
MIMI KAMA kijana mzalendo nawashauri CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CDM) kuwa makini kwani neno demokrasi linakuwa gumu kwa baadhi ya viongozi
1. kuna baadhi ya viongozi wa juu wanaamini wao ndio kila kitu ndani ya chama na wengine inawapasa wawasikilize bila hoja bali kwa hoja ya nguvu
2. mwenyekiti na katibu mkuu wameonekana wanatumia udikteta katika baadhi ya masuala ndani ya chama wao ndio walipaswa kutekeleza wigo mpana wa demokrasia
3.uhuru wa maoni ndani ya chama unatia shaka kubwa kwani mfano mzuri ni suala la mwigamba kutoa maoni yake na baadhi ya watu kumuona msaliti
4. chadema wanapaswa kujua demokrasia sio kupinga kila kitu kama kuna kiongozi au mbunge wa chama kingine amefanya jambo zuri anapaswa kupewa haki yake na kama kakosea anaakosolewa angalia MH shibuda kwakua yupo huru baadhi ya wananchama wanamwita yy ni ccm hii inaonyesha kuwa kuna poor tolerance ndn ya chadema
5. kuhoji suala la uchaguzi ndani ya chama inaonekana ni usaliti je udikteta hauanzi kama hivi angalia dikteta hitler alivokuwa anakubalika tazama baada ya kupata madaraka ilikuaje? huwezi kuwa na uwajibikjai wa kisiasa huku ukiahirisha uchaguzi kila wakati bila sababu za msingi
6.kuhoji kwann katibu mkuu alipwe kodi za wananchi mshahara kama mbunge wakati yy si mbunge je waliwauliza wanachama au referendum kupta uhalali kama huu si ufisadi wa maamuzi wa watu wachache
7.tabia mpya ya kusimamisha viongozi bila kufata katiba ya chama ni hatari kwa mustakabali wa demokrasia
8. kubadili vifungu vya katiba vya ukomo wa uongozi kinyemela huo ni uhaini ndani ya demokrasia
BILA SHAKA CHAMA KIKIENDELEA KUTAFUTA MCHAWI NI NANI HAPO NDIPO ANGUKO KUBWA LA CHADEMA LAJA KWANI MTAANZA KUFUKUZANA. TAMBUA CHADEMA HAKIUNDWI NA WATU WA KANDA MOJA TU BALI NCHI NZIMA

Ni kama vile CCM anguko lake tayari limeonekana na Mwenyekiti keshalitaja pale Dodoma, RUSHWA! Hakika 2015 tuna kazi, maana tunaona maanguko ya vyama tu!
 
Hiki kwani kilikuwa kikao huyu ni jangili na mharifu kwa nini asipigwe wakati ni jangili wa tabia.

Dogo angalia sana wakati unaandika hilo neno hapo kwenye blue.
Unaweza kupoteza 'ajira' yako fasta...
Chezea 'jangili' wewe...!!

Jangili = Al-Shaabab....!!

1.AbdulrahmanKinanaKatibuMkuu.jpg


ffffffffffffffffffff.jpg
 
Chadema wamebakisha siasa za matukio tu watanzania wameishwapuuza.
 
Back
Top Bottom