PostGE2025 Mwigulu Nchemba anatumika kama spinning machine!

PostGE2025 Mwigulu Nchemba anatumika kama spinning machine!

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

RESILIENT KATO

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2024
Posts
3,662
Reaction score
6,906
Naona kitengo Cha propaganda kimepata spinning machine inayocheza script ya kitengo Ili ku neutralize Hali iliyopo!

Kiasi fulani wamejitahidi,hasa ufunguzi wa kanisa, kupinga tuhuma za askari kuua raia n.k,lakini ningependa kuona serikali na viongozi wanakua pro active zaidi kuliko kuacha mambo yaharibike ndio walete spinning machine wa kuchezesha beat watanzania!

Utamaduni wa kuharibu halafu baadae mnatengeneza palipoharibika na kujisifu Bado ni wa kijima sana Kwa zama hizi!

Kwamfano

Mnafungia makanisa halafu baadae mnayafungulia mnataka mpongezwe,huo sio uongozi no umbumbumbu!

Mnawasingizia kesi za uhaini watu,wengine mabinti wadogo kabisa baadae mnawaachia mnataka mpongzwe na ionekane serikali imefanya kazi huo nao ni umbumbumbu!

Mnatumia vyombo vya dola kunyamazisha watu,baadae watu wanachoka na kuandamana wanakufa vifo vya aibu halafu baadae mna spin vifo kwa mazishi ya mchongo na ya aibu Hadi CNN inaripoti na mnaanza ku spin taarifa,kwanini msingezuia mauaji Kwa kufuata Sheria na haki zake kuliko ubabe wa dola!!?

Kifupi no kwamba,comrade nchemba unatumika kama spinning machine ya umbumbumbu wa serikali na chama chetu CCM Kwa kushindwa kusimamia Sheria na taratibu tulizojiwekea na kuzitunga wenyewe!!

Umbumbumbu was kiwango Cha juu sana unashuhudiwa zama hizi!!

Kama ilani yetu inasema "KAZI na utu" Kwanini tusionyeshe huo utu Kwa kufuata Sheria na taratibu tulizojiwekea!!?

Mungu ibariki Tanzania!
 
Kiasi fulani wamejitahidi,hasa ufunguzi wa kanisa,kupinga tuhuma za askari kuua raia n.k,lakini ningependa kuona serikali na viongozi wanakua pro active zaidi kuliko kuacha mambo yaharibike ndio walete spinning machine wa kuchezesha beat watanzania!
Acha blablaa mkuu, lugha kama hizi ndiyo inasababisha wanasiasa wanawaona vilaza.

Yaani huyo waziri feki kupinga jambo lililo wazi kuhusu polisi kufanya mauaji wewe unaona ndiyo wamejitahidi? Anachofanya Mwigulu ni dharau kwa Wanzania. Fungua macho!

Hii namna yako yakufikiri HAITAKIWI
 
But awe makini
IMG-20251125-WA0056.jpg
Sana! Sikio la binadamu halizidi kichwa
 
Naona kitengo Cha propaganda kimepata spinning machine inayocheza script ya kitengo Ili ku neutralize Hali iliyopo!

Kiasi fulani wamejitahidi,hasa ufunguzi wa kanisa,kupinga tuhuma za askari kuua raia n.k,lakini ningependa kuona serikali na viongozi wanakua pro active zaidi kuliko kuacha mambo yaharibike ndio walete spinning machine wa kuchezesha beat watanzania!

Utamaduni wa kuharibu halafu baadae mnatengeneza palipoharibika na kujisifu Bado ni wa kijima sana Kwa zama hizi!

Kwamfano

Mnafungia makanisa halafu baadae mnayafungulia mnataka mpongezwe,huo sio uongozi no umbumbumbu!

Mnawasingizia kesi za uhaini watu,wengine mabinti wadogo kabisa baadae mnawaachia mnataka mpongzwe na ionekane serikali imefanya kazi huo nao ni umbumbumbu!

Mnatumia vyombo vya dola kunyamazisha watu,baadae watu wanachoka na kuandamana wanakufa vifo vya aibu halafu baadae mna spin vifo kwa mazishi ya mchongo na ya aibu Hadi CNN inaripoti na mnaanza ku spin taarifa,kwanini msingezuia mauaji Kwa kufuata Sheria na haki zake kuliko ubabe wa dola!!?

Kifupi no kwamba,comrade nchemba unatumika kama spinning machine ya umbumbumbu wa serikali na chama chetu CCM Kwa kushindwa kusimamia Sheria na taratibu tulizojiwekea na kuzitunga wenyewe!!

Umbumbumbu was kiwango Cha juu sana unashuhudiwa zama hizi!!

Kama ilani yetu inasema "KAZI na utu" Kwanini tusionyeshe huo utu Kwa kufuata Sheria na taratibu tulizojiwekea!!?

Mungu ibariki Tanzania!
Atachemsha tu. Wananchi wa leo sio wale wa miongo mitatu iliyopita!
 
Naona kitengo Cha propaganda kimepata spinning machine inayocheza script ya kitengo Ili ku neutralize Hali iliyopo!

Kiasi fulani wamejitahidi,hasa ufunguzi wa kanisa, kupinga tuhuma za askari kuua raia n.k,lakini ningependa kuona serikali na viongozi wanakua pro active zaidi kuliko kuacha mambo yaharibike ndio walete spinning machine wa kuchezesha beat watanzania!

Utamaduni wa kuharibu halafu baadae mnatengeneza palipoharibika na kujisifu Bado ni wa kijima sana Kwa zama hizi!

Kwamfano

Mnafungia makanisa halafu baadae mnayafungulia mnataka mpongezwe,huo sio uongozi no umbumbumbu!

Mnawasingizia kesi za uhaini watu,wengine mabinti wadogo kabisa baadae mnawaachia mnataka mpongzwe na ionekane serikali imefanya kazi huo nao ni umbumbumbu!

Mnatumia vyombo vya dola kunyamazisha watu,baadae watu wanachoka na kuandamana wanakufa vifo vya aibu halafu baadae mna spin vifo kwa mazishi ya mchongo na ya aibu Hadi CNN inaripoti na mnaanza ku spin taarifa,kwanini msingezuia mauaji Kwa kufuata Sheria na haki zake kuliko ubabe wa dola!!?

Kifupi no kwamba,comrade nchemba unatumika kama spinning machine ya umbumbumbu wa serikali na chama chetu CCM Kwa kushindwa kusimamia Sheria na taratibu tulizojiwekea na kuzitunga wenyewe!!

Umbumbumbu was kiwango Cha juu sana unashuhudiwa zama hizi!!

Kama ilani yetu inasema "KAZI na utu" Kwanini tusionyeshe huo utu Kwa kufuata Sheria na taratibu tulizojiwekea!!?

Mungu ibariki Tanzania!
Na hakuna atakaye muelewa watu walishatoka huko zama za kale utawala huu ni haramu
 
Naona kitengo Cha propaganda kimepata spinning machine inayocheza script ya kitengo Ili ku neutralize Hali iliyopo!

Kiasi fulani wamejitahidi,hasa ufunguzi wa kanisa, kupinga tuhuma za askari kuua raia n.k,lakini ningependa kuona serikali na viongozi wanakua pro active zaidi kuliko kuacha mambo yaharibike ndio walete spinning machine wa kuchezesha beat watanzania!

Utamaduni wa kuharibu halafu baadae mnatengeneza palipoharibika na kujisifu Bado ni wa kijima sana Kwa zama hizi!

Kwamfano

Mnafungia makanisa halafu baadae mnayafungulia mnataka mpongezwe,huo sio uongozi no umbumbumbu!

Mnawasingizia kesi za uhaini watu,wengine mabinti wadogo kabisa baadae mnawaachia mnataka mpongzwe na ionekane serikali imefanya kazi huo nao ni umbumbumbu!

Mnatumia vyombo vya dola kunyamazisha watu,baadae watu wanachoka na kuandamana wanakufa vifo vya aibu halafu baadae mna spin vifo kwa mazishi ya mchongo na ya aibu Hadi CNN inaripoti na mnaanza ku spin taarifa,kwanini msingezuia mauaji Kwa kufuata Sheria na haki zake kuliko ubabe wa dola!!?

Kifupi no kwamba,comrade nchemba unatumika kama spinning machine ya umbumbumbu wa serikali na chama chetu CCM Kwa kushindwa kusimamia Sheria na taratibu tulizojiwekea na kuzitunga wenyewe!!

Umbumbumbu was kiwango Cha juu sana unashuhudiwa zama hizi!!

Kama ilani yetu inasema "KAZI na utu" Kwanini tusionyeshe huo utu Kwa kufuata Sheria na taratibu tulizojiwekea!!?

Mungu ibariki Tanzania!
Naona kitengo Cha propaganda kimepata spinning machine inayocheza script ya kitengo Ili ku neutralize Hali iliyopo!

Kiasi fulani wamejitahidi,hasa ufunguzi wa kanisa, kupinga tuhuma za askari kuua raia n.k,lakini ningependa kuona serikali na viongozi wanakua pro active zaidi kuliko kuacha mambo yaharibike ndio walete spinning machine wa kuchezesha beat watanzania!

Utamaduni wa kuharibu halafu baadae mnatengeneza palipoharibika na kujisifu Bado ni wa kijima sana Kwa zama hizi!

Kwamfano

Mnafungia makanisa halafu baadae mnayafungulia mnataka mpongezwe,huo sio uongozi no umbumbumbu!

Mnawasingizia kesi za uhaini watu,wengine mabinti wadogo kabisa baadae mnawaachia mnataka mpongzwe na ionekane serikali imefanya kazi huo nao ni umbumbumbu!

Mnatumia vyombo vya dola kunyamazisha watu,baadae watu wanachoka na kuandamana wanakufa vifo vya aibu halafu baadae mna spin vifo kwa mazishi ya mchongo na ya aibu Hadi CNN inaripoti na mnaanza ku spin taarifa,kwanini msingezuia mauaji Kwa kufuata Sheria na haki zake kuliko ubabe wa dola!!?

Kifupi no kwamba,comrade nchemba unatumika kama spinning machine ya umbumbumbu wa serikali na chama chetu CCM Kwa kushindwa kusimamia Sheria na taratibu tulizojiwekea na kuzitunga wenyewe!!

Umbumbumbu was kiwango Cha juu sana unashuhudiwa zama hizi!!

Kama ilani yetu inasema "KAZI na utu" Kwanini tusionyeshe huo utu Kwa kufuata Sheria na taratibu tulizojiwekea!!?

Mungu ibariki Tanzania!
what do you expect if your leader is a Form Four Failue!
 
Naona kitengo Cha propaganda kimepata spinning machine inayocheza script ya kitengo Ili ku neutralize Hali iliyopo!

Kiasi fulani wamejitahidi,hasa ufunguzi wa kanisa, kupinga tuhuma za askari kuua raia n.k,lakini ningependa kuona serikali na viongozi wanakua pro active zaidi kuliko kuacha mambo yaharibike ndio walete spinning machine wa kuchezesha beat watanzania!

Utamaduni wa kuharibu halafu baadae mnatengeneza palipoharibika na kujisifu Bado ni wa kijima sana Kwa zama hizi!

Kwamfano

Mnafungia makanisa halafu baadae mnayafungulia mnataka mpongezwe,huo sio uongozi no umbumbumbu!

Mnawasingizia kesi za uhaini watu,wengine mabinti wadogo kabisa baadae mnawaachia mnataka mpongzwe na ionekane serikali imefanya kazi huo nao ni umbumbumbu!

Mnatumia vyombo vya dola kunyamazisha watu,baadae watu wanachoka na kuandamana wanakufa vifo vya aibu halafu baadae mna spin vifo kwa mazishi ya mchongo na ya aibu Hadi CNN inaripoti na mnaanza ku spin taarifa,kwanini msingezuia mauaji Kwa kufuata Sheria na haki zake kuliko ubabe wa dola!!?

Kifupi no kwamba,comrade nchemba unatumika kama spinning machine ya umbumbumbu wa serikali na chama chetu CCM Kwa kushindwa kusimamia Sheria na taratibu tulizojiwekea na kuzitunga wenyewe!!

Umbumbumbu was kiwango Cha juu sana unashuhudiwa zama hizi!!

Kama ilani yetu inasema "KAZI na utu" Kwanini tusionyeshe huo utu Kwa kufuata Sheria na taratibu tulizojiwekea!!?

Mungu ibariki Tanzania!
Kuspin kwenyewe hajui. Licha ya kuwa mtupu japo anaitwa daktari, ni mshamba wa kawaida asiyepaswa kuchunga hata kundi la mbuzi.
 
Mwigulu
Nchemba na PhD yake anachezeshwa singeli na mwanamke wa nchi jirani ya Zanzibar aliyepata Div IV O level !!
 
Wanaowachota akili ni wale wananchi ambao bado wanatemea kuhabarika kupitia taarifa ya habari
 
Back
Top Bottom