Mwigulu Nchemba anaaibika hapa Gairo...

Mwigulu Nchemba anaaibika hapa Gairo...

Gaidi anaaibika watu hamna kabisa labda aje Taswira na picha za photoshop

attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Wewe unaambiwa usiwachague hao watu: wee unajifanya husikii, wewe ndi mjanja kuliko watu wengine, watazila tu, na mimi nasema wazifisadi tu, eeeeeh maana tumechako sasa. eeeeh maana dawa ya mtu asiyejitambua ni kuibiwa tu mpaka atakapojitambua.
 
Gaidi anaaibika watu hamna kabisa labda aje Taswira na picha za photoshop

attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Mwigulu haonagi aibu ng'o! Na sasa kwa kuwa maaskofu wamemfagilia kwa hiyo kama maharage ya mbeya kalainika nyooooooooooooogoro! Ati ni kiongozi aliyetumwa na Mungu. Watu wa dini bana, wazugaji wazuri sana.

Kwani kuna dini siku hizi! wote waganga njaa tu. Sipati picha siku MUNGU atakapoamua kusimama mwenyewe.
 
Kamanda MPANDA Jr,Tumia vile viskills vyako vya jiografia ya kidato cha 4 (phorograph) , utuletee kapicha kamoja ka ukweli sana ukiwa mbali kidogoo sehemu iliyoinuka ili tuone mahali pote tuwahesabu hao wahongwa kanga, kofia, na mkate wanaomshangaa savimbi, gaidi, a. k. a mchepuko wa juliana wa kufyozwa
 
Kuna mgogoro mpya umeibuka kati ya Shabiby na Mwenyekiti wake wa wilaya Omary Awadh umeibuka hapa hapa... Majanga haya, wanapigana vijembe hadharani
 
Ndio nini sasa.,picha hii ni ya nini, inamuonesha nani..? mods naomba hawa watu wasituharibie utaratibu hapa.

Ni kweli kabisa, ila ni bora walioko huko waleta picha ili kuondoa harufu za "udanganyifu" kama upo!
 
Ha ha imekuwaje fedha A bot. zimefungiwa hawawezu kuwaleta kwa malori savimbi vipi
 
Hata hao wawili watatu waliopo wamenisikitisha sana ! Huyu si wa kusikilizwa .
 
Weka na Picha za kusapoti hizi Propaganda zako za kitoto.
Aliyekupa hilo jina hakukosea hata kidogo! Iwapo ni jina la kujipachika, basi ulipatia sana! Hoja zako zote zina harufu ya msalani!! te he te he!!!
 
Back
Top Bottom