Mwigulu haonagi aibu ng'o! Na sasa kwa kuwa maaskofu wamemfagilia kwa hiyo kama maharage ya mbeya kalainika nyooooooooooooogoro! Ati ni kiongozi aliyetumwa na Mungu. Watu wa dini bana, wazugaji wazuri sana.
Ndio nini sasa.,picha hii ni ya nini, inamuonesha nani..? mods naomba hawa watu wasituharibie utaratibu hapa.
juliana umeanza kurusha miguu unataka mod akubebe?tulia unywe mtori nyama zipo chini,mume alie kutelekeza anapata aibu huko
Aliyekupa hilo jina hakukosea hata kidogo! Iwapo ni jina la kujipachika, basi ulipatia sana! Hoja zako zote zina harufu ya msalani!! te he te he!!!Weka na Picha za kusapoti hizi Propaganda zako za kitoto.
Mwigulu ni jembe atavuta watu sasa hivi