Ndio nini
sasa.,picha hii ni ya nini, inamuonesha nani..? mods naomba hawa watu
wasituharibie utaratibu hapa.
Mwigulu ni jembe atavuta watu sasa hivi
Mwigulu ni jembe atavuta watu sasa hivi
Pole mama, inauma eeh!! Kwi kwi kwi... Baba kijacho anatoa macho haamini
Jimbo la Gairo ni kama Mikumi tena yote ya huko huko Morogoro! Majimbo haya yana wabunge wa kubumba wasioweza changia lolote. Unapokuja uchaguzi hutumia fedha nyingi kuwahonga watu ili wachaguliwe! Inasikitisha kuona majimbo yenye wasomi kibao kuongozwa na mapungazeze hawa.Labda jimbo Lao ni Kati ya yale yaliyopo motoni alichosema mbunge wa Nkasi na huyo mbunge wao alikaa kimya bila kuwatetea!! Pole pole wananchi wanaamka usingizini
Jimbo la Gairo ni kama Mikumi tena yote ya huko huko Morogoro! Majimbo haya yana wabunge wa kubumba wasioweza changia lolote. Unapokuja uchaguzi hutumia fedha nyingi kuwahonga watu ili wachaguliwe! Inasikitisha kuona majimbo yenye wasomi kibao kuongozwa na mapungazeze hawa.
Nafurahi kuona salsa wananchi wameamka na kujitambua. Bila shaka hawatafanya makosa tena 2015.
Pole mama, inauma eeh!! Kwi kwi kwi... Baba kijacho anatoa macho haamini
Labda jimbo Lao ni Kati ya yale yaliyopo motoni alichosema mbunge wa Nkasi na huyo mbunge wao alikaa kimya bila kuwatetea!! Pole pole wananchi wanaamka usingizini
Jimbo la Gairo ni kama Mikumi tena yote ya huko huko Morogoro! Majimbo haya yana wabunge wa kubumba wasioweza changia lolote. Unapokuja uchaguzi hutumia fedha nyingi kuwahonga watu ili wachaguliwe! Inasikitisha kuona majimbo yenye wasomi kibao kuongozwa na mapungazeze hawa.
Nafurahi kuona salsa wananchi wameamka na kujitambua. Bila shaka hawatafanya makosa tena 2015.
Ina maana huko kanisani mapadre wameishiwa hata mikate ya chai asubuhi?