Mwigulu Nchemba anaaibika hapa Gairo...

MPANDA Jr

JF-Expert Member
Nov 27, 2011
1,295
157
Nipo hapa laiv, ndo mwigulu, kaingia pamoja na mbunge na mkuu wa wilaya ya Gairo... Watu ni wachache mno na mbaya zaidi hata wanaposema "ccm oyeee" watu kimyaa mpaka katibu wa ccm mkoa kakaukiwa koo... Mbunge ndo kimbembe kwake watu kimyaaa. Ntaleta picha

attachment.php
 
Mwenyekiti wa ccm kawaambia watu wa Gairo eti maji safiii, Watu wamezomea mpaka aibu. Ndo mwigulu kapanda sasa
 
SASA ni mda wa kampeni ama ni kipi?
ccm ni wezi vipi bilioni 200 za IPTL na wale wasingasinga
dhaifu PM na anazaa serikali dhaifu ahadi kila mwaka na azitekelezeki
 
Sasa na mbunge wao wanamchukia wakati anawatetea Bungeni?

Mbunge mnafiq hana nafasi.... Ana miaka kumi madarakani hana anachoweza kujivunia. Hizo za bungeni ni mbwembwe tu.. Hata shetani huwa anahubiri
 
Sasa na mbunge wao wanamchukia wakati anawatetea Bungeni?

Labda jimbo Lao ni Kati ya yale yaliyopo motoni alichosema mbunge wa Nkasi na huyo mbunge wao alikaa kimya bila kuwatetea!! Pole pole wananchi wanaamka usingizini
 
...wamsikilize pengine anaweza akawachekesha siku zao zikaongezeka hapa duniani badala ya kuwanunia wakati waliachia kura zao kuibiwa...
 
Sasa na mbunge wao wanamchukia wakati anawatetea Bungeni?

mkuu wanasiasa wanafikhi sana na wanawafanya watanzania mazuzu kama unaangalia vema miaka 5 imeisha basi kila mbunge anajidai yupo na wananchi kumbe 2015 imekaribia wabunge wa ccm wengi wao wamekuwa wasemaji wa serikali laki ghafla leo wanahuruma na watanzania!
 
Watu wa Gairo wamuondoe huyo mbunge maana ni mfanyabiashara hana muda wa kuwatetea wananchi anakimbizana na pesa tu ili akichanganya na mgao wa bill 200 toka Lumumba awapatie wananchi tisheti na pombe wamchague tena kweli magamba wanawafaidi watu wajinga mno
 
Mwigulu ndo amepanda jukwaani. Anajaribu kumtetea Mbunge wa Gairo... Lakin watu wamemkazia uso hata akisema ccm oyeee, hola.
 
Nipo hapa laiv, ndo mwigulu, kaingia pamoja na mbunge na mkuu wa wilaya ya Gairo... Watu ni wachache mno na mbaya zaidi hata wanaposema "ccm oyeee" watu kimyaa mpaka katibu wa ccm mkoa kakaukiwa koo... Mbunge ndo kimbembe kwake watu kimyaaa. Ntaleta picha

Umekurupuka sana. Ni heri ungevuta subira ulete na picha kabisa!
 
Kweli maccm yanapenda uzinzi....! Duh! Mwigulu anatoa mifano ya uzinzi uzinzi tupu... Eti usigombane na mkeo wazwaz coz eti watu watakupora na kuzini naye
 
Warudishe 2008 bill zetu, wanafikiri huu ni ule wakati watu wamelala? Chadema kimeshazindusha watu tunasubiri mda tu
 
Back
Top Bottom