Bado tupo Burundi,wakituhitaji 2025 waambieni hatuna uraia pachautasikia nendeni burundi
Bado tupo Burundi,wakituhitaji 2025 waambieni hatuna uraia pachautasikia nendeni burundi
Wameingia kwenye ule mtego wa matumaini kuwa muda wowote anaweza akaukwaa u DC kwahiyo wasihoji sana wakachafua CVTuliwategemea waandishi mfano wa Pascal Mayalla wawa'coach hawa waandishi wa kizazi hiki lakini ndio hivyo, malegend wenyewe walishafika bei.
Siku hizi hata kuuliza Spika wa bunge Job Yustino Ndugai wanatujibu hizo Privacy za muhusika.
Rubish kabisa hawa waandishi, walishaingizwa virusi vya woga vichwani mwao.!
Utachapwa wewe ,ujue Zumaridi yupo Butimba akihangaika na kesi yake au,kuna Zumaridi mwingine?
Chief Hangaya yuko kwao Mwezi huu mtukufu; kama kuna waziri atamponza ni Huyu!!Porojo zimeshatungwa kama kawaida yao.
Kwa nchi za watu wastarabu huyo Mwigulu angeshajiuzulu.
Huwa anaboa tu,neno moja anarudia Mara 6.Moja ya wizara iliyokosa waziri ni wizara ya fedha.Tamisemi,mambo ya ndani,utalii,Nishati,nkMwigulu hana hulka ya kuongea na watu vizuri sababu ya kujifanya mjuaji na midharau yake ile...
Huwa anaboa tu,neno moja anarudia Mara 6.Moja ya wizara iliyokosa waziri ni wizara ya fedha.Tamisemi,mambo ya ndani,utalii,Nishati,nk
Itatuchukua 50 years kurekebisha damage inayofanyika sasa.Itachukuwa miaka kumi kuutengeneza uchumi ulioharibiwa na marehemu Mwendazake.
Pole Sana Mama Samia.