Mwigulu Nchemba Aitisha Mkutano na Waandishi Wa Habari baada Ya Uchumi kudorora na Kupanda Kwa Bidhaa Nchi

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Wakuu.
.
Waziri Wa Fedha Nchini Tanzania Mwigiru Nchemba Ameitisha Mkutano na Waandishi Wa Habari baada Ya Uchumi kudorora na Kupanda Kwa Bidhaa Nchi.
.
Mkutano Huo na Waandishi Wa Habari unafanyika kesho Trh.10/04/2022, Katika Ukumbo Wa Hazina Jijini Dar Es Salaam.
.
Atakuwa ameambatana na Waziri Wa Viwanda Ashatu Kijaji.
.
Je kesho Tutegemee Nini au ndio propoganda na Matisho dhidi ya Sisi Wananchi?
Screenshot_20220409-174044.jpg
 
nadhani anataka kutangaza tarehe rasmi ya wasiokubaliana na upandaji horera wa bidhaa kuhamia Burundi
 
Tatizo sio Mwigulu kuitisha mkutano na waandishi wa habari, tatizo ni aina ya wana habari wa sikuhizi tulionao. Either wananidhamu ya woga or taaluma yao ya kimagumashi.
1. Utakuta hawana takwimu sahihi za mlinganisho mf Waziri atakwambia bei ya mafuta imepanda duniani ndio maana na sisi yamepanda. Hapo ni lazima mwandishi awe na takwimu sahihi za nchi mbalimbali Duniani ili kama kuna udanganyifu aambiwe ukweli nchi kadhaa za E.Africa, C.Africa, Asia na kwingineko mbona bei zao ziko stable na njia gan walitumia kustabilize bei, why sisi kirahisi tu hatuchukui hatua
2. Kumbukumbu za speech za viongozi. Haiwezekani Waziri aliyesema tokea mwaka 2015 kuwa ikifikia 2018 kukatika kwa umeme itakuwa historia then 2022 aje aitishe press kizembe tu na kauli yake ilishasaulika. Viongozi wengi wanajua sisi kuweka kumbukumbu kwa usahihi ni shida
3. Coordination ya wanahabari kuhusu Nini cha kuuliza Waziri husika na wawe tayari walishajipa majibu watakayojibiwa na Waziri husika ili pia palete swali endelevu lenye majibu sahihi ya kutatua tatizo. Mf Swali linaweza kuwa, Kwanini bidhaa zinapanda bei kiholela? Lazima wajijibu wenyewe kabisa kuwa jibu litakuwa ni kwa sababu ya vita ya Ukraine na Russia au kupanda kwa bei ya mafuta. Hapo pia lazima pazae swali lingine na sio kukubali jibu na Mambo yakaishia hapo na Waziri akatoka kifua mbele kajibu changamoto zinazoikabili nchi. Coz majibu km hayo ht Mimi wa darasa la nne najua ndio jibu litakalotolewa ambalo halikuwa jinahitaji press.
 
Wakuu.
.
Waziri Wa Fedha Nchini Tanzania Mwigiru Nchemba Ameitisha Mkutano na Waandishi Wa Habari baada Ya Uchumi kudorora na Kupanda Kwa Bidhaa Nchi.
.
Mkutano Huo na Waandishi Wa Habari unafanyika kesho Trh.10/04/2022, Katika Ukumbo Wa Hazina Jijini Dar Es Salaam.
.
Atakuwa ameambatana na Waziri Wa Viwanda Ashatu Kijaji.
.
Je kesho Tutegemee Nini au ndio propoganda na Matisho dhidi ya Sisi Wananchi?View attachment 2181786
Mwigulu anamhujumu Rais Samia, kipenzi cha watanganyika
 
Tatizo sio Mwigulu kuitisha mkutano na waandishi wa habari, tatizo ni aina ya wana habari wa sikuhizi tulionao. Either wananidhamu ya woga or taaluma yao ya kimagumashi.
1. Utakuta hawana takwimu sahihi za mlinganisho mf Waziri atakwambia bei ya mafuta imepanda duniani ndio maana na sisi yamepanda. Hapo ni lazima mwandishi awe na takwimu sahihi za nchi mbalimbali Duniani ili kama kuna udanganyifu aambiwe ukweli nchi kadhaa za E.Africa, C.Africa, Asia na kwingineko mbona bei zao ziko stable na njia gan walitumia kustabilize bei, why sisi kirahisi tu hatuchukui hatua
2. Kumbukumbu za speech za viongozi. Haiwezekani Waziri aliyesema tokea mwaka 2015 kuwa ikifikia 2018 kukatika kwa umeme itakuwa historia then 2022 aje aitishe press kizembe tu na kauli yake ilishasaulika. Viongozi wengi wanajua sisi kuweka kumbukumbu kwa usahihi ni shida
3. Coordination ya wanahabari kuhusu Nini cha kuuliza Waziri husika na wawe tayari walishajipa majibu watakayojibiwa na Waziri husika ili pia palete swali endelevu lenye majibu sahihi ya kutatua tatizo. Mf Swali linaweza kuwa, Kwanini bidhaa zinapanda bei kiholela? Lazima wajijibu wenyewe kabisa kuwa jibu litakuwa ni kwa sababu ya vita ya Ukraine na Russia au kupanda kwa bei ya mafuta. Hapo pia lazima pazae swali lingine na sio kukubali jibu na Mambo yakaishia hapo na Waziri akatoka kifua mbele kajibu changamoto zinazoikabili nchi. Coz majibu km hayo ht Mimi wa darasa la nne najua ndio jibu litakalotolewa ambalo halikuwa jinahitaji press.
Una akili nyingi mkuu.

Ila naogopa hizo noti bandia kwa uchumi wetu. Utakuta sababu ya kudorora kwa uchumi imesababishwa na noti batia hahahhahahaahh
 
Back
Top Bottom