Mwigulu Nchemba acha uongo wewe!

Polepole alikuwa sehemu ya kukandamiza demokrasia ghafla sponsor wake amefariki naye analilia demokraskia ni mambo ya ajabu sana
 
jamaa bado ana siasa za mwaka 47

kila nikikumbuka kale kavideo alitenganeza eti kuonesha watu wana mpango wa kufanya fujo sijui kulipua mabomu kwenye mkutano

naona kabisa jamaa bado ana u bush bush mwingi kwa head na hauwezi mtoka kamwe
Kumbuka pia akiwa waziri wa mambo ya hapa hapa alikuwa katili sana!
 
CC:-
Dr. Mwigulu Nchemba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…