Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,890
- 141,548
PM anapiga left, right and center mbaya sana aise, dah!Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
Na wao watauliwa tu.Hao jamaa wapo prepared kuua tena atakaye andamana. So sad
Sasa wewe nyani umetumia vigezo gani kumpinga Mwigulu??Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
Atoe ushahidi wa hao watu wanaolipwa.Sasa wewe nyani umetumia vigezo gani kumpinga Mwigulu??
Kwanza kwa nafasi yake ametoa tip tu, mambo ya ushahidi yanaihusu Polisi na Mahakama. Shut up your mouth
Ukweli ni ipi?Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
Huyo Mtu amemtangaza? Rasilimali zenyewe si wameshagawa?Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
Ukweli ni between your bussy!Ukweli ni ipi?
Na wao watauliwa.Wanatafuta justification ya kuua maelfu ya Watanganyika kama walivyofanya 29.10.2025 wamenogewa na damu za Watanganyika hawa wehu.
Nani anayafanya mazingira yasiwe salama?.MTU kama Mimi ni realistic najua kuwa kwa Sasa TANZANIA mazingira ya kuandamana sio salama .
Na endapo ukajaribu , lazima upate madhara .
Kwahiyo MTU ambaye ni idealist anajaribu kuandamana akitegemea serikali itamlinda au wazungu ajue anakuwa kajitengenezea tatizo yeye , mwenyewe.
PM anapiga left, right and center mbaya sana aise, dah!
Poleni vibaraka na mamluki wa mabwenyenye ya magharibi maana PM anafumua ukweli mtupu kisawasawa 🐒