7x2=15, Komba, maandano ya Chadema yanasababisha wanafunzi kufeli
7x2=15, Komba, maandano ya CHADEMA yanasababisha wanafunzi kufeli
yaani naibu katibu mkuu wa chama tawala ni Mburulaa, naomba ufute kauli na umwombe radhi yeye na wana JF.Hahahahaaa Mburulaaaa hao!!
yaani naibu katibu mkuu wa chama tawala ni Mburulaa, naomba ufute kauli na umwombe radhi yeye na wana JF.
Mkuu hayo magamba hutoyaona hapa, maana Mwigulu Nchemba katia aibu ya uheshimiwa!Matoto ya Lumumba Project yameingia mitini....... Njoooni hapa muwaokoe mbululaaaa wenu na ukenge wao.......CC chama mtela Mwapamba @CrisLukosi Ritz MwanaDiwani Nape Nnauye Juliana Shonza, end the like...
Sitoshangaa nikisikia WALIOCHAGULIWA kuingia bunge la SADC ni WABUNGE WA NDIYOOO kama wapiga kura wenyewe ndio hawa akina Mwingulu Nchemba na Komba! Huko SADC Tanzania inakwenda kuwa kituko! Kweli Tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu.Kwa kupenda madaraka walikuwa wanajipigia debe.