Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu ndo Zindiko la CCM...angalia kuanzia jina limekaa kama la mganga wa kienyeji
Hata yule wake wa moyoni Juliana naye kamkimbia?Mkuu hayo magamba hutoyaona hapa, maana Mwigulu Nchemba katia aibu ya uheshimiwa!
Inawezekana baada ya kuamka akafikiri ni karatasi ya posho. Hakuwa na lingine ila kuandika jina na tick ili asikose posho7x2=15, Komba, maandano ya CHADEMA yanasababisha wanafunzi kufeli
Mchumi daraja la kwanza huyo...
Mchumi daraja la kwanza huyo...
Akikurupuka hapo hata hafuti udenda...
Ye moja kwa moja ''ndiooooooooo''
Hizo kura zilikuwa zinapigwa kwa mtindo gani mpaka karatasi aliyopigia kura mtu iweze kuwa traced?au ni mwandiko?
Yani kwa nini isifikiriwe kuwa kuna wabunge wawili wameandika majina ya mwigulu na komba ambao si wagombea?
7x2=15, Komba, maandano ya CHADEMA yanasababisha wanafunzi kufeli
7x2=15, Komba, maandano ya CHADEMA yanasababisha wanafunzi kufeli
MWIGULU kwa sasa ni JANGA kwa CCM.
Hizo kura zilikuwa zinapigwa kwa mtindo gani mpaka karatasi aliyopigia kura mtu iweze kuwa traced?au ni mwandiko?
Yani kwa nini isifikiriwe kuwa kuna wabunge wawili wameandika majina ya mwigulu na komba ambao si wagombea?
Jamani Mwingulu ni kichaa. Tumeshaambiwa several times hapa.
Jamani Mwingulu ni kichaa. Tumeshaambiwa several times hapa.