mgoli magombe
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 121
- 27
Hivi mwigulu bado mnamjadili tu humu JF, Tatizo mtu akishavaa tu kijani anatakiwa apelekwe milembe kutibiwa akili. Mwigulu ni mliberary na ndo maana yupo beneti na Mwampamba'
Wasinge fanya hivyo ningeshangaa!
7x2=15, Komba, maandano ya CHADEMA yanasababisha wanafunzi kufeli
7x2=15, Komba, maandano ya CHADEMA yanasababisha wanafunzi kufeli
hapa alikuwa busy anamuota Lulu.
Mara nyingi CCM hufanya makosa makubwa na ya kiufundi! na uteuzi wa huyu bwana nadhani ni miongoni mwa makosa makubwa ya kiufundi!!!
who is Mwigulu? mbona mnampa umaarufu sana huyu kijana?
jamani mwacheni huyu mzee apumzike kwa amani
mbona unajitekenya na kucheka?umeipenda eeh...Ama kweli Vijana wa Lumumba Project wameshikwa kwenye masaburi. Hadi muda huu wote kimyaaaa au wanakuja kuchungulia kisha wanasepa bila ya commets.
bwahahahah. Labda tofauti nyingine ndogo ni majimbo wanayotokaTofauti ya Lusinde, Proffessor maji marefu, Komba na Mwigulu ni ndogo sana nayo ni maumbo yao lakini kiakili wote wapo sawa na huwa na wacategorize katika group la vichaa