Mwigulu: Mirija ya wanaharakati ilipokatwa na Hayati Magufuli wakaanza kumtukana, alipoingia Samia wakadhani ni mteremko

Mwigulu: Mirija ya wanaharakati ilipokatwa na Hayati Magufuli wakaanza kumtukana, alipoingia Samia wakadhani ni mteremko

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 23, 2026 akiweka jiwe la msingi mradi wa Ujenzi Vituo vya Kusukuma Maji, Mabomba Makuu ya Usafirishaji Maji na Matanki ya Kuhifadhia Maji jijini Mwanza amesema wanaharakati wanapinga sana sababu mirija yao imekatwa na Serikali ya Mapinduzi

 
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 23, 2026 akiweka jiwe la msingi mradi wa Ujenzi Vituo vya Kusukuma Maji, Mabomba Makuu ya Usafirishaji Maji na Matanki ya Kuhifadhia Maji jijini Mwanza amesema wanaharaki wanapinga sana sababu mirija yao imekatwa na Serikali ya Mapinduzi

Esther kwa vioe hakukatiwa ndio unataka kusema nini
 
Kwa nini anaongea huku anapukitisha mikono hivyo?!
Huyu ni msomi asiyejua maana ya mwana harakati?
Hajui kuwa hata hiyo miradi anayoimba ni uana harakati? Kusema serikali imeajiri watu kadhaa siyo uanaharakati kwa wasio na ajira?
 
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 23, 2026 akiweka jiwe la msingi mradi wa Ujenzi Vituo vya Kusukuma Maji, Mabomba Makuu ya Usafirishaji Maji na Matanki ya Kuhifadhia Maji jijini Mwanza amesema wanaharakati wanapinga sana sababu mirija yao imekatwa na Serikali ya Mapinduzi

Huyu mpuuzi nae abadilishe story tumesha mchoka kila siku yeye ni kulalamika tuu hana muda wa kueleza wananchi maswala ya kuliunganisha taifa
 
Waziri wa mchongo mzee wa maboko

Hapo ameaga mkewe anaenda kazini akirudi mkewe anampa 'pole na kazi baba'

Hiki ni kiazi mbatata!
 
Huyu boya kaamuwa kujitoa ufahamu.
Naye lazima apukutishwe...
 
Huyu ni msomi asiyejua maana ya mwana harakati?
Hajui kuwa hata hiyo miradi anayoimba ni uana harakati? Kusema serikali imeajiri watu kadhaa siyo uanaharakati kwa wasio na ajira?
Mwigulu bado ana mentality ya siasa za kizamani sana zama zamiaka ya 90 anasahau kwamba kwasasa dunia imesha badilisha akili za wanadamu kabisa.
 
Back
Top Bottom