Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Matumiz mabaya ya ofisi,ila ilishawah ripotiwa gari ya polisi kubeba Bangi huko kaskazini
Yaani umeileta hapa JF ndo basi tena hapo kuna watu watasumbuliwa,zama hizi ni zama hatar sana labda ashuke Malaika aje aifungie mitandao ya kijamiiUnadhani kuna atakaetumbuliwa hapa? Maana hali inaonesha shwari kabisa, mambo haya hata redio ya hapa wilayani hawajatangaza... Utasema hakuna kilichotokea
Newala!!!???AU WALIMFUATA FARU JOHN.
Cc KitwanghaCc: magufuli
Cc: Mwigulu
Nilishawah kubebwa na mkurugenz wa halmashaur flani kwenye shangingi lake,aah alikua anasanya abiria vizur tu,plate number SMWameumbuka, kumbe gari za serikali ya Magufuri zinatumiwa hovyohovyo namna hii!!??
Ndo ashaambiwa hapa asiseme hakuwa na taarifaMwigulu Nchemba kwani anajua.....?? Subiria amalize krismasi labda anapata taarifa
Taarifa ila ina ngazi zake husikuAlafu hizo baa za police uwa zinafungiliwa asubuhi watu wanalewa si ndio maana huko hakuna kuhoji...........
Kama wanaweza tumia mafuta ya kodi za wananchi kufuata bia kweli nchi ni ya hovyo sana...........
CC:Mwigulu Nchemba
Police ni kweli waonezi haswaa tangu wapewe ruksa kuchukua ela ya kiwi.....Mkuu Wa mkoa ye kawafukuza wamachinga baba jonas kawarudisha na hata police Mwigulu hawezi kuwakataza kuchukua ela ya kiwi.Kesho utaskia Polisi inamsaka alopiga picha gari la polisi lililopata ajali,wadai taarifa za mtoa mada wamkamata Melo
Aaah,polisi!!!!!Hao viumbe wanaishi kwa utapeli, rushwa, kubambikizia kesi watu pamoja na madili ya kuvunja utaratibu/sheria!...wamelaaniwa sana
Yaani hyo ajali unataka uskilize na pande 3Watanzania tunaongoza kwa unafiki unakuja na pumba zako hapa za kisikiriza upande mmoja....
SahihiKulalama kwenye mtandao kwa kutegemea huruma ya wengine hakusaidii chochote Kama linakukera chukua hatua mwenyewe