Katika watu wanaoogopwa kutumbuliwa ni hawa"Mkuu utawaponza vijana wetu, Sema kwa Sauti ndogo wakisikia wakubwa askari wetu watatumbuliwa
Kulalama kwenye mtandao kwa kutegemea huruma ya wengine hakusaidii chochote Kama linakukera chukua hatua mwenyeweHongera sana mtoa taarifa, Hii taarifa imepokelewa. Na achana nao wote baadhi ya matahila wanaokubeza.
Tena kwa kauli nyepesi katika jambo zito kama hili. Nadiliki kuwaita matahila kwa hoja zao zao dharimu na dhaifu. licha ya kwamba wameona hadi ushahidi wa picha.
Mfano: mtu anaposema eti kila siku unawatuhumu polisi wetu, huyu akili yake iko timamu au ni uji mtupu? Kwani hoja hii ameona ikilipotiwa katika mtiririko upi hadi kujenga hoja ya kila siku? Nonses.
Si hilo tu. bali **** mwingine, anaetumia lugha eti acha upuuzi wa kulituhumu jeshi polisi angali mtoa maada ameonyesha hadi taarifa za masikitiko makubwa kuwa kupitia ajali hiyo tumepoteza askari. Harafu unaita kuwa hiyo ni taarifa ya kipuuzi?
Huna hoja ya kuchangia kaa kimya.
Hizi zama sio za blabla ama ubabaishaji wa kurahisisha mambo hasa unapokuja katika maisha ya watu.
Ni wakati wa kuheshimu sheria bila kujali ukubwa ama udogo wa sheria hiyo husika.
Kuanzia kwa raia hadi mamlaka mbalimbali za umma ni wajibu na haki yetu, kuhakikisha kwamba sote tupo chini na si juu ya sheria.
Pia hii izangatiwe kuwa hii ni taarifa, na si hukumu kwa jeshi la polisi.
Kwani tunatambua sote umhimu wa jeshi la polisi na ugumu wa majukumu, hususani wale wote waadirifu na Wazalendo wa taifa lao, Pamoja na wanaotekeleza majukumu yao kwa mjibu wa tarabu na sheria za nchi.
.........,.............
Kulalama kwenye mtandao kwa kutegemea huruma ya wengine hakusaidii chochote Kama linakukera chukua hatua mwenyeweHongera sana mtoa taarifa, Hii taarifa imepokelewa. Na achana nao wote baadhi ya matahila wanaokubeza.
Tena kwa kauli nyepesi katika jambo zito kama hili. Nadiliki kuwaita matahila kwa hoja zao zao dharimu na dhaifu. licha ya kwamba wameona hadi ushahidi wa picha.
Mfano: mtu anaposema eti kila siku unawatuhumu polisi wetu, huyu akili yake iko timamu au ni uji mtupu? Kwani hoja hii ameona ikilipotiwa katika mtiririko upi hadi kujenga hoja ya kila siku? Nonses.
Si hilo tu. bali **** mwingine, anaetumia lugha eti acha upuuzi wa kulituhumu jeshi polisi angali mtoa maada ameonyesha hadi taarifa za masikitiko makubwa kuwa kupitia ajali hiyo tumepoteza askari. Harafu unaita kuwa hiyo ni taarifa ya kipuuzi?
Huna hoja ya kuchangia kaa kimya.
Hizi zama sio za blabla ama ubabaishaji wa kurahisisha mambo hasa unapokuja katika maisha ya watu.
Ni wakati wa kuheshimu sheria bila kujali ukubwa ama udogo wa sheria hiyo husika.
Kuanzia kwa raia hadi mamlaka mbalimbali za umma ni wajibu na haki yetu, kuhakikisha kwamba sote tupo chini na si juu ya sheria.
Pia hii izangatiwe kuwa hii ni taarifa, na si hukumu kwa jeshi la polisi.
Kwani tunatambua sote umhimu wa jeshi la polisi na ugumu wa majukumu, hususani wale wote waadirifu na Wazalendo wa taifa lao, Pamoja na wanaotekeleza majukumu yao kwa mjibu wa tarabu na sheria za nchi.
.........,.............
Kanywe sumuWameumbuka, kumbe gari za serikali ya Magufuri zinatumiwa hovyohovyo namna hii!!??
We ndo Boya kabisa!! Tatizo LA watu mliokulia maisha ya shida sijui huwa mkoje?!!Weboya kweli, sikuzote kizote taarifa ndio inayofanyiwa uchunguzi,kama ni kweli au uongo hilo hubainika baada ya taalifa kutoka hata hili pia lazima lifatiliweka ili tabia za ajabu ajabu zikome ktk jesh letu
Utasubiri SanaKodi Zetu Zinatumika Vibaya sana....Hapo OCD,RCO na RPC watumbuliwe kwa Uzembe.
hata id yako imekaa kiaskari askari hivi, ila poa tushakujuaacha upuuzi wa kulitupia lawama kila Siku jeshi la polisi ivi nyie mnapata raha San kila Siku jeshi la polis jesh la polis nyooo
Nyang'au weweacha upuuzi wa kulitupia lawama kila Siku jeshi la polisi ivi nyie mnapata raha San kila Siku jeshi la polis jesh la polis nyooo
Huyo mbumbumbu hatokuelewa mkuuKwa hiyo we umeona magari ya serikali kubeba pombe za biashara binafsi ni sahihi?
Sio nchi ya hovyo bali polisi wa eneo husikaAlafu hizo baa za police uwa zinafungiliwa asubuhi watu wanalewa si ndio maana huko hakuna kuhoji...........
Kama wanaweza tumia mafuta ya kodi za wananchi kufuata bia kweli nchi ni ya hovyo sana...........
CC:Mwigulu Nchemba
Mwenye hovu la dhuluma janaga pikaka sababu ni tabia yakeLazima watumbuliwe kwa sababu Polisi hawana huruma kwa raia. Wanatesa wanabambikia kesi wanapiga raia saa ingine hata bila sababu. WATUMBULIWE