Mwigulu, huu ni uzembe mwingine wa jeshi la polisi

Mkuu huyo mpita njia mwenzetu mzima?Gar ya ina unafuu?Hayo mengine hayakuhusu kwasababu unaweza kuonekana unawafatilia sana wakat umenena ya ukwel
 
Mimi ninadhani majeshi huwa wanaruhusiwa kuwa na baa zao na tena huuza bei nafuu kidogo kuliko huku kwetu uswazi, nadhani hiyo ni ajali ya kawaida na gari lao kubeba pombe sio issue sana .
 
Alafu hizo baa za police uwa zinafungiliwa asubuhi watu wanalewa si ndio maana huko hakuna kuhoji...........

Kama wanaweza tumia mafuta ya kodi za wananchi kufuata bia kweli nchi ni ya hovyo sana...........

CC:Mwigulu Nchemba
Alafu waziri wa mambo ya ndani anakuja humu na majibu mepesi mepesi.
 
Muda wa ajali tafadhali! isije kua kuna watu wanakunywa mda wa kazi
 
acha upuuzi wa kulitupia lawama kila Siku jeshi la polisi ivi nyie mnapata raha San kila Siku jeshi la polis jesh la polis nyooo
Hili povu hata omo inasubiri.!!

Hivi kwa nini hamtaki kuambiwa ukweli ninyi pamoja na kuishi maisha ya kuungaunga na ya kuwapigia saluti wakubwa wenu bado mnakuwa na roho ngumu kiasi kiasi hamtaki hata kujirekebisha.?
 
Hongera sana mtoa taarifa, Hii taarifa imepokelewa. Na achana nao wote baadhi ya matahila wanaokubeza.

Tena kwa kauli nyepesi katika jambo zito kama hili. Nadiliki kuwaita matahila kwa hoja zao zao dharimu na dhaifu. licha ya kwamba wameona hadi ushahidi wa picha.
Mfano: mtu anaposema eti kila siku unawatuhumu polisi wetu, huyu akili yake iko timamu au ni uji mtupu? Kwani hoja hii ameona ikilipotiwa katika mtiririko upi hadi kujenga hoja ya kila siku? Nonses.

Si hilo tu. bali juha mwingine, anaetumia lugha eti acha upuuzi wa kulituhumu jeshi polisi angali mtoa maada ameonyesha hadi taarifa za masikitiko makubwa kuwa kupitia ajali hiyo tumepoteza askari. Harafu unaita kuwa hiyo ni taarifa ya kipuuzi?

Huna hoja ya kuchangia kaa kimya.
Hizi zama sio za blabla ama ubabaishaji wa kurahisisha mambo hasa unapokuja katika maisha ya watu.

Ni wakati wa kuheshimu sheria bila kujali ukubwa ama udogo wa sheria hiyo husika.

Kuanzia kwa raia hadi mamlaka mbalimbali za umma ni wajibu na haki yetu, kuhakikisha kwamba sote tupo chini na si juu ya sheria.

Pia hii izangatiwe kuwa hii ni taarifa, na si hukumu kwa jeshi la polisi.

Kwani tunatambua sote umhimu wa jeshi la polisi na ugumu wa majukumu, hususani wale wote waadirifu na Wazalendo wa taifa lao, Pamoja na wanaotekeleza majukumu yao kwa mjibu wa tarabu na sheria za nchi.

.........,.............
 
acha upuuzi wa kulitupia lawama kila Siku jeshi la polisi ivi nyie mnapata raha San kila Siku jeshi la polis jesh la polis nyooo

Halafu ww jamaa una matatizo aisee..sasa kama wanafanya upuuzi waachwe tu kwakua wao ni wa kusingiziwa.??

Unadhihirisha ile Imani ya kusema kua Ninyi ni form four failures kwa akili zenu ndogo.
 
Waache polisi wetu....tena wasiwasumbue kwa sababu hizo pombe wamenunua kwa Pesa zao maana hawajawapa hata ile Pesa ya vinywaji......hzo ni pombe kwa ajili ya askari hayo ya bar we mleta mada ni manafiki tyuu

Duuh, humu Kuna mazuzu aisee!!
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom