Siku hizi uchovu hautokani na kazi zetu bali drama za hii kayaYule aliyemtolea bastola Nape inasemekana ni jambazi sugu anaesakwa na mamlaka husika muda mrefu alitokea mirembe Dodoma!!
Nchi Hii!!! Mbele ya RPC mtu anatoa bastola kisha tunaambiwa hajulikani, jamani mtupe mapumziko sote sio akilinyumbu
Anaweza jua alitoka wapi,na ndo maana kuna MTU kamwagiza,alitakiwa kusema amkamate huyo MTU na asiseme amtafute through pics~kwani kwa kuwa ni waziri anaweza kufahamu askari wote mmoja mmoja?....
~ok we differ!
Haaaaaaaaa,kama kweli hii ni hatariiiiuNakuhakikishia yule si askari bali ni mtu aliyepangwa kufanya maigizo na kitenge....
Mwigulu anatafuta kutumbuliwa. Acha atumbuliwe kwani ye nani?Usiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
aliyeamuru bastola irudishwe nae alikua na bastola ila hakuigusa. ila ilionekana wazi kabisa. kiunoni upande wa kulia.Ukiangalia ile video kuna watu wanne walimfuata nape
1:aliyemtolea bastola
2:alivaa shati jeupe alimuamuru yule jamaa arudishe bastola
3:alivaa Tshirt nyeusi ,jeans na sneaker alifungua mlango wa gari
4:alivaa nguo sare na jamaa aliyetoa bastola
Wote ni polisi na wanajuana mwigulu una tuzuga na je lini atapelekwa mahakamani maana wote wanajulikana ni polisi
Kaka umeua sina cha kuongeza ktk hii post nisije nikaharibu bureUsiume na kupuliza, mtu aliyemtolea bastola Nape anajulikana wazi Katoka wapi na katumwa na nani! Sisi raia ni ngumu kujua lakini kwa cheo chako cha waziri wa mambo ya ndani itakuwa ni kichekesho na dhihaka ya mwaka kumuagiza IGP atamtafute huyo mtu na kuchukuliwa hatua!
Eti ATAFUTWE na aangaliwe Kama ni askari kweli... Ooh My God kuna raia anaweza kufanya vile kweli? Kwa uthubutu Kutoka wapi?
Please tupunguzieni drama zenu hizi, unafahamu vema organs zisizo chini yako zinavyofanya kazi, umekuwa nazo hata kabla hujawa waziri enzi zile za zile drama zako
Usituzuge sasa yule mtu ulichopaswa kufanya ni KUAGIZWA AKAMATWE MARA MOJA.... kwakuwa anajulikana vema alitoka kitengo gani..... Punguzeni siasa za kitoto mtuhumiwa yuko huru kwa pozi zote.... Alitumwa hakwenda mwenyewe pale.... Mojawapo ya Kanuni za askari ni kupokea amri na kutekeleza bila kuhoji... Mtafuteni aliyemtuma pale.....
We are living in the era of reasoning....
~kwani kwa kuwa ni waziri anaweza kufahamu askari wote mmoja mmoja?....
~ok we differ!
Yule aliyemtolea bastola Nape inasemekana ni jambazi sugu anaesakwa na mamlaka husika muda mrefu alitokea mirembe Dodoma!!
Umeielewa post lkn au na wee ndio walewale kolomije dot com~kwani kwa kuwa ni waziri anaweza kufahamu askari wote mmoja mmoja?....
~ok we differ!
DahUmeona mteuliwa wa sharia alivyoshukuru kuteuliwa mpaka karibunu atoe chozi?
Tunaishi ktk kipindi ambacho mitandao ya kijamii ina nguvu kuliko hizo media wanazotaka kuzibanaKuna wakati mtu unawazaaaa, hivi huyu mfalme atakuja na drama gani 2020,unakosa jibu. Matatizo ya wananchi yameisha, ngoja wayatafute kinafiki.
Wala Mwigulu si wa kumlaumu kwa sasa maana naye anashangaa...Labda naye ni njia yake ya kutokea.
Laumu kwanini anataka kupangia vyombo vya habari cha kuandika.
Mamlaka iliyomtuma bila shaka ana taarifa nayo~kwani kwa kuwa ni waziri anaweza kufahamu askari wote mmoja mmoja?....
~ok we differ!
Hizo details unazozitoa mkuu ndio Sizonje asizozitaka,kama uliisikiliza ile hotuba yake kwa wamiliki wa vyombo vya habari kuwa amechukizwa sana na ile habari na picha ya yule alietoa bastola ilivyopewa airtime ktk kurasa za mbele karibia za magazeti yote nyingine zikimuonyesha wakati kaitoa nyingine wakati anarudi nyuma nyingine wakati anairudisha mfukoni yaani kwa kifupi mkuu Sizonje imemuudhi saana saaaanaUkiangalia ile video kuna watu wanne walimfuata nape
1:aliyemtolea bastola
2:alivaa shati jeupe alimuamuru yule jamaa arudishe bastola
3:alivaa Tshirt nyeusi ,jeans na sneaker alifungua mlango wa gari
4:alivaa nguo sare na jamaa aliyetoa bastola
Wote ni polisi na wanajuana mwigulu una tuzuga na je lini atapelekwa mahakamani maana wote wanajulikana ni polisi
Saaaaana tu anampaka Nape mafuta kwa mgongo wa chupa,ulafi wa madaraka ni mbaya sana unajikuta mtu unafanya maigizo hata wanao wakisikia ni aibuKwa nn na wale askari walio vamia clouds hakujitokeza na kumuagiza igp awafatilie au kwa kuwa walivaa uniform? Wao waliwatuma? Hawakupaswa kutafutwa? Mwigulu ni mnafiki na mshenzi pia.
Out of topicMwigulu naye ni msanii tu, anataka kutuaminisha kuwa wananchi hatujui kuwa hata yeye ni tiss na anafahamu mtu wa tiss hawezi kukamata hadharani bali hutoa Taarifa polisi na wao ndiyo wanaomkamata mtu
.....aliyeamuru bastola irudishwe nae alikua na bastola ila hakuigusa. ila ilionekana wazi kabisa. kiunoni upande wa kulia.