Unaangalia maana au unaangalia hela iliyokusanywa?Hivi Kiuwasilishaji na ili ilete maana kwa Mtu kati ya Tsh 48,489,225,670 na Tsh 48,489,225,650 ni ipi ambayo ingetupasa Kutajiwa na hata Kimahesabu inakubalika?
Asante sana mkuu, kwenye mambo serious huwa sinaga mzaha kabisa. Tuendelee kushirikiana vyema mkuu pamoja sanaNakukubali mno sema ulikuwa hujui tu.
Majibu ya Kiufafanuzi kama haya ndiyo nilikuwa nayataka na wengine huwa tunaanzisha Mada za Kiuchokozi kwa nia ya Kujifunza na Kuelimishwa zaidi tofauti na Wapumbavu wachache waliochangia huu Uzi kwa Kukurupuka na Kunishangaa badala ya Kutoa Elimu kama hii yako na ya Extrovert tuelewe zaidi.kwenye tozo ipo ila mtaani ndio haipo
Ni Uzi wa Kuelimishwa, Kujifunza na Kupanua Maarifa ya Mtu na najua Mods hawana Ujuha kama ulionao na wakauondoa huu Uzi.
Kwa dhana yangu Kuu ya kutaka Kujifunza naangalia maana na si Kiwango kilichokusanywa kwani Makusanyo nimeshayazoea.Unaangalia maana au unaangalia hela iliyokusanywa?
Daaah mkuu uko darasa la ngapi weweWewe mwenye Akili nakuomba unieleweshe katika Uwasilishaji wa Lugha ya Kimahesabu ni Figure ipi kati ya Tsh 48,489,225,670 na Tsh 48,489,225,650 inakubalika na ingefaa zaidi?
Shuleni tulifundishwa Kufanya round of na katika Kanuni za Mahesabu inaruhusiwa je, kwanini hapa haijatumika na Wataalam wengi wa Mahesabu walioko Wizarani na BOT?
Sijabahatika Kusoma kama Wewe Mwenzangu mwenye Elimu ya PhD ya Upumbavu uliokomaa.Daaah mkuu uko darasa la ngapi wewe
Kwani na Wewe umeshaacha Kuitumia?Mkuu ulishawahi kuvuta bange?
Hahajajaja we mjinga nimekuelewa uko makini sanaNa kama Benki Kuu ilishaondoa katika Mzunguko matumizi ya Sarafu ya Tsh 20 imekuwaje katika Makusanyo ya Mwezi ya Tsh 48,489,225,670 kukawepo hii Tsh 70?
Tsh 50 ya Sarafu najua ipo ila Tsh 20 ya Sarafu haipo tena je, hapa imeingiaje katika Mahesabu? Na kama Sarafu ya Tsh 20 haipo tena kwanini imejumuishwa katika Mahesabu / Takwimu ya jumla iliyotajwa na Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba?
Nitashukuru tu nikielimishwa juu ya hili.
Wao wanakata pesa kamili Kwetu katika hari ya kawaida hatutegemei kuona sent wala pesa punjufuHizo ni pesa za kwenye miamala. Mbona hujawahi kuuliza kwanini kwenye Tigo pesa au Mpesa hadi huwa kuna Tsh 269, au Tsh 351.82
Kuuliza sio ujinga ameomba kuelimishwa, muelimishe wewe usie mjingaUzi huu umeonesha ujinga wa huyu mleta mada. Akadhan hizi pesa zimekusanywa kwa njia kupokea noti na sarafu licha ya kua yeye ni mtumiaji wa tigopesa, mpesa n.k
Inatumika wapi sasa hiyo Tsh 20 ya Coin?Benki Kuu haijawahi kuondoa katika Mzunguko matumizi ya Sarafu ya Tsh 20.
Akikujibu nakuomba Unitagi tu Ndugu.Kuuliza sio ujinga ameomba kuelimishwa, muelimishe wewe usie mjinga
Ukiihitaji utaipata. Ni fedha halali kwa malipo.Inatumika wapi sasa hiyo Tsh 20 ya Coin?
Hivi huoni haya / aibu Kudanganya hili?Ukiihitaji utaipata. Ni fedha halali kwa malipo.