Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Mkuu umeanza kunichokoza kwani umezaliwa kwenye mtaro wa maji machafu au ulitanguliza miguu kuzaliwa ukamkanyaga mama weeeeeeeeeeee ndiyo ukatoka,lumumba mimi naiona humu jf hata siijui,karibu kwetu mkoa mpya simiyu tukutafutie na gayanda gagutole.Sasa unafikiri nilienda wapi?? Mbwembwe nyingi kumbe mtu wa buku saba, boss wako anakuita Lumumba.