Mwigulu atawaponza wengi!

Mwigulu atawaponza wengi!

Mzee Tupa Tupa, naamini wewe una imani sana na Mwenyekiti wako Taifa. Je ni kweli hayajuhi afanyayo Mwingulu? na Kama haya bariki kweli anashindwa kumkemea Mwingulu au yeye anaona ndo kujenga chama?
 
Kijana ambaye kazaliwa baada ya mwaka 1977, haijui CCM na katu hawezi kuijua CCM. Kijana mwenye umri wa miaka chini ya 36 kama anaishabikia CCM haelewi na katu hawezi kuelewa anachoshabikia, hajui kwamba hajui. Kijana ambaye kapata ukombozi wa kifikra na kuijua CCM, lazima ataasi na kuipa CCM mgongo. Ni bahati ilioje kwa taifa kwamba namba ya vijana hawa wanaoamka kutoka usingizi mzito inaongezeka siku hadi siku! Hakika ukombozi unakaribia.
Mkuu unajitekenya na kucheka wewe mwenyewe unachokisema ni maoni yako si ya watu wote.
 
Mwampamba amekuwa robot la mwigulu. Anaamriwa afanye ki2 fulani naye anafanya kweli,nahisi hata 0713 akiambiwa na mwigulu atakuwa tayari kumegea angalau mini kabang
Hahaha hahaha hahaha hahaha
 
Ni kweli Mkuu. Mimi nimejitwika suala hilo. Tupo pamoja kuelekea kupata demokrasia ya kweli ya vyama vingi Tanzania

mkuu utanisamehe sana mana nimetokea kukuchukia kwa unafiki wako. Unajifanya mwerevu kumbe ni mwehu tu kama wehu wenzio wengine
 
Mzee Tupa Tupa, naamini wewe una imani sana na Mwenyekiti wako Taifa. Je ni kweli hayajuhi afanyayo Mwingulu? na Kama haya bariki kweli anashindwa kumkemea Mwingulu au yeye anaona ndo kujenga chama?
Mwigulu hamna alipokosea ila chadema kawabana sana ndiyo maana wanamuona ni thread na walishapewa maagizo toka viongozi wao kuwa lazima wahakikishe mwigulu anachafuka.
 
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Mwigulu Nchemba ni mwanasiasa wa ajabu sana. Hajali. Hasikii.Haelewi. Anachojali yeye ni kujijenga(pia kujibomoa) katika siasa.Anataka kuaminika kama dawa pekee ya kuwadhibiti CHADEMA kati ya makada wote wa CCM.

Ndiyo maana anafanya anayoyafanya. Mwigulu Nchemba anaamini kuwa anaungwa mkono na Mwenyekiti wa chama pamoja na viongozi wengine waandamizi wa CCM Taifa. Ndiyo maana anaweza hata kubuni 'mijivazi' yake hata inayokwenda kinyume na sare rasmi za chama.Anaweza asiwe sahihi.Aweza kuwa anapotoka. Mwigulu amelewa sifa. Anapepesuka. Kwa wasio makini kisiasa na wanaomtii Mwigulu Nchemba kwa kila alisemalo wataponzeka.

Watasawajika kisiasa na kichama. Jana tu, kijana Mtela Mwampamba ameingia mkenge wa Mwigulu.Amekurupuka na habari za kizushi kuwa eti Mgombea wa Udiwani wa Elerai wa CHADEMA amejiunga CCM. Sasa kijana Mtela Mwampamba HAAMINIKI TENA. Hapa JF ameshapata 'zawadi' yake.

Bado chamani.Bado uraiani.Bado maishani. Bado akilini mwake. Bado atakavyomuona kivingine Mwigulu Nchemba. Bado. Ni wakati sasa wanachama wenzangu wa CCM kuchuja kila kauli na vitendo vya viongozi wetu kama Mwigulu Nchemba ili tuwe huru.Tuwe makini. Kama tunamtegemea Mwigulu Nchemba na siasa zake za aina hii ionekanayo,hatutakuwa makini. Tutakimbiwa.

Siasa iwe ni hoja na si vihoja. Vinginevyo, Mwigulu Nchemba ataponza wengi!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

hivi mkuu ww ni jinsia ya ke au me? Mana inaonekana unampenda sana mwigulu kama ni ke akuoe. Ktk thred yako umemtaja mara 8. Angalia usijekuwa umelala huku unamuota ukamtaja kwa sauti utavunja ndoa,, mumeo atakuuliza huyo mwigulu ndio nani hutakuwa na jibu la maana.
 
VUTA NKUVUTE, Mzee Tupa tupa

Tabia za ukweli zinajulikana. Mwalimu Nyerere alipenda kuzisema chache. Yote yafanyikayo sasa yatapata hesabu zake. Bahati nzuri ni kwamba hata wale watu waliokuwa wanaamini kuwa "huu ni mtego wa CHADEMA", sasa wameshaona dhahiri kuwa huu ni "mtego wa wote".

Kwa sababu tunaelekea kunaswa wote kama taifa katika mtego wa siasa za chuki, hila, ukatili, ujambazi na mauaji.

Ni wajibu wetu sote kuutegua mtego huu.
Tanzania inwatu wa tofauti sana.
 
siasa sio vita. chadema ni chama cha siasa, ccm watumie watu makini wanao tumia mbinu hasa za kihoja na mijadala kudhofisha chadema, sio hizi za Mwigulu za kiuwaji, kujenga chuki, mipasho, kushizia watu,unafki kesi,kutumia jeshi la polis kudhofisha chadema
 
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Mwigulu Nchemba ni mwanasiasa wa ajabu sana. Hajali. Hasikii.Haelewi. Anachojali yeye ni kujijenga(pia kujibomoa) katika siasa.Anataka kuaminika kama dawa pekee ya kuwadhibiti CHADEMA kati ya makada wote wa CCM.

Ndiyo maana anafanya anayoyafanya. Mwigulu Nchemba anaamini kuwa anaungwa mkono na Mwenyekiti wa chama pamoja na viongozi wengine waandamizi wa CCM Taifa. Ndiyo maana anaweza hata kubuni 'mijivazi' yake hata inayokwenda kinyume na sare rasmi za chama.Anaweza asiwe sahihi.Aweza kuwa anapotoka. Mwigulu amelewa sifa. Anapepesuka. Kwa wasio makini kisiasa na wanaomtii Mwigulu Nchemba kwa kila alisemalo wataponzeka.

Watasawajika kisiasa na kichama. Jana tu, kijana Mtela Mwampamba ameingia mkenge wa Mwigulu.Amekurupuka na habari za kizushi kuwa eti Mgombea wa Udiwani wa Elerai wa CHADEMA amejiunga CCM. Sasa kijana Mtela Mwampamba HAAMINIKI TENA. Hapa JF ameshapata 'zawadi' yake.

Bado chamani.Bado uraiani.Bado maishani. Bado akilini mwake. Bado atakavyomuona kivingine Mwigulu Nchemba. Bado. Ni wakati sasa wanachama wenzangu wa CCM kuchuja kila kauli na vitendo vya viongozi wetu kama Mwigulu Nchemba ili tuwe huru.Tuwe makini. Kama tunamtegemea Mwigulu Nchemba na siasa zake za aina hii ionekanayo,hatutakuwa makini. Tutakimbiwa.

Siasa iwe ni hoja na si vihoja. Vinginevyo, Mwigulu Nchemba ataponza wengi!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mtu mzima unateswa na kijana mdogo kama mwammpamba kunaja gani ya kuwa mtu mzima sasa.
 
Nampongeza sana mwigulu jinsi anavyowachana hawa wamwagia watu tindikali, walisha watu sumu, wapanga mauwaji na wahubiri vita.. Go on mwigulu watanzania tupo nyuma yako
 
hivi mkuu ww ni jinsia ya ke au me? Mana inaonekana unampenda sana mwigulu kama ni ke akuoe. Ktk thred yako umemtaja mara 8. Angalia usijekuwa umelala huku unamuota ukamtaja kwa sauti utavunja ndoa,, mumeo atakuuliza huyo mwigulu ndio nani hutakuwa na jibu la maana.
Mkuu naona umeamua kumpa ukweli jamaa akome umbea wake,sijawahi ona mtu mmbea kama huyu vuta-nkuvute.
 
Back
Top Bottom