Frankly speaking, Mwigulu hana hata siffa ya kuwa hata Mwenyekiti wa Kijiji. Kwanza ametenda uhalifu mkubwa sana wa Kibinadamu jimboni kwake ananuka damu za watu ndio maaana kukataliwa kunamwandama daima. Pili hana haiba ya Uongozi kutokana na Lugha/Kauli zake za mwaka 1840 hukoo. Kijana Fuuuulish kabisa