R Mbuna
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,293
- 5,418
Hapa ndipo ninapo elewa kwa nini katika ule muswada wa sheria kwa vyama siasa ulisema ," mwanasiasa atakaye hama chama chake haruhusuwi kugombea nafasi ya ubunge mpaka atimize mwaka mmoja ndani ya chama".
Hivyo Mwigulu ikitokea amepigwa chini kugombea katika hilo jimbo hatokuwa na nafasi ya kurudi tena Bungeni mpaka uchaguzi unaofuata iwapo tu atakubaliwa na chama chake.
This is not fair , Msajili ndio Mwenyekiti wa vyama vyote vya siasa while atakuwa remoted from Magogoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo Mwigulu ikitokea amepigwa chini kugombea katika hilo jimbo hatokuwa na nafasi ya kurudi tena Bungeni mpaka uchaguzi unaofuata iwapo tu atakubaliwa na chama chake.
This is not fair , Msajili ndio Mwenyekiti wa vyama vyote vya siasa while atakuwa remoted from Magogoni.
Sent using Jamii Forums mobile app