Mwigulu ana Hali mbaya Iramba

Mwigulu ana Hali mbaya Iramba

Asubuhi ya leo nilikuwa Doromoni na Kisana. Nimefika Ndago, mngongo na kulala Kiomboi kwa zaidi ya wiki. uongo wangu uko wapi?

Wewe mara mwisho kufika Kinambeu au kisiriri ni lini?
UONGO wako ni hii taarifa uliyoileta hapa. Kuanzia mwaka huu umeanza niko sana kikazi maeneo ya Iramba, Ikungi na maeneo ya mpakani na Shinyanga. Maeneo niliyokuwa kikazi hapo Iramba ni Gumanga, Kaselya, Kimpunda, Mbelekese, Msingi, Ndago, Kinyangiri, Ilunda, Urugu, Timbwa n.k. Hali halisi ya maeneo hayo uliyoyataja sio kama unavyotaka kupotosha Umma katika Uzi wako.
Wewe ni mtu mzima na mwenye heshima zako humu JF. Mambo kama hayo waachie hawa makamanda Uchwara wanaotegemea kulala kwenye kochi la Shemeji na bundle za Chuo!
 
Wewe ni mtu mzima na mwenye heshima zako humu JF. Mambo kama hayo waachie hawa makamanda Uchwara wanaotegemea kulala kwenye kochi la Shemeji na bundle za Chuo!
Wewe unasema uko kikazi, Kazi yako inahusiana na kuuliza mwenendo wa siasa ndani ya CCM jimbo la Iramba? Unajua kwamba wiki iliyopita madiwani waliambiwa waende wakakutane na mbunge wao mwisho wa siku waliishia kwenda kukutana na Kitila? Huoni kama nimem-tag Kitila kwenye uzi wangu. Kama lingekuwa ni jambo la kuzusha ningem-tag Kitila?
 
Wewe unasema uko kikazi, Kazi yako inahusiana na kuuliza mwenendo wa siasa ndani ya CCM jimbo la Iramba? Unajua kwamba wiki iliyopita madiwani waliambiwa waende wakakutane na mbunge wao mwisho wa siku waliishia kwenda kukutana na Kitila? Huoni kama nimem-tag Kitila kwenye uzi wangu. Kama lingekuwa ni jambo la kuzusha ningem-tag Kitila?
Achana na propaganda Uchwara kamanda. Kumtag Kitila kunaipa uhalali gani wa taarifa yako Potofu!?
Acheni kupotosha Umma. Sio kila mtu humu JF ni zuzu...kuna watu wako site kazini. Ukileta UONGO usiwe na ugonjwa wa kusahau.
NB: Ukiwa unaninukuu jifunze kunukuu nilichoandika kwa mazima na sio kuedit original post. Ni tabia za kizandiki.
 
Inaonekana kuna maelekezo maalum ya kumsadia Kitila Mkumbo kuwa Mbunge la Iramba Magharibi jimbo linaloshikiliwa hivi sasa na Mwigulu Nchemba.

Kwenye mizunguko yangu jimboni humo, jimbo mojawapo kati ya majimbo machache yaliyobakia kutumia fedha za vijiji kufanyia siasa za CCM, Mwigulu amebaki kupiganiwa na watu wachache dhidi ya kundi kubwa linaloonekana linapokea maelekezo toka ngazi za juu ndani ya chama hicho.

Kitila Mkumbo inaonekana anazidi kukaza kitanzi kitakachomuua kisiasa Mwigulu Nchemba kwenye jimbo analoliongoza hivi sasa

Mwigulu alishafanya madhambi sana akumbuke!

Na yeye aoshwe tu hana maana!

Wote tu hawana maana,mbuzi hao!
 
DrLove69 labda wewe ni mgeni JF. Hapa mtu anachagua kujibu anachotaka kujibu. Na kwa wale wa muda kidogo ndiyo tuliomba mtu aki-Quote ifupishwe. Sasa mantiki ya wajibu hoja kunukuu bandiko zima ikafa.

Ili uwe ukweli nimeseme kwamba Kitila hasaidiwi na CCM kupambana na Mwigulu!!
 
Asubuhi ya leo nilikuwa Doromoni na Kisana. Nimefika Ndago, mgongo na kulala Kiomboi kwa zaidi ya wiki. uongo wangu uko wapi?

Wewe mara mwisho kufika Kinambeu au kisiriri ni lini?
Mkuu huko kote unafanya nini?? Nani kafadhili hii study yako??? Yeyote akipita sawa tu maana hata sioni faida ya wabunge nchi hii. hasa wa ccm.
Anyway umenikumbusha nyumbani maana umetaja vijiji vyetu karibia vyote.
 
Hapa upinzani una nguvu sana ila hawako - Organized. Na aliyegombea mwaka 2015 kupitia CHADEMA ambaye ni Jesca Kishoa, sidhani kama amewahi kurudi na kufanya kazi ya siasa hapa Iramba Magharibi.
siasa hadi 2020 mkuu. labda dadangu atakumbuka nyumbani mwakani sasa
 
Mkuu huko kote unafanya nini?? Nani kafadhili hii study yako???
Sisi wengine ni "Political animal" popote tulipo tunajishughulisha na siasa. Jana on my way out, nilimsaidia mama mmoja pale Mampanta kumpeleka Old Hospitalini baada ya kuanguka kifafa. Nimeambiwa kuna siku Ambulance iliitwa kumchukua mgonjwa pale kwenye zahanati ya Mampanta lakini ilichukua saa 4 kufika kwa hoja kwamba ilikuwa haina mafuta.
 
DrLove69 labda wewe ni mgeni JF. Hapa mtu anachagua kujibu anachotaka kujibu. Na kwa wale wa muda kidogo ndiyo tuliomba mtu aki-Quote ifupishwe. Sasa mantiki ya wajibu hoja kunukuu bandiko zima ikafa.

Ili uwe ukweli nimeseme kwamba Kitila hasaidiwi na CCM kupambana na Mwigulu!!
Naomba nikuweke sawa tu ya kwamba niko JF tokea enzi za Jambo Forums na Young Africans kama unazifahamu. Usikariri upya wa ID ukachukulia ya kwamba mimi ni mgeni hapa JF.
Uzuri wa JF ni kwamba hizi Nyuzi hufukuliwa pale yanapotimia. Tuombe uzima...ila 2020 mtaumbuka wengi sana. Kama walivyoumbuka wenzako katika Nyuzi zao potofu. Kila la kheri.
 
[QUOTE: Nimeambiwa kuna siku Ambulance iliitwa kumchukua mgonjwa pale kwenye zahanati ya Mampanta lakini ilichukua saa 4 kufika kwa hoja kwamba ilikuwa haina mafuta.[/QUOTE]
Kawaida hizo mkuu katika Tz ya Vibanda. Hukusikia sekenke watu walivamiwa na manjagu wakasema dereva hayupo na gari haina mafuta??
Huko sisi tushazoea tu kujitegemea! kama huna hela ya akiba basi andika huyo ndugu umempoteza.
 
Kwenye umaskini unajidanganya! Kuna maeneo TZ hii ni maskini maradufu ya Iramba. ccm ni tatizo letu la msingi kama nchi kwa kuwa ina wabunge zaidi 3/4 ya bunge letu.
Nimetembea maeneo mengi sana lakini Iramba wanajitahidi sana kwenye kujiletea maendeleo. Kwa mfano kwenye ujenzi wa nyumba na upangaji wa mji wa Kiomboi na baadhi ya vijiji. Ingawa kuna tatizo kubwa sana la maji na madaraja kwenye yale maeneo yenye mito ya msimu. Ila Mkalama wana Hali mbaya kwa kweli.

Tatizo la Iramba bado fedha za vijiji zinatumiwa kwa kazi za kisiasa za CCM.
 
Mnabishana wote wapita njia wenyeji acha tuseme, ni kweli Kitila kaandaliwa kwa hilo jimbo hata Mwigulu analijua ndio maana kawa mpole ni kiasi cha muda tu utasikia.
UONGO wako ni hii taarifa uliyoileta hapa. Kuanzia mwaka huu umeanza niko sana kikazi maeneo ya Iramba, Ikungi na maeneo ya mpakani na Shinyanga. Maeneo niliyokuwa kikazi hapo Iramba ni Gumanga, Kaselya, Kimpunda, Mbelekese, Msingi, Ndago, Kinyangiri, Ilunda, Urugu, Timbwa n.k. Hali halisi ya maeneo hayo uliyoyataja sio kama unavyotaka kupotosha Umma katika Uzi wako.
Wewe ni mtu mzima na mwenye heshima zako humu JF. Mambo kama hayo waachie hawa makamanda Uchwara wanaotegemea kulala kwenye kochi la Shemeji na bundle za Chuo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha siasa za uchonganishi, Mwigulu bado anapendwa. Ila Zito ndiyo hatakiwi kabisa kigoma, yaani asahau ubunge
Unamuongelea Zito yupi ww wazee pamoja na vijana hapa Ujiji wanamkubali sana Jembe Zito. #Mwiduwe
 
Back
Top Bottom