Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

Ukifanyia unyama binadamu wenzako unakuwa kama mwehu.

Nafsi yako inakuwa inakusuta kila siku, usingizi hupati unalazimika kutumia madawa au vilevi, unaogopa mwanga wa jua au taa unapenda kuishi gizani, unaogopa kuchangamana na watu unataka uishi peke yako.

Kila ukigeuka unaona watu uliowafanyia ubaya wamekuzunguka wanakulilia.



Maisha ni tofauti sana kabla na baada ya kuua
Wanateseka sana
 
Huyu aliahidiwa atarithishwa kiti ili kulinda uovu wa october lakini sasahivi Yezebeli ameona ampe ahadi hiyo makamu wake endapo atafanikiwa kuteka hisia za watu.

Watanzania msikubali kuchezewa akili, hawa wote wanastahili kupelekwa mahali alipopelekwa Polepole. Haiwezekani mfanye mauaji halafu turidhiane, kamwe hatuta ridhiana na MAGAIDI.
A.I.C.C aka I.C.C
 
Mbona hata mama abdul amepunguza kupayuka payuka.

Hata vikao vya ughaibuni ni mwendo wa kutuma wawakilishi tu. Inaonekana ndoto ya kuwa air hostess imetimia na chenji imebaki.
Mama Dully muda mwingi anautumia kwao na shughuli nyingi anazifanyia Ikulu ya Tunguu, dhamira yake inamhukumu kwa kilichotokea 29.10.2025 ndiyo maana hataki sana kuja Tanganyika na pia hata jopo la waganga wake wamemshauri akija Tanganyika ahakikishe kabla jua kuzama awe amesharudi Zanzibar. Kumwaga damu za maelfu ya Watanganyika wasiokuwa na hatia siyo jambo dogo lina madhara yake kiroho pia .
 
Aliahidiwa Urais kupitia KKKT ..kwamba alitumie kanisa la KKKT kulichafua RC kisha iwe zamu ya mtu wa KKKT kuukwaa Urais..kupitia yeye..

Project ioijumuisha baadhi ya maaskofu na wachungaji akiwemo mchungaji Eliona Kimaro wa Kijitonyama, Askofu Shoo, na takataka Askofu Malasusa....

Project ikafa mapemaaa
Wewe kawaida yako ni kutetea RC katika kila jambo.
 
Ukifanyia unyama binadamu wenzako unakuwa kama mwehu.

Nafsi yako inakuwa inakusuta kila siku, usingizi hupati unalazimika kutumia madawa au vilevi, unaogopa mwanga wa jua au taa unapenda kuishi gizani, unaogopa kuchangamana na watu unataka uishi peke yako.

Kila ukigeuka unaona watu uliowafanyia ubaya wamekuzunguka wanakulilia.



Maisha ni tofauti sana kabla na baada ya kuua
Hii kitu huwa mbaya sana sijui kwanini viongozi hawajifunzi na kibaya wanadhani watadumu maisha yao yote kwenye hizo nyazifa. Wengi sana saizi wanaishi kwa majuto mazito, stress na wasiwasi wa visasi.
 
Hii kitu huwa mbaya sana sijui kwanini viongozi hawajifunzi na kibaya wanadhani watadumu maisha yao yote kwenye hizo nyazifa. Wengi sana saizi wanaishi kwa majuto mazito, stress na wasiwasi wa visasi.
Akili zao huwa zinawaza kuvilinda walivyovichuma kupitia madaraka. Hapo ndipo kuua kunapowanyemelea!
 
Mama Dully muda mwingi anautumia kwao na shughuli nyingi anazifanyia Ikulu ya Tunguu, dhamira yake inamhukumu kwa kilichotokea 29.10.2025 ndiyo maana hataki sana kuja Tanganyika na pia hata jopo la waganga wake wamemshauri akija Tanganyika ahakikishe kabla jua kuzama awe amesharudi Zanzibar. Kumwaga damu za maelfu ya Watanganyika wasiokuwa na hatia siyo jambo dogo lina madhara yake kiroho pia .
Ila umeandika uongo
 
Ukifanyia unyama binadamu wenzako unakuwa kama mwehu.

Nafsi yako inakuwa inakusuta kila siku, usingizi hupati unalazimika kutumia madawa au vilevi, unaogopa mwanga wa jua au taa unapenda kuishi gizani, unaogopa kuchangamana na watu unataka uishi peke yako.

Kila ukigeuka unaona watu uliowafanyia ubaya wamekuzunguka wanakulilia.



Maisha ni tofauti sana kabla na baada ya kuua
Ni kweli kabisa.
 
Hii kitu huwa mbaya sana sijui kwanini viongozi hawajifunzi na kibaya wanadhani watadumu maisha yao yote kwenye hizo nyazifa. Wengi sana saizi wanaishi kwa majuto mazito, stress na wasiwasi wa visasi.
Viongozi wa Africa wanajifanya kuwa demigods.
Wanawaona wananchi kama inferior beings wanaweza kufanywa chochote wakati wowote.

Hata hapa nchini hali hii ilianza kujitokeza 2015 lilikuwq ni suala la muda tu kuteketeza watu kama kumbikumbi.
 
Back
Top Bottom