Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

Huyu aliahidiwa atarithishwa kiti ili kulinda uovu wa october lakini sasahivi Yezebeli ameona ampe ahadi hiyo makamu wake endapo atafanikiwa kuteka hisia za watu.

Watanzania msikubali kuchezewa akili, hawa wote wanastahili kupelekwa mahali alipopelekwa Polepole. Haiwezekani mfanye mauaji halafu turidhiane, kamwe hatuta ridhiana na MAGAIDI.
We ulikuwepo wakati anaahidiwa? Kwl siku hizi huwezi jua yupi mwanamke na nani mwanaume halisi. Ndiyo maana ni mashoga
 
Huyu aliahidiwa atarithishwa kiti ili kulinda uovu wa october lakini sasahivi Yezebeli ameona ampe ahadi hiyo makamu wake endapo atafanikiwa kuteka hisia za watu.

Watanzania msikubali kuchezewa akili, hawa wote wanastahili kupelekwa mahali alipopelekwa Polepole. Haiwezekani mfanye mauaji halafu turidhiane, kamwe hatuta ridhiana na MAGAIDI.
Hakika chadema ni laana kwa nchi hii. Hebu fikiria mpuuzi moja km huyu anazusha upuuzi na mazuzu sijui bila kuelewa au makusudi wanachangia uchafu km huu. Ndiyo chama mbadala wa CCM! Aibu naona mimi!
 
Huyu aliahidiwa atarithishwa kiti ili kulinda uovu wa october lakini sasahivi Yezebeli ameona ampe ahadi hiyo makamu wake endapo atafanikiwa kuteka hisia za watu.

Watanzania msikubali kuchezewa akili, hawa wote wanastahili kupelekwa mahali alipopelekwa Polepole. Haiwezekani mfanye mauaji halafu turidhiane, kamwe hatuta ridhiana na MAGAIDI.
Crap!
 
Hakika chadema ni laana kwa nchi hii. Hebu fikiria mpuuzi moja km huyu anazusha upuuzi na mazuzu sijui bila kuelewa au makusudi wanachangia uchafu km huu. Ndiyo chama mbadala wa CCM! Aibu naona mimi!
CCM ni genge la kigaidi linalitumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawa. Bila mbeleko ya polisi CCM ni wepesi kama unyoya.
 
Hakika chadema ni laana kwa nchi hii. Hebu fikiria mpuuzi moja km huyu anazusha upuuzi na mazuzu sijui bila kuelewa au makusudi wanachangia uchafu km huu. Ndiyo chama mbadala wa CCM! Aibu naona mimi!
CCM siyo chama cha siasa, ni kundi la kigaidi. Kundi la wauaji na wevi wa rasilimali za nchi. Hakuna anayetaka mbadala wa wauaji. Watanzania wanataka waongozwe na chama cha siasa, chama kitakachoheshimu na kulinda uhai wao, haki na uhuru wao. CCM ilikwishageuka kuwa genge la maharamia wauaji, watekaji na wevi. Genge hili linatakiwa kufutwa siku Watanzania wakiwa huru.
 
CCM siyo chama cha siasa, ni kundi la kigaidi. Kundi la wauaji na wevi wa rasilimali za nchi. Hakuna anayetaka mbadala wa wauaji. Watanzania wanataka waongozwe na chama cha siasa, chama kitakachoheshimu na kulinda uhai wao, haki na uhuru wao. CCM ilikwishageuka kuwa genge la maharamia wauaji, watekaji na wevi. Genge hili linatakiwa kufutwa siku Watanzania wakiwa huru.
Naam
 
Back
Top Bottom