Taani hii ni kali, Shoza na Mwamppamba, hata wangevikwa dhahabu, wakapewa peremende, na sumu ya mamba, hawataidhuru cdm. Walichoweza ni kuishusha ccm kuzimu. Mitaa walikopita ma huyo Chemba ni maji taka tu wameacha ya ccm. Huwa najiuliza, chama kikongwe, chama chenye hazina tele kimefikia kuchota matapishi (Shoza & Mwampamba) ya vyama vya msimu kama cdm na kuyaweka kwenye mtungi wa maji ya kunywa!! Kweli tumekwisha. Nani ataifufua ccm? Ni yule M/Kiti aliyemkumbatia Shoza mpaka akamwinua binti wa watu miguu juu! Shame on him! Shame on Chemba! Ati katibu sijui mwenezi! Wa ukimwi tu huyo. Hapo ataibuka na kifaa kingine cha kusafiria mikoa aliyo itaja. Anachokijua ni kubuni safari mpya kila akishaokota mchizi mwingine kama Shoza. Si pdm inaingia! ccm itazindukia kuzimu baada ya arobaini yake kwisha.