Mwigulu ajipanga kuingusha CHADEMA nchi nzima

Mwigulu ajipanga kuingusha CHADEMA nchi nzima

Kada mahiri wa CCM na kipenzi cha Watanzania Mwigulu Nchemba yupo kwenye mikakati mizito ya kuisambaratisha CHADEMA na Kuirudisha Heshima ya Chama Kubwa CCM katika medani za siasa Tanzania.
Wewe ni mgonjwa wa akili, tangu lini muuaji wa watu akawa kipenzi wa watanzani?
 
Kitu kimoja ninachomsifu Mwigulu Nchemba ni jinsi alivyowachezea viongozi wake wakuu wa CCM. JK,Mangula na Kinana wakaingia king kumbe jamaa lilitaka kupata mtoto wa BURE wa kuzunguka naye nchi nzima bila kugharamia maana analipwa na chama. Halafu sifa yake ilishaharibika hasa baada ya tukio lile la Igunga la kuchalaza kada wa kada maana kila aendapo watu wanakaa chonjo na mali zao.
Hii inaonyesha kwenye fani hiyo ana ubunifu mpaka hao viongozi kukubali kulipia kila kitu kumbe ni burudisho la kamanda wa China.
 
Last edited by a moderator:
Acha ushamba wewe hao vijana hawashikiki kwa lipi? Hebu tupatie mafanikio yao japo mawili tamgu wamejiunga na magamba je wamefanikisha kipi katika medani za kisiasa kitaifa?
Umeonae, kapiga wrong number akajipange upya huyu mleta mada, hawa vijana hawashikiki, tunamshukuru Mungu sasa watanzania tumejua mengi kupitia hawa vijana.
 
hapa nakukatalia 100% sio kipenzi cha watanzania wote labda hao .macz wenzake
 
asiangaike na CDM badala yake akawaambia watanzania pesa ya epa iko wapi? ..kiwira yetu wapi?kagoda yetu wapi alafu richmonduli iliyovunja baraza maazimio ya bunge yako wapi?
 
hapa nakukatalia 100% sio kipenzi cha watanzania wote labda hao .macz wenzake
 
asante kwa kuinisaidia kumpa jibu la uhakika huyo mwendawazimu anathubutu kusema kuwa eti kipenzi cha watanzania na wakati ni muuaji kabisa huyo
Wewe ni mgonjwa wa akili, tangu lini muuaji wa watu akawa kipenzi wa watanzani?
 
Kada mahiri wa CCM na kipenzi cha Watanzania Mwigulu Nchemba yupo kwenye mikakati mizito ya kuisambaratisha CHADEMA na Kuirudisha Heshima ya Chama Kubwa CCM katika medani za siasa Tanzania. Akiwa katika mapumziko mazito amesema sasa umefika muda muafaka wa kuwajulisha Watanzania nini kipo nyuma ya Chadema amesema watanzania wakae mkao wa kushangilia ushindi.

Aidha amesema ana mpango wa kuwapumzisha vijana wawili ambao wanaonekana ni mamluki kutoka CHADEMA kwani hawakubaliki katika siasa za majukwani na wapenzi wengi wa ccm hasa vijana wa Green guard wanawachukia sana. amesema atakuja na kikosi kipya kilicholelewa na kukulia ndani ya ccm kupitia chipukizi za CCM. amesema vijana hao wawili waliokuwa wanachama na viongozi wa Bavicha ni mzigo kwa chama kwani kila wanapopita huzomewa na hawana uwezo wa kufanya siasa za majukwani.

Mwigulu amesema baada ya mapumziko anayokaribia kuyamaliza atafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika mikoa ya kanda ya ziwa na kusini.
samahani sana ndugu yangu ni kipenzi cha ko mimi na familia yangu usiihusishe
 
Huyo mganga wa kienyeji anamlia pesa zake tuu!Katiba mpya na daftari la wapiga kura likiboreshwa atalia kilio cha mbwa
 
Labda kitu kimoja tu cha kufanya...ni kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi,ccm wanashindwa kubalance mambo,wao kama chama tawala wanatakiwa kufanya mambo mawili
1.kutekeleza ilani ya ccm
2.kueneza sera za chama.
Lakini kwa kuwa vichwa vyao vimejaa matope,wamejikita zaidi kuisambaratisha cdm kitu ambacho hawakiwezi.Wameshindwa kufanya mambo hayo makuu mawili,wamejikita kutengeneza propaganda za kuiua chadema..kwa hili hawatafanikiwa kamwe,kwa maana misingi ya chama walishaiacha.Kamanda Mbowe kanyaga twende......peoplesssssssssssssssssssssss!
 
Acha ushamba wewe hao vijana hawashikiki kwa lipi? Hebu tupatie mafanikio yao japo mawili tamgu wamejiunga na magamba je wamefanikisha kipi katika medani za kisiasa kitaifa?


Mboni Mhita aungane na Ben Saanane huko Chadema maana naona jumuiya ya vijana ikiongozwa na Chadema kwa remote control
 
Mwingulu nchemba ! adui namba 1 wa amani na mshikamano wa watanzania Tumwogope kama tunavyoogopa magonjwa hatari.
 
U-pu-pu mtupu, ngoja nifanye kazi kutafuta keki ya familia yangu.
 
Kanda ya ziwa washaamka kitambo sana, au haujui kuwa jiji la Mwanza wabunge wote ni cdm? Aende Iramba na siyo kanda ya ziwa.
 
Na ni ujinga mtupu, kama ni mpenzi wale wapelekane hukohuko na -------- mwenzie SAVIMBI! Na tunakusubiri Kanda ya ziwa mbona utajuta......!
 
kada mahiri wa ccm na kipenzi cha watanzania mwigulu nchemba yupo kwenye mikakati mizito ya kuisambaratisha chadema na kuirudisha heshima ya chama kubwa ccm katika medani za siasa tanzania. Akiwa katika mapumziko mazito amesema sasa umefika muda muafaka wa kuwajulisha watanzania nini kipo nyuma ya chadema amesema watanzania wakae mkao wa kushangilia ushindi.

Aidha amesema ana mpango wa kuwapumzisha vijana wawili ambao wanaonekana ni mamluki kutoka chadema kwani hawakubaliki katika siasa za majukwani na wapenzi wengi wa ccm hasa vijana wa green guard wanawachukia sana. Amesema atakuja na kikosi kipya kilicholelewa na kukulia ndani ya ccm kupitia chipukizi za ccm. Amesema vijana hao wawili waliokuwa wanachama na viongozi wa bavicha ni mzigo kwa chama kwani kila wanapopita huzomewa na hawana uwezo wa kufanya siasa za majukwani.

Mwigulu amesema baada ya mapumziko anayokaribia kuyamaliza atafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika mikoa ya kanda ya ziwa na kusini.
anwye maji mengi kabisaa aje tupambane jukwaani ikiwezekana aombe midahalo lakini tatizo ni hiyo njia anayo taka kutumia awaache huyo fyonza na mwampamba wamsaidie maana wanaweza sana matusi na hayo mabomu aagize marekani sasa maana yale ya china tushayagundua tunasonga mbele "piga kelele usiache paza sauti usinyamaze uwahubirie watu wangu kosa lao na watu wa wa tanzania kosa lao kuichagua ccm"
 
View attachment 102978
Kwaiyo sasa Shonza na wenzake keshawatumia na sasa amewaona mzigo?
Hiyo ndiyo taarifa ya maana kwenye bandiko hili,lakini hayo mengine ni kwamba anaweweseka tuh,2014 hii hapa kwenye kona,anakula za uso kwenye chaguz za serikali za mitaa,then 2015 ndiyo bye bye,bye bye,bye bye...

Umeona enh!!!! kwanza mimi najiuliza huyu jamaa baada ya kuwa mbali na nyumbani kwake kwa
muda mrefu anazurura na Juliana Arusha,halafu wakaambulia kipigo sijui aliporudi nyumbani kwake aliiambia
nini familia yake!!!!!
 
Back
Top Bottom