huyo anawalia per diem tu nyie magamba:
- hana mvuto wa sura
- hana mvuto wa kisiasa
- hana mvuto wa sera
- ni mchafu kunuka, ananuka damu
- ana mawazo ya kiharamia
- haoneshi kama ni msomi kama anavojitapa
- ni b.w.e.g.e
View attachment 102978
Kwaiyo sasa Shonza na wenzake keshawatumia na sasa amewaona mzigo?
Hiyo ndiyo taarifa ya maana kwenye bandiko hili,lakini hayo mengine ni kwamba anaweweseka tuh,2014 hii hapa kwenye kona,anakula za uso kwenye chaguz za serikali za mitaa,then 2015 ndiyo bye bye,bye bye,bye bye...
Umbea tu huu, SHONZA NA MWAMPAMBA ni sumu kwa CHADEMA wala usimsingizie MWIGULLU, hayo ni mawazo yako na hayana ukweli wowote.
Huyu atakuwa yule kijna wa sumu ametumwa na chama kutaka kupandikiza chuki kati Mwigullu dhidi ya SHONZA na MWAMPAMBA wakidhani kuwa kufanya hivyo kutabadilisha msimamo wa hawa vijana machachari wa kuendelea kuanika madudu ya CHADEMA.
Huyu atakuwa yule kijna wa sumu ametumwa na chama kutaka kupandikiza chuki kati Mwigullu dhidi ya SHONZA na MWAMPAMBA wakidhani kuwa kufanya hivyo kutabadilisha msimamo wa hawa vijana machachari wa kuendelea kuanika madudu ya CHADEMA.
Yaani post zako zote, ebu angalia umepata LIKE ngapi. Je umejifunza nini?
Join Date : 29th April 2011
Posts : 7,549
Rep Power :0
Likes Received 261
Likes Given 1