Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,188
- 27,043
Very true!Current generation are suffering from 'psychological social proof'
Very true!Current generation are suffering from 'psychological social proof'
Umetumis app gani editing hii brHapo wamevalishwa kilazimaView attachment 1495253
Ukiwa mwoga namna hii kaka kupiga hatua itakua ngumu sana
Umetumis app gani editing hii br
bora huyu kawa muwazi kwenye jamii kuhusu ujinga wake. kuna wengine wako humu na watamponda lakini wanaoga na vimbwa vya kizunguMwigizaji wa Ghana wa Rosemond Brown maarufu kama Akuapem Poloo ameomba radhi baada ya kupost picha ya utupu (kama alivyozaliwa) akiwa na mtoto wake wa miaka saba.
Akuapem Poloo alipost picha hiyo kwenye ukurasa wake wa instagram Jumatatu, Juni 30, 2020 kusherehekea siku ya kuzaliwa ya mtoto wake aliyetimiza miaka saba.
Watu mbalimbali, vyombo vya habari, walimtuhumu mwigizaji huyo pamoja na mashirika kadhaa ya asasi za kiraia, na Shirika la Haki za watoto la Kimataifa kuitaka Idara ya Upelelezi wa Jinai ya Polisi (CID) ya Huduma ya Polisi ya Ghana kuangalia jambo hilo kuwa ni kama uvunjaji wa kanuni ya ustawi wa Sheria ya Mtoto.
Pamoja na kuomba msamaha alisema; Yeye huoga bafuni pamoja na mtoto wake huyo kila wakati.View attachment 1495212
una kipaji cha lazima. wew jog na bios ulipata AHapo wamevalishwa kilazimaView attachment 1495253
Dah app Nzuri Sana mwanangu ya kuvalisha nguoKaedit mtu mwingine,nimeiokota tu huko
Wanamsingizia tu!!! hebu nitumie hiyo picha tafadhaliMwigizaji wa Ghana wa Rosemond Brown maarufu kama Akuapem Poloo ameomba radhi baada ya kupost picha ya utupu (kama alivyozaliwa) akiwa na mtoto wake wa miaka saba.
Akuapem Poloo alipost picha hiyo kwenye ukurasa wake wa instagram Jumatatu, Juni 30, 2020 kusherehekea siku ya kuzaliwa ya mtoto wake aliyetimiza miaka saba.
Watu mbalimbali, vyombo vya habari, walimtuhumu mwigizaji huyo pamoja na mashirika kadhaa ya asasi za kiraia, na Shirika la Haki za watoto la Kimataifa kuitaka Idara ya Upelelezi wa Jinai ya Polisi (CID) ya Huduma ya Polisi ya Ghana kuangalia jambo hilo kuwa ni kama uvunjaji wa kanuni ya ustawi wa Sheria ya Mtoto.
Pamoja na kuomba msamaha alisema; Yeye huoga bafuni pamoja na mtoto wake huyo kila wakati.View attachment 1495212
PmWanamsingizia tu!!! hebu nitumie hiyo picha tafadhali
Hajakupa majibu?Leo asubuhi huko Facebook kuna dada simfahamu kabisa, kanifuata na maneno matamu mpaka nikashangaa. Mwisho akaniomba nimtumie picha ya Abdallah Kichwa Wazi. Na mimi bila kufikiria nikazifotoa kama nne hivi, nikazituma zote. Hivi sasa hapa nilipo najiuliza, sijui nimekwama wapi?
Msaniii ni ZERO BRAIN.Hapo wamevalishwa kilazimaView attachment 1495253
Nitupie huko inboxInbox
ndio nazisubiri pm