Wala hunitishi hata kidogo?Nimekudharau sana !
:thumbdown::thumbdown::thumbdown:
Hivi wewe ni binadamu kamili kweli?ama umezaliwa kwa nguvu ya hirizi?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.
Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.
View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.
mwigamba ni mwanasiasa mwamba ambaye anainyima raha na usingizi ameweka wazi kuwa dr slaa kwa sasa anafanya siasa za kupelekwa pelekwa tu.
Naona ameanza kuchanganyikiwa sasa, yeye ndo mwenye mpango wa kuimaliza CDM na hatafanikiwa.
Kwa hiyo hii single ya Mwigamba sio kweli.. Inavyoelekea hukushirikishwa kwenye single hii wewe..
Kabla hamjaanza kumshambulia Mwigamba jiulizeni hivi M2 ameshapatikana?Isijekuwa kuwa M2 anayezungumziwa na kina Tundu Lissu ndio Dr Slaa?...I am just connecting the dots here.Huenda hawataki kuitumia njia ile waliyoitumia kwa akina Zitto kwa kuhofia mipango yao kubuma,Nahisi njia watakayoitumia kwa Dr Slaa itafanana na ile iliyotumika kwa yule Rasta wa Mara.Afterall kitambo tu tumeshajua kuwa Billicanas Boy yupo katika pay-roll ya Mzee wa Monduli anayeusaka Urais kwa udi na uvumba.
Kwa hiyo hii single ya Mwigamba sio kweli.. Inavyoelekea hukushirikishwa kwenye single hii wewe..
DR Slaa kama akishinda urais adui wake mkuu atakuwa Mhe. Mbowe, hii imetokea kwa Nyerere na Kambona, Mwinyi na Mrema, Mkapa na Jenerali Ulimwengu au kwa mfano wa hivi Karibuni Kikwete na Lowasa. Hivyo ili ku consolidate power Dr Slaa atapenda kuwa shadowed na Mbowe ambae ametumia nguvu yake kubwa kuiimarisha ChademaAliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.
Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.
View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.
unasikitisha sana yaani unataka kugeuza mkakati wenu wa ma mm m1 m2 m3 kuwa ni mkakati wa cdm?nahisi umeanza kuchanganyikiwa waombe mm wenzako wakusaidie ile milioni mbili uendelee kuzungusha hadi mtakapoanzasha chama chenu.Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.
Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.
View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.