Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

Sasa akimgeukia Dk Slaa nani atagombea urais na Zitto wamemtimua!

Nasema hivyo kwa sbb najua kabisa kwamba atakapofunguka kumhusu Slaa itakuwa kiama!!

Mbowe hawezi kumtimua Slaa, yeye mwenyewe bila Slaa si chochote!
 
Dr.Slaa sio kipimo cha chama chakavu!! Magamba,Dr.Slaa anawasumbua sana,ccm kuondoka madarakani ni kusudi la Mungu na kikwete kuwa rais kwa awamu ya nne ni mpango wa Mungu!
 
Nakumbuka mwigamba ndiye aliyekuwa kinara na mstari wa mbele kuwatimua madiwani watano wa chadema arusha,sasa hatimaye dhambi hiyo inamtafuna na haitamwacha yeye tu ngoja tutaona mengi,kwani mwosha uoshwa
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.

Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.

View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.
Pure Scrap!
 
Slaa ni mkristo na anafiti katika mfumo wao wanaoutaka katika chama kwahiyo kamwe hatofukuzwa ila atashushwa tu makali yake.
 
Mkuu, Dr Slaa hana tofauti na wapangaji wa NHC ambao baada ya kukaa muda mrefu, wakajiona kuwa wao ndo wenye nyumba na wakaanza kupangisha nyumba hizo. Ndivyo anavyofanya Dr Slaa sasa
Ahaa, kumbe ndo maana wakaamua kumtoa kwenye ubungee
 
Huyu jamaa anaandamwa na roho ya kukataliwa,watu wanaomfahamu vizuri hadi kwao wanajua hili.Hii ni kuweweseka tu kwa kupoteza mwelekeo.Mwi!Gamba kweli huyu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mwigamba ni kati ya wale jogoo walio chinjwa vichwa wanabaki kutapatapa tu

headless-chicken.jpg
 
Slaa ni mkristo na anafiti katika mfumo wao wanaoutaka katika chama kwahiyo kamwe hatofukuzwa ila atashushwa tu makali yake.

Hivi wewe ni binadamu kamili kweli?ama umezaliwa kwa nguvu ya hirizi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
njaa ni kitu cha ajabu sana ! Unajua siku za nyuma haikuwa ajabu kwa mwanamke kupata mimba , kisa CHIPS KAVU !
 
mwigamba ni nomaa,,chadema haifurukuti kwa mwigamba,,hapo bado hajajibiwa barua yake kutoka kwa msajiri wa vyama vya siasa,,kwanini mwenyekiti anabaka katiba ya chama,,,itafahamika tu,,nani ni nani,,wamemwaga mboga mwigamba anamwaga ugali
 
Back
Top Bottom